Tuwe Wakweli, tutapataje Katiba Mpya kama hatutampitisha bila kupingwa Rais Samia 2025 ili akatukamilishie Mchakato kuelekea 2030?

Tuwe Wakweli, tutapataje Katiba Mpya kama hatutampitisha bila kupingwa Rais Samia 2025 ili akatukamilishie Mchakato kuelekea 2030?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya.

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake.

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe.

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya.

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
 
Mchakato wa katiba mpya hauwezi kuwa na gharama kubwa sana kwa sababu kila kitu kiko drafted ambayo ni maoni ya wananchi ambayo yalikusanywa na tume ya warioba cha kufanya ni kufanya amendment sehemu chache .Kazi hiyo huweza kufanywa na kikundi kidogo cha watu wachache bora kicomprise makundi yote.
 
FB_IMG_1679381742249.jpg

Njia nyeupe kwa bibi Hangaya, Dalali amekula asali ameuza harakati
 
Jo unajishushia heshima yako kwa nyuzi za kipumbavu kama huu. Kwani mnahofia nini hadi mnataka tusiweke mgombea wa Urais?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Anajua kumsimamisha mgombea Mwanamama kutoka Zenj, apambane na Mwanamme kutoka Tanganyika ni mtihani mzito.

Hii ni kutokana na mila na mfumo dume uliopo hapa nchini, pia hata imani za baadhi ya dini,
Hivyo johnthebaptist ana hofu kama ndugu yaku Olengurumo,

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
 
Usijidanganye. Kamwe katiba mpya tz aiwezi kupatikana chini ya mzanzibari na katiba hiyo ikawa sawa sawa, pia kama samia awezi kuleta katiba mpya kwa hii miaka 5 ni ujinga kudhani ataweza kusikilizwa kwenye miaka mitano ya mwisho.
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Naunga mkono hoja
Mratibu wa Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Onesmo Olengurumwa amewashauri Viongozi wa Vyama vya Upinzani kutosimamisha mgombea Urais 2025.

Olengurumwa amesema Wapinzani wajikite kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na ule wa Wabunge na Madiwani ila Uchaguzi wa Rais wamwachie Rais Samia kwani ameonesha uwezo mkubwa wa uongozi.

Olengurumwa amesema na hii ingekuwa vizuri kama itakuwa ni sehemu ya Maridhiano.

View attachment 2560998
Source Jambo TV
Naunga mkono hoja na hili mimi pia nilishauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
P
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Naunga mkono hoja 100% !!
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Naunga mkono hoja
Mratibu wa Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Onesmo Olengurumwa amewashauri Viongozi wa Vyama vya Upinzani kutosimamisha mgombea Urais 2025.

Olengurumwa amesema Wapinzani wajikite kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na ule wa Wabunge na Madiwani ila Uchaguzi wa Rais wamwachie Rais Samia kwani ameonesha uwezo mkubwa wa uongozi.

Olengurumwa amesema na hii ingekuwa vizuri kama itakuwa ni sehemu ya Maridhiano.

View attachment 2560998
Source Jambo TV
Naunga mkono hoja na hili mimi pia nilishauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030 ila pia nimemshauri Rais Samia, kwasababu kwa muda wa miaka miwili uliobakia kabla Rais Samia hajamaliza awamu yake ya kwanza, nimeshauri Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani, Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado!. Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!.
P
 
Ameonesha uthubutu kwa maneno pekee, lakini mpaka sasa hakuna kitendo chochote alichowahi kufanya kuendana na maneno yake, licha ya kupita muda mrefu mpaka sasa.

Hii inaweza kuwa ni hadaa tu za mwanasiasa ili atimize malengo yake, na unaposema apitishwe bila kupingwa, huo ndio utakuwa ujinga wetu wenyewe kukubaliana na hadaa zake.
 
Rais Samia Ndiye ameonesha uthubutu wa kutupatia Katiba Mpya

Tukizubaa na kuipoteza hii fursa anaweza kuja Magufuli mwingine ambaye Katiba mpya siyo kipaumbele chake

Hata Tundu Lissu akiingia Ikulu anaweza kubadilika na kusema Katiba mpya siyo muhimu kwa wakati wake kwani ameshatoa angalizo kwamba Misimamo ya kisiasa siyo Sheria za Mussa zilizoandikwa kwenye Mawe

Hivyo kama kweli tunahitaji Katiba Mpya basi 2025 mama Samia apite bila kupingwa na fedha itakayookolewa kwa kutofanya Uchaguzi wa Rais ipelekwe kugharamia Mchakato wa Katiba Mpya

Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Serikali yake imeweka mipaka ya kuwaingilia, wapo huru kufanya biashara bila bughudha na wanauhuru wa kufanya chochote watakacho.

Hali hii haikuwepo miaka kadhaa nyuma.

Kwanini wasikubaliane na hoja yako ili maridhiano yawe na tija katika uchaguzi wa 2029-2030.
 
Ameonesha uthubutu kwa maneno pekee, mpaka sasa hakuna kitendo chochote alichowahi kufanya kuendana na maneno yake licha ya kupita muda mrefu mpaka sasa.

Hii inaweza kuwa ni hadaa tu za mwanasiasa ili atimize malengo yake, na unaposema apitishwe bila kupingwa ndio utakuwa ujinga wetu wenyewe kukubaliana na hadaa zake.
Mbowe: Maridhiano ni Mchakato
 
Back
Top Bottom