Tuweke rekodi katika kumbukumbu Rais Samia ameirejesha Diplomasia ya Tanzania Kimataifa!

Tuweke rekodi katika kumbukumbu Rais Samia ameirejesha Diplomasia ya Tanzania Kimataifa!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Wakati anaingia madarakani ilionekana kama anakirupuka hivi yaani anafungua nchi.

Wengi tusingeweza kuamini kama angeonesha consistence katika sera yake ya mambo ya nje...yaani kufungua fursa kwa watanzania kuelekea mchangamano wa kidunia.

Inawezekana wasaidizi waliopewa kazi hii awali hawakuielewa vyema na walishindwa kuja na namna bora ya kuitekeleza.

Lakini nimefurahishwa na Government machinneries zilivyoweza kuboresha ,kumsoma na hatimaye kumuelewa katika sera hii aliyoingia nayo.

1,-Eneo la kwanza

Inaonekana analysts wa Kitanzania waliona mbali juu ya muelekeo wa Geo politics na Global politics mapema sana. Kuyumba kwa mahusiano ya west na Wengineo,Kuyumba kwa uchumi,kubadilika kwa mahitaji ya nishati,biashara n.k

2,-Mshirika wetu wa awali na pengine mwenye vinasaba na watanzania yaani mwarabu...kwa muda mrefu tulimweka pembeni japo inaonekana ameelekea kuimarika kiuchumi chini ya mbinu mpya za kiutandawazi.

3-Muelekeo usioridhisha na usiotabirika sana wa nchi za EAC dhidi ya fursa za udugu na Wana-SADC

4-Muendelezo wa kujenga haiba ya kitajiri na weledi ulioasisiwa na Mwl.Nyerere ,ukajengewa mifumo na Mkapa na ukaanza kutekelezwa na JPM.

5-Matumizi ya mwanadiplomasia mkongwe Jakaya Mrisho Kikwete na nguvu yake katika Africa-International relations(N.B JK alipikwa kidiplomasia toka enzi za AICC na akapikika zaidi akiwa foreign office.He is just the master in international neyworking.!!

Kwa ufupi ninaona kazi muhimu mbele yetu ni kumpa na kumpa tena ili twende kwao 2025.

Kilichobakia ni kumentor vijana bora ambao kwa sasa wamevamia ughaibuni sio kwa kuzamia bali kwa kwenda kufanya biashara with daring mind and a lot of confidence.

GAP:Tunahitaji kuandaa bidhaa za kidiplomasia tutakazozipeleka nje ya nchi....
Mfano:Swahili Culture,Singeli music,Packaged processed products,electronics based on available minerals n.k


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Hii ni rank ya maraisi kutokana na ukuaji wa pato la mtu mmoja mmoja kipindi ambapo wameingia madarakani katika miaka yao mitano ya mwanzao, rank inaanza kwa mwenye pafomansi kubwa hadi mwenye ndogo (orodha hii imeondoa awamu ya kwanza na ya pili)

1. Rais Benjamin William Mkapa
Kati ya mwaka 1995-2000, gdp per capita ya Tanzania ilikuwa inakuwa kwa 9.2%
Ukuaji mkubwa zaidi ulitokea kati ya 1996 hadi 1998 baada ya hapo ukuaji ukawa ni taratibu hadi kipindi anatoka madarakani

2. Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Kati ya mwaka 2005-2010 gdp per capita ya Tanzania ilikuwa kwa 8.8%, kipindi hiki ukuaji pato mtu mmoja mmoja (gdp per capita) ilianza kukua tena kwa kasi kama ilivyokuwa kipindi cha mwanzo cha rais mkapa

Ukuaji mkubwa ulitokea kati ya 2006-2008 ila 2009 ukuaji ulikuwa mdogo ila kuanzia 2010 kasi ya ukuaji ilikuwa kubwa kwa wastani 9.3% mpaka awamu yake ilipoisha

3. Rais John Pombe Magufuli
Kati ya mwaka 2015-2020 gdp per capita ya Tanzania ilikuwa kwa wastani wa 3.2%

Ukuaji wa pato la mtu mmoja mmoja nchini ulikuwa ni mdogo kwa wakati wote isipokuwa mwaka 2020 ambapo gdp per capita ilikuwa kwa 5%

Ila kwa miaka mitatu mfufululizo(2016-2019) gdp per capita ilikuwa kwa 3%, hiki ndio kipindi msemo wa vyuma vimekanza uliibuka,

4. Rais Samia Suluhu Hassan
Kati ya mwaka 2021-2024 gdp per capita ya Tanzania imekuwa ikikuwa kwa wastani wa 2.17%

Katika miaka mitatu ya Rais ni mwaka 2022 tu pato la mtu mmoja mmoja lilikuwa kwa 4% kwani baada ya hapo ukuaji sio mzuri hasa kwa mwaka 2023 na 2024.

Huku mwaka 2024 ndio ikiwa na ukuaji mdogo zaidi katika miaka 30, kwani kwa kutazama taarifa za IMF, utaona gdp per capita imekuwa kwa 0.7%
 
Kama ameirejesha nani aliiondoa/aliivuruga diplomasia yetu na kwanini aliruhusiwa?
 
