Tuweke Akiba Ya Maneno

Yule mkandarasi amefeli mapema barabara haijalishi Alisha jenga chini ya kiwango
 
Muandishi MZURI haswa.
 
Tuwekee kapicha na sisi wa Namtumbo huku tuone iyo barabara ya Dar ilivyo.
 
Ni sahihi kabisa, kazi hizi huenda kwa mpangilio kulingana na mpango kazi wa mkandarasi katika utekelezaji wa kazi husika, kama wewe sio muhusika unaweza kuhisi watu wanaharibu lakini pindi kazi itakapokamilika na kukabidhiwa utabaki una staajabu, ndivyo zilivyo kazi nyingi za ujenzi, na kazi hizi zinahitaji subira na uvumilivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…