Mpk sasa naweza kusema kuwa Rais Samia ana roho nzuri na ana nia njema na taifa hili.
Mtangulizi wake alikuwa na mwelekeo wa kuwadidimiza (kuwafukarisha) wafanyabiashara. Alitamka hadharani kuwa matajiri wataishi kama mashetani. Ndipo akaanza kiwazushia tuhuma mbalimbali na kuanza kufunga akaunti zao za benki. Mama ameufutilia mbali upuuzi huu.
Mtangulizi wa Rais Samia aliwachukia wafanyakazi. Ktk kipindi chake hakuwahi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma. Pia aliwapunguzia mishahara maCEO mbalimbali wa mashirika ya umma kwa kisingizio kisicho na mashiko. Mama amutupilia mbali upuuzi huu.
Wanasiasa walipewa vikwazo na vitisho vya kila aina. Waulize Kinana, Membe, Lowasa, Sumaye, Msambatavangu, Sofia Simba na wanasiasa wote wa upinzani watakupa full story ya mbabe huyu. Mama ameufutilia mbali upuuzi huu. Bado tatizo moja tu kwenye siasa akilitatua mama atakuwa kaupiga mwingi KATIBA MPYA.
Wakulima hawakuruhusiwa kuuza mazao yao mahala watakapo. Yaani mkulima anahangaika kulima mwenyewe, kununua pembejeo mwenyewe na avune mwenyewe halafu serikali impangie wapi pa kuuza mazao yake. Huyu jamaa alikuwa hajui maana ya kilimo biashara. Mama ameutupilia mbali upuuzi huu.
Mtangulizi wake alikuwa na mwelekeo wa kuwadidimiza (kuwafukarisha) wafanyabiashara. Alitamka hadharani kuwa matajiri wataishi kama mashetani. Ndipo akaanza kiwazushia tuhuma mbalimbali na kuanza kufunga akaunti zao za benki. Mama ameufutilia mbali upuuzi huu.
Mtangulizi wa Rais Samia aliwachukia wafanyakazi. Ktk kipindi chake hakuwahi kuongeza mishahara ya watumishi wa umma. Pia aliwapunguzia mishahara maCEO mbalimbali wa mashirika ya umma kwa kisingizio kisicho na mashiko. Mama amutupilia mbali upuuzi huu.
Wanasiasa walipewa vikwazo na vitisho vya kila aina. Waulize Kinana, Membe, Lowasa, Sumaye, Msambatavangu, Sofia Simba na wanasiasa wote wa upinzani watakupa full story ya mbabe huyu. Mama ameufutilia mbali upuuzi huu. Bado tatizo moja tu kwenye siasa akilitatua mama atakuwa kaupiga mwingi KATIBA MPYA.
Wakulima hawakuruhusiwa kuuza mazao yao mahala watakapo. Yaani mkulima anahangaika kulima mwenyewe, kununua pembejeo mwenyewe na avune mwenyewe halafu serikali impangie wapi pa kuuza mazao yake. Huyu jamaa alikuwa hajui maana ya kilimo biashara. Mama ameutupilia mbali upuuzi huu.