Wakati anaingia madarakani ilionekana kama anakirupuka hivi yaani anafungua nchi.
Wengi tusingeweza kuamini kama angeonesha consistence katika sera yake ya mambo ya nje...yaani kufungua fursa kwa watanzania kuelekea mchangamano wa kidunia.
Inawezekana wasaidizi waliopewa kazi hii awali hawakuielewa vyema na walishindwa kuja na namna bora ya kuitekeleza.
Lakini nimefurahishwa na Government machinneries zilivyoweza kuboresha ,kumsoma na hatimaye kumuelewa katika sera hii aliyoingia nayo.
1,-Eneo la kwanza
Inaonekana analysts wa kitanzania waliona mbali juu ya muelekeo wa Geo politics na Global politics mapema sana.
Kuyumba kwa mahusiano ya west na Wengineo,Kuyumba kwa uchumi,kubadilika kwa mahitaji ya nishati,biashara n.k
2,-Mshirika wetu wa awali na pengine mwenye vinasaba na watanzania yaani mwarabu...kwa muda mrefu tulimweka pembeni japo inaonekana ameelekea kuimarika kiuchumi chini ya mbinu mpya za kiutandawazi.

3-Muelekeo usioridhisha na usiotabirika sana wa nchi za EAC dhidi ya fursa za udugu na Wana-SADC
4-Muendelezo wa kujenga haiba ya kitajiri na weledi ulioasisiwa na Mwl.Nyerere ,ukajengewa mifumo na Mkapa na ukaanza kutekelezwa na JPM.

5-Matumizi ya mwanadiplomasia mkongwe Jakaya Mrisho Kikwete na nguvu yake katika Africa-International relations(N.B JK alipikwa kidiplomasia toka enzi za AICC na akapikika zaidi akiwa foreign office.He is just the master in international neyworking.!!

Kwa ufupi ninaona kazi muhimu mbele yetu ni kumpa na kumpa tena ili twende kwao 2025.

Kilichobakia ni kumentor vijana bora ambao kwa sasa wamevamia ughaibuni sio kwa kuzamia bali kwa kwenda kufanya biashara with daring mind and a lot of confidence.

GAP:Tunahitaji kuandaa bidhaa za kidiplomasia tutakazozipeleka nje ya nchi....
Mfano:Swahili Culture,Singeli music,Packaged processed products,electronics based on available minerals n.k


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Samia mitano
 
Wakati anaingia madarakani ilionekana kama anakirupuka hivi yaani anafungua nchi.
Wengi tusingeweza kuamini kama angeonesha consistence katika sera yake ya mambo ya nje...yaani kufungua fursa kwa watanzania kuelekea mchangamano wa kidunia.
Inawezekana wasaidizi waliopewa kazi hii awali hawakuielewa vyema na walishindwa kuja na namna bora ya kuitekeleza.
Lakini nimefurahishwa na Government machinneries zilivyoweza kuboresha ,kumsoma na hatimaye kumuelewa katika sera hii aliyoingia nayo.
1,-Eneo la kwanza
Inaonekana analysts wa kitanzania waliona mbali juu ya muelekeo wa Geo politics na Global politics mapema sana.
Kuyumba kwa mahusiano ya west na Wengineo,Kuyumba kwa uchumi,kubadilika kwa mahitaji ya nishati,biashara n.k
2,-Mshirika wetu wa awali na pengine mwenye vinasaba na watanzania yaani mwarabu...kwa muda mrefu tulimweka pembeni japo inaonekana ameelekea kuimarika kiuchumi chini ya mbinu mpya za kiutandawazi.

3-Muelekeo usioridhisha na usiotabirika sana wa nchi za EAC dhidi ya fursa za udugu na Wana-SADC
4-Muendelezo wa kujenga haiba ya kitajiri na weledi ulioasisiwa na Mwl.Nyerere ,ukajengewa mifumo na Mkapa na ukaanza kutekelezwa na JPM.

5-Matumizi ya mwanadiplomasia mkongwe Jakaya Mrisho Kikwete na nguvu yake katika Africa-International relations(N.B JK alipikwa kidiplomasia toka enzi za AICC na akapikika zaidi akiwa foreign office.He is just the master in international neyworking.!!

Kwa ufupi ninaona kazi muhimu mbele yetu ni kumpa na kumpa tena ili twende kwao 2025.

Kilichobakia ni kumentor vijana bora ambao kwa sasa wamevamia ughaibuni sio kwa kuzamia bali kwa kwenda kufanya biashara with daring mind and a lot of confidence.

GAP:Tunahitaji kuandaa bidhaa za kidiplomasia tutakazozipeleka nje ya nchi....
Mfano:Swahili Culture,Singeli music,Packaged processed products,electronics based on available minerals n.k


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kweli wewe Ni jinga lao
 
Nisingecomment bila kusoma.

Unaogopa nini kumtaja aliyevuruga au ndio bado mna ushabiki damu na mambo yake?
Kuna muda wa kutingisha na kung'uta ili vumbi lijetenge.
Shake well before use!!
 
Kuna muda wa kutingisha na kung'uta ili vumbi lijetenge.
Shake well before use!!
Pole sana..

Ukweli unajulikana , Magufuli die hard itachukua muda sana mkubali uharibifu aliofanya.

Jibu lilikuwa ni jepesi ungejibu Magufuli.
 
Wakati anaingia madarakani ilionekana kama anakirupuka