joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ila dah Juma Nature, Sinta, Diamond na Wema wame mtajirisha sana Shigongo.Shigongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila dah Juma Nature, Sinta, Diamond na Wema wame mtajirisha sana Shigongo.Shigongo.
Hizo 'kapo' ndiyo zilikuwa zanauza magazeti ya udaku, hasa ya Sadala na Sepenga.Ila dah Juma Nature, Sinta, Diamond na Wema wame mtajirisha sana Shigongo.
kama shamte naye ni staa wa bongo basiKatika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake either kumtukana au kumsifia.
Awa ndio mastaa waliotengenezwa na Diamond Platnumz mfalme wa music Africa.
Rayvanny
Zuchu
Harmonize
Lavalava
Hamisa Mobetto
Tanasha
Baba Levo
Juma Lokole
Mwijaku
Zari the Bosslady
Aliyah
Jonijoo
Carymastory
Esma Platnumz
Mzee Abdul
Uncle Shamte
George Ambangile
Lukamba
Kifesi
Director kenny
................
Nitaendelea
We umeanza kufatilia mziki juzi tu kumbe, kuna mtu alikua haijui ile ngoma ya vuvuzela. ?? Kama huijui basi kaa kimya acha wakubwa waongee.Hahahaha wewe mwenyewe unajua Baba Levo ameanza kujulikana lini na hadi mshua wako.
Mondi kamboost ila sio kua jamaa alikua hafahamiki. Hao kina lavalava sawa ila huyu hapana.Hajui Kama baba levo alianza kufahamika kabla ya mond [emoji23]
Ww ndo ulikua humjui ata ambangiLe unajua katokea redio gani kwanza mpaka anqskika wasafi....? Inaelekea sio mfuatiliaji sana wa hY tasnia mzeeExactly, before kuchukuliwa na Mondi hakuna aliyemjua.
Baba Level amejulikana kabla ya DiamondHahahaha wewe mwenyewe unajua Baba Levo ameanza kujulikana lini na hadi mshua wako.