Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida mnaendekeza njaa...Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
Yeye mwenyewe tu kwanza hana uwezo ni bas tu ujinga mzito wa wana ccm na uchawa waoTuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
Kama ccm wangetaka kumpata kiongozi bora kuliko Samia ndani ya chama chao wangeruhusu ushindani ili wanachama wajitokeze kuchuana nae!Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
[emoji625][emoji23] [emoji23] [emoji23] Kama huko ccm Samia ndio mwenye akili na uwezo wa kuwa rais pekeake. Basi nchi hii watu wake ni maiti
Wacha waendelee kumwabudu huyo Mama yao. Wanasahau Mungu ni mwenye wivu anaweza tenda lolote ili aabudiwe yeye pekeeShida mnaendekeza njaa...
Na mnaenda mbali zaidi na mnafananisha watawala na malaika na muumba...
Mbaya sana' hii....
Acheni kazi zake na anachokifanya kiseme na kinene chenyewe bila kuhitaji nguvu au kutumia nguvu kufanya hivyo...
Mnakufuru narudia mnakufuru, na endapo ataendelea kuabudiwa na kupenda kuabudiwa naamini muda ni rafiki wa Kila mtu'
Mungu wetu ni mwema na alitaka tumuabudu yeye na si binadamu
Lucas mwTuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
Lucas MwashambwaTuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
We ungeulizwa swali hili kabla Jiwe hajakata moto ungejibuje? Urais wa bongo unaendeshwa kwa AUTOPILOT/CRUISE CONTROL na kila mtu anauweza akiwa exposed!! Na hii ilianza kuthibitika aliposhika mkwere tu! Wakati wa transition ya Nyerere to Mwinyi, Mwinyi to jk na jk to jiwe kila mtu alifikiria kama wewe tu na wengine ilikua propanganda tu wanafanya kama wewe ili kuuhadaa umma kwamba hamna mtz mwingine anauweza urais, Kama vile Nyerere alivyokiri kwamba alikua anaambiwa na wapambe asiachie nchi changa hii na hamna mwingine kama yeye, then alikuja kugundua baadaye kwamba wanaomwambi walikua ni kwa maslahi yao tu.Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
Wewe unaona katika watanzania million 60 ni huyo kilaza pekee anafaa kuwa kiongozi namba moja? Wewe ni mjinga. Na wajinga kama wewe ndiyo wanarudisha nyuma maendeleo ya bara la Afrika. Magufuli aliandaliwa wapi? Mbona ameingia kuwa Rais na kafanya makubwa. Wajinga kama wewe ndiyo mtaji wa matapeli. Ngoja wakuf....i..re na hutanufaika na chochote. Wazazi wako waliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Bumbaaavu kabisa.Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
Kwani leo hii unaweza kukiri toka moyoni kuwa anafaa kuwa raisi?Before mama samia kuwa makamu wa Rais ungeweza kusema mama samia ni mwana ccm ambae alifaa kuwa raisi?
Nàjua lengo lako tutoe ya moyoni halafu muanze kumsumbua Mello.Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀
Kabla ya hapo Makamu wa Rais aliwahi kuwa Rais wa United Republic of Tanzania 🇹🇿 mwaka gani tena ??Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030
CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti
Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar
Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu
Tunaelimisha tu
Mlale Unono 😀