Pre GE2025 Tuwe Wakweli: Zaidi ya Dkt. Samia, ni mwanaCCM gani Mwingine Mwenye Uwezo wa kuwa Rais wa JMT?

Pre GE2025 Tuwe Wakweli: Zaidi ya Dkt. Samia, ni mwanaCCM gani Mwingine Mwenye Uwezo wa kuwa Rais wa JMT?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Shida mnaendekeza njaa...

Na mnaenda mbali zaidi na mnafananisha watawala na malaika na muumba...

Mbaya sana' hii....
Acheni kazi zake na anachokifanya kiseme na kinene chenyewe bila kuhitaji nguvu au kutumia nguvu kufanya hivyo...

Mnakufuru narudia mnakufuru, na endapo ataendelea kuabudiwa na kupenda kuabudiwa naamini muda ni rafiki wa Kila mtu'

Mungu wetu ni mwema na alitaka tumuabudu yeye na si binadamu
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Yeye mwenyewe tu kwanza hana uwezo ni bas tu ujinga mzito wa wana ccm na uchawa wao
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Kama ccm wangetaka kumpata kiongozi bora kuliko Samia ndani ya chama chao wangeruhusu ushindani ili wanachama wajitokeze kuchuana nae!
Kwa vile wanajua ni dhaifu Ndio maana wanamlinda dhidi ya udhaifu wake!
Umewahi kuona hata siku moja amefanya mahojiano bila kusoma kwemye karatasi?
Wako watu wengi wangejitokeza kama kusingekuwa na mizengwe ya wakina Kikwete! Wanafanya hivyo kwa kujua kuwa Samia ni pazia watawala wenyewe wakina Rostam/ Kikwete wako nyuma ya pazia wanakula nchi kwa jina la Samia.
 
Swali ni irrelevant.
CCM ikifungua mlango watu labda watachukua.
Wapo watu wana haiba CCM ambao wanaeezs kuwa Rais.
Haiba,by the way,maana yake hela.
Hiki Chama kwa kweli ni imara.
Yaani wale hawaoni watu fomu za CCM zikitolewa nyingi,hawa wajumbe,they will all be rolling in money.
 
Shida mnaendekeza njaa...

Na mnaenda mbali zaidi na mnafananisha watawala na malaika na muumba...

Mbaya sana' hii....
Acheni kazi zake na anachokifanya kiseme na kinene chenyewe bila kuhitaji nguvu au kutumia nguvu kufanya hivyo...

Mnakufuru narudia mnakufuru, na endapo ataendelea kuabudiwa na kupenda kuabudiwa naamini muda ni rafiki wa Kila mtu'

Mungu wetu ni mwema na alitaka tumuabudu yeye na si binadamu
Wacha waendelee kumwabudu huyo Mama yao. Wanasahau Mungu ni mwenye wivu anaweza tenda lolote ili aabudiwe yeye pekee
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Lucas mw
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Lucas Mwashambwa
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
We ungeulizwa swali hili kabla Jiwe hajakata moto ungejibuje? Urais wa bongo unaendeshwa kwa AUTOPILOT/CRUISE CONTROL na kila mtu anauweza akiwa exposed!! Na hii ilianza kuthibitika aliposhika mkwere tu! Wakati wa transition ya Nyerere to Mwinyi, Mwinyi to jk na jk to jiwe kila mtu alifikiria kama wewe tu na wengine ilikua propanganda tu wanafanya kama wewe ili kuuhadaa umma kwamba hamna mtz mwingine anauweza urais, Kama vile Nyerere alivyokiri kwamba alikua anaambiwa na wapambe asiachie nchi changa hii na hamna mwingine kama yeye, then alikuja kugundua baadaye kwamba wanaomwambi walikua ni kwa maslahi yao tu.

So urais sio utakatifu wala uungu hadi useme hamna mwanaccm au binadamu mwingine wa kibongo anaweza ila mama yenu tu. Nothing special baba msiaminishe watu ujinga wa kutukuza wanaowapa maslahi na kuubagaza uumbaji wa Mungu, kila mtu ana uwezo na akipata exposure atakua rais tu na huenda akafanya makubwa kuliko yeye na wewe umeconclude baada ya kumuona akitenda, hukumjua wala kufikiri anaweza kabla hajaletwa ulingoni na jiwe.

Tusikilizie upepo
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Wewe unaona katika watanzania million 60 ni huyo kilaza pekee anafaa kuwa kiongozi namba moja? Wewe ni mjinga. Na wajinga kama wewe ndiyo wanarudisha nyuma maendeleo ya bara la Afrika. Magufuli aliandaliwa wapi? Mbona ameingia kuwa Rais na kafanya makubwa. Wajinga kama wewe ndiyo mtaji wa matapeli. Ngoja wakuf....i..re na hutanufaika na chochote. Wazazi wako waliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Bumbaaavu kabisa.
 
Mleta mada acha kudhalilisha chama chako maana kama ulichosema ni kweli inamaana mliobaki ni marehemu mnaopumua
 
Before mama samia kuwa makamu wa Rais ungeweza kusema mama samia ni mwana ccm ambae alifaa kuwa raisi?
Kwani leo hii unaweza kukiri toka moyoni kuwa anafaa kuwa raisi?
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Nàjua lengo lako tutoe ya moyoni halafu muanze kumsumbua Mello.
Sawa wewe endelea kutuçhomesha kwa wàtawala.
 
Tuwe tu Wakweli ni mwanaccm gani Chama Cha Mapinduzi kimemuandaa kuwa Rais wa JMT kama alivyoandaliwa Dr Samia wakati wa shujaa Magufuli au atakavyoandaliwa Dr Emmanuel Nchimbi kuelekea uchaguzi wa 2030

CCM huwa inawaandaa Marais tofauti na Vyama vingine mfano Chadema wanaenda hadi Kwa Padre Kitima kuamuliwa nani agombee Urais na nani agombee Uenyekiti

Kwa Sasa Rais Samia na Rais Mwinyi Ndio pekee wamebeba maono ya CCM Kwa Urais wa Tanzania na Zanzibar

Dr Nchimbi alianza kuandaliwa na Mzee Mkapa hivyo 2030 atakuwa tayari Kwa kubeba jukumu la Amiri Jeshi Mkuu

Tunaelimisha tu

Mlale Unono 😀
Kabla ya hapo Makamu wa Rais aliwahi kuwa Rais wa United Republic of Tanzania 🇹🇿 mwaka gani tena ??

Imeanzia kwa Magufuli kwa unavoidable circumstance !

Labda useme kuanzia sasa tuamini kwamba mtu akiwa Makamu basi CCM inamuandaa kuwa Rais 😳 !
Ila nakubaliana na wewe hakuna anayeonekana mwingine zaidi ya Mheshimiwa Dr Samia ndani ya CCM 🙌🙏 👍 !

Ngoja Tusubiri tuone 😳🙄!
 
Back
Top Bottom