Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Vijijini ambapo baiskel zilikua za kuhesabuUmekulia maeneo gani???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijijini ambapo baiskel zilikua za kuhesabuUmekulia maeneo gani???
Yule mkandarasi amefeli mapema barabara haijalishi Alisha jenga chini ya kiwangoWakati barabara ya Shekilango inajengwa mimi ni mmoja wa watu walioponda wajenzi kwa jinsi walivyokuwa wanajenga.
Yaani ilikuwa vurugu mechi, mara wamechimba hapa wameacha, wamejenga hapa wameacha, wametindua huku wameacha. Nikajisemea sijawahi kuona wajenzi wabovu kama hawa na hii njia itakuwa kituko.
Baada ya barabara ile kuisha nilistaajabu jinsi ilivyo nzuri na kiwango cha kuridhisha kabisa! Sasa hivi kuna ujenzi unaendelea wa barabara ya KIlwa na Kawawa ukijumuisha barabara za mwendoksai.
Watu wengi wanaponda ujenzi ule na mkandarasi wake. Nawaambia tu tuweke akiba ya maneno. Sidhani kama wajenzi wale wanajenga nje ya ramani na michoro ya barabara ile. Lazima kuna watu wanaangalia vitu hivi vinazingatiwa.
Namna yao ya ujenzi ni kama ile ya Shekilango yaani vurugu mechi mwanzo mwisho ila kwa ninavyoona sehemu chache 'zilizokamilika' hii itakuwa barabara bora kuliko hata ile ya Kimara-Kivukoni.
Najua wengi watapinga hasa ambao hata huwa hawatumii hizo barabara wanafuata mkumbo tu na mawazo hasi ila narudia tena tuweka akiba ya maneno.
Pole sanaVijijini ambapo baiskel zilikua za kuhesabu
ShoebaruMkuu una gari????
Subaru,sio pwShoebaru
Hakika🤜Nimejifunza.
Muandishi MZURI haswa.Wakati barabara ya Shekilango inajengwa mimi ni mmoja wa watu walioponda wajenzi kwa jinsi walivyokuwa wanajenga.
Yaani ilikuwa vurugu mechi, mara wamechimba hapa wameacha, wamejenga hapa wameacha, wametindua huku wameacha. Nikajisemea sijawahi kuona wajenzi wabovu kama hawa na hii njia itakuwa kituko.
Baada ya barabara ile kuisha nilistaajabu jinsi ilivyo nzuri na kiwango cha kuridhisha kabisa! Sasa hivi kuna ujenzi unaendelea wa barabara ya KIlwa na Kawawa ukijumuisha barabara za mwendoksai.
Watu wengi wanaponda ujenzi ule na mkandarasi wake. Nawaambia tu tuweke akiba ya maneno. Sidhani kama wajenzi wale wanajenga nje ya ramani na michoro ya barabara ile. Lazima kuna watu wanaangalia vitu hivi vinazingatiwa.
Namna yao ya ujenzi ni kama ile ya Shekilango yaani vurugu mechi mwanzo mwisho ila kwa ninavyoona sehemu chache 'zilizokamilika' hii itakuwa barabara bora kuliko hata ile ya Kimara-Kivukoni.
Najua wengi watapinga hasa ambao hata huwa hawatumii hizo barabara wanafuata mkumbo tu na mawazo hasi ila narudia tena tuweka akiba ya maneno.
Sasa kama baada ya kuweza kutembea utotoni mshua alinikabidhi Lamborghin ya kuendea chekechea, hivyo vibaskeli nitajulia wapi kuendesha?Hivi kuna mwanaume asiyejua kuendesha baiskel?????
Kwani kuendesha baiskeli ni kitu spesho sana au, yaani sijawahi hata kujisumbua kujifunzaMhhh mbona mnanipa mashaka sasa
🤔🤔🤔Sasa kama baada ya kuweza kutembea utotoni mshua alinikabidhi Lamborghin ya kuendea chekechea, hivyo vibaskeli nitajulia wapi kuendesha?