Tuwekane sawa jana Simba hawakucheza mpira bali waliruhusiwa kucheza mpira.

Tuwekane sawa jana Simba hawakucheza mpira bali waliruhusiwa kucheza mpira.

hydroxo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
3,553
Reaction score
7,334
Baada ya mechi ya jana kati ya Simba(makolo) na Al Ahly kuisha kwa kolo kuchomekwa kimoja na kushindwa kukichomoa wameibuka washabiki maandazi wa Simba wasiojua mpira na kuanza kusema jana simba alicheza sana mpira.

Kwenye mpira kucheza/kumiliki mpira dhidi ya mpinzani wako kunaweza kutokea kwa sababu mbili.

Mosi ni uwezo wa timu kumiliki mpira dhidi ya mpinzani wake.

Hapa ntatolea mfano timu yangu pendwa ya Barca wakati wa enzi za Pep.

Playing style ya barca (tiki taka) wakati huo ilikuwa inamfanya aweze kucheza na kuumiliki mpira hata kama timu pinzani ikiamua isipaki basi.

Walikua na uwezo wa kucheza na kumiliki mpira hata kama timu pinzani wataamua kukabia juu (high pressing).

Ndiyo maana ulikuwa unaweza kumfunga Barca lakini lakini sio kumzidi kumiliki mpira.

Turudi kwa Simba sasa.

Simba kwa sasa haina watu wa kuweza kumiliki mpira.Kuna wachezaji hata ball control zao ni za mashaka kwa kifupi wanacheza pira papatu papatu.Lile pira biriani ni zilipendwa.

Pili ni game approach ya kocha.

Timu inaweza kuonekana inacheza mpira kutokana na approach za kocha wa timu pinzani.

Jana kocha wa Al Ahly tangu dakika ya kwanza game plan yake ni kupaki basi na sio kupishana na Simba.Kwenye football timu ikishaamua kupaki basi maana yake wameruhusu timu pinzani icheze na imiliki mpira kwa kiwango kikubwa ndiyo maana jana simba alionekana akicheza sana mpira na kuwashambulia mno Al Akhly.

Kocha alishapima akaona hata akiruhusu simba wacheze na yeye apaki basi hawatokuwa na madhara langoni mwao na ndicho kilichotokea.

Simba waliruhusiwa kucheza lakini hawakupata bao hata moja.

Unafikiri kwa nini game ya Ahly na Yanga Cairo Ahly awakupaki basi?

Ni kwasababu walijua ubora wa Yanga.

Laiti wangepaki basi na kuruhusu Yanga acheze kama walivyoruhusu jana Simba acheze wangeweza kufungwa hata goli tatu.

Hivyo makolo msijifariji kwamba jana mlicheza mpira ni approach ya kocha wa Ahly kwa game ya jana ndiyo iliyowapa faida ya nyinyi kucheza.

Laiti Ahly angesema afunguke pengine mngefungwa hata tatu na mpira mngeusaka kwa tochi.
 
Baada ya mechi ya jana kuisha kati ya Simba(makolo) na Al Ahly kuisha kwa kolo kuchomekwa kimoja na kushindwa kukichomoa wameibuka washabiki maandazi wa Simba wasiojua mpira na kuanza kusema jana simba alicheza sana mpira.

Kwenye mpira kucheza/kumiliki mpira dhidi ya mpinzani wako kunaweza kutokea kwa sababu mbili.

Mosi ni uwezo wa timu kumiliki mpira dhidi ya mpinzani wake.

Hapa ntatolea mfano timu yangu pendwa ya Barca wakati wa enzi za Pep.

Playing style ya barca (tiki taka) wakati huo ilikuwa inamfanya aweze kucheza na kuumiliki mpira hata kama timu pinzani ikiamua isipaki basi.

Walikua na uwezo wa kucheza na kumiliki mpira hata kama timu pinzani wataamua kukabia juu (high pressing).

Ndiyo maana ndiyo maana unaweza ulikuwa unaweza kumfunga Barca lakini lakini sio kumzidi kumiliki mpira.

Turudi kwa Simba sasa.

Simba kwa sasa haina watu wa kuweza kumiliki mpira.Kuna wachezaji hata ball control zao ni za mashaka kwa kifupi wanacheza pira papatu papatu.Lile pira biriani ni zilipendwa.

Pili ni game approach ya kocha.

Timu inaweza kuonekana inacheza mpira kutokana na approach za kocha wa timu pinzani.

Jana kocha wa Al Ahly tangu dakika ya kwanza game plan yake ni kupaki basi na sio kupishana na Simba.Kwenye football timu ikishaamua kupaki basi maana yake wameruhusu timu pinzani icheze na imiliki mpira kwa kiwango kikubwa ndiyo maana jana simba alionekana akicheza sana mpira na kuwashambulia mno Al Akhly.

Kocha alishapima akaona hata akiruhusu simba wacheze na yeye apaki basi hawatokuwa na madhara langoni mwao na ndicho kilichotokea.

Simba waliruhusiwa kucheza lakini hawakupata bao hata moja.

Unafikiri kwa nini game ya Ahly na Yanga Cairo Ahly awakupaki basi?

Ni kwasababu walijua ubora wa Yanga.

Laiti wangepaki basi na kuruhusu Yanga acheze kama walivyoruhusu jana Simba acheze wangeweza kufungwa hata goli tatu.

Hivyo makolo msijifariji kwamba jana mlicheza mpira ni approach ya kocha wa Ahly kwa game ya jana ndiyo iliyowapa faida ya nyinyi kucheza.

Laiti Ahly angesema afunguke pengine mngefungwa hata tatu na mpira mngeusaka kwa tochi.
Kwahiyo wakiruhusiwa kucheza mpira wanakua hawajacheza mpira?.Kwa level za ahly simba jana kacheza mpira mkubwa sana ndo maana wao walipaki basi kama sehemu ya mbinu.Mengine ni matokeo tu ya mchezo.
 
Kwahiyo wakiruhusiwa kucheza mpira wanakua hawajacheza mpira?.Kwa level za ahly simba jana kacheza mpira mkubwa sana ndo maana wao walipaki basi kama sehemu ya mbinu.Mengine ni matokeo tu ya mchezo.
Timu ikishaamua kupaki basi simply wameruhusu mpinzani wao acheze hata kama ni mbovu ataonekana anacheza tu.

Na ndiyo kilichotokea jana.
Mkienda Cairo hawatopaki basi mtapishana nao na utaona matokeo yake.
 
Al ahly anajua anachokifanya. ndani ya miaka 10 iliyopita katwaa ubingwa mara nyingi sana kwa mbinu hizo hizo. za kukuachia ucheze mpira mwingi usio na madhara


1711797548157.png
 
Al ahly anajua anachokifanya. ndani ya miaka 10 iliyopita katwaa ubingwa mara nyingi sana kwa mbinu hizo hizo. za kukuachia ucheze mpira mwingi usio na madhara


View attachment 2949054

dah kwa kwelli waarabu wanavyotufanya sio poa, wanatunyanyasa sana, ipo haja tuandamane waondolewe waingizwe bara la Asia. kwenye miaka 13 wamebeba mara 11 !!! na ukienda kwenye caf confidaretion mambo ndio hayo hayo.
 
Baada ya mechi ya jana kati ya Simba(makolo) na Al Ahly kuisha kwa kolo kuchomekwa kimoja na kushindwa kukichomoa wameibuka washabiki maandazi wa Simba wasiojua mpira na kuanza kusema jana simba alicheza sana mpira.

Kwenye mpira kucheza/kumiliki mpira dhidi ya mpinzani wako kunaweza kutokea kwa sababu mbili.

Mosi ni uwezo wa timu kumiliki mpira dhidi ya mpinzani wake.

Hapa ntatolea mfano timu yangu pendwa ya Barca wakati wa enzi za Pep.

Playing style ya barca (tiki taka) wakati huo ilikuwa inamfanya aweze kucheza na kuumiliki mpira hata kama timu pinzani ikiamua isipaki basi.

Walikua na uwezo wa kucheza na kumiliki mpira hata kama timu pinzani wataamua kukabia juu (high pressing).

Ndiyo maana ulikuwa unaweza kumfunga Barca lakini lakini sio kumzidi kumiliki mpira.

Turudi kwa Simba sasa.

Simba kwa sasa haina watu wa kuweza kumiliki mpira.Kuna wachezaji hata ball control zao ni za mashaka kwa kifupi wanacheza pira papatu papatu.Lile pira biriani ni zilipendwa.

Pili ni game approach ya kocha.

Timu inaweza kuonekana inacheza mpira kutokana na approach za kocha wa timu pinzani.

Jana kocha wa Al Ahly tangu dakika ya kwanza game plan yake ni kupaki basi na sio kupishana na Simba.Kwenye football timu ikishaamua kupaki basi maana yake wameruhusu timu pinzani icheze na imiliki mpira kwa kiwango kikubwa ndiyo maana jana simba alionekana akicheza sana mpira na kuwashambulia mno Al Akhly.

Kocha alishapima akaona hata akiruhusu simba wacheze na yeye apaki basi hawatokuwa na madhara langoni mwao na ndicho kilichotokea.

Simba waliruhusiwa kucheza lakini hawakupata bao hata moja.

Unafikiri kwa nini game ya Ahly na Yanga Cairo Ahly awakupaki basi?

Ni kwasababu walijua ubora wa Yanga.

Laiti wangepaki basi na kuruhusu Yanga acheze kama walivyoruhusu jana Simba acheze wangeweza kufungwa hata goli tatu.

Hivyo makolo msijifariji kwamba jana mlicheza mpira ni approach ya kocha wa Ahly kwa game ya jana ndiyo iliyowapa faida ya nyinyi kucheza.

Laiti Ahly angesema afunguke pengine mngefungwa hata tatu na mpira mngeusaka kwa tochi.
Sawa,
Kwa hiyo hata Yanga waliamua kupaki bus na kuwaruhusu Mamelodi wacheze mpira?
 
Sawa,
Kwa hiyo hata Yanga waliamua kupaki bus na kuwaruhusu Mamelodi wacheze mpira?
Wacheze mpira wapi?

Golini kwao katikati au kwenye final third?

Mi nimeona masandawana walicheza mpira sana kwenye goli lao wakipiga pasi nyingi zisizo na faida kati ya kipa na mabeki wake.

TacticallyYanga alimuweza mamelodi.
 
Back
Top Bottom