Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashauri watu waoe bikra?Ni kweli lakini baada ya kuona hiyo video, nimeowaona wale vijana kwa namna hiyo. Kwasababu inawezekana huyo mwanamke hakumkuta na usichana wake, akamfumania then akamdhalilisha mwanaume aliyemfumania nae (hapa aliyefumaniwq inawezekana alikua anajua/hakua anajua kama anayeshiriki nae ni mke wa mtu) lakini pia sio kwamba huyo mwanamke ndio ataachs kama ndio tabia yake.
Upo sawa ila kwa hali ilivyo usalama ni kutokuhangaika na wake za watu si kuwaelimisha wenye wake.Ni kweli lakini baada ya kuona hiyo video, nimeowaona wale vijana kwa namna hiyo. Kwasababu inawezekana huyo mwanamke hakumkuta na usichana wake, akamfumania then akamdhalilisha mwanaume aliyemfumania nae (hapa aliyefumaniwq inawezekana alikua anajua/hakua anajua kama anayeshiriki nae ni mke wa mtu) lakini pia sio kwamba huyo mwanamke ndio ataachs kama ndio tabia yake.
Lakini moyo unauma sana 😂!!.Kumfumania mtu ni uswahili na ushamba wa kitoto , Acha wamalize shoo zao kama nikumwacha achana nae kama nikumsamehe ndio umeamua hivyo msamehe.
Mwanangu hivi utamsamehe vipi manake kila akilala mtoto analalama na kumtacha mwana alie mnyandua🤣🤣🤣Kumfumania mtu ni uswahili na ushamba wa kitoto , Acha wamalize shoo zao kama nikumwacha achana nae kama nikumsamehe ndio umeamua hivyo msamehe.
NI noma ila kuna miamba inasamehe mkuu😁Mwanangu hivi utamsamehe vipi manake kila akilala mtoto analalama na kumtacha mwana alie mnyandua🤣🤣🤣
Kwa hiyo bro ukienda kufumania ndio moyo hauta uma😂Lakini moyo unauma sana 😂!!.
Asee mke ni mke, hata akiwa yule mwingine wa pembeni unaye_mfeel kuna sehemu moyo utaugua tu.Kwa hiyo bro ukienda kufumania ndio moyo hauta uma😂
Kwanza kabisa kwa upande wangu sifanyi hata siku moja kazi ya kumfumania Aidha mke wangu au mpenzi wangu. Kwasababu mpaka mwanamke anachepuka ujue kunasababu mbili kuu tatu kwako, Aidha unamapungufu fulani, au nitabia yake mbaya au analipiza kisasi kwakuwa nawewe umetenda hivyo. Muhimu kwenye ndoa ni kuhishi kwa kuheshimiana na si kwakutegeana mitego mitego, sisi binadamu siyo wakamilifu kwahiyo nilazima tuwe tunaangalia hivi huyu mume au mke wangu mpaka anaamua kufanya Tendo hili na mtu mwingine wakati kila siku tunalala wote kitanda kimoja sababu yake. Nini. Ila ukiamua kupigana au kumuadhibu muhusika wala siyo dawa, sana sana utajiongezea mastress bure.Habarini za muda huu wadau!!
Kumekua na video kadhaa ziki postiwa mitandaoni zikionyesha baadhi ya watu (waume/wake) za watu wakiwa wamefumaniwa.
Je, ni kipi sahihi kifanyike endapo utamfumania mwenza wako?
Je, utajishughulisha na mwenzi wako au utajishughulisha na mgoni wako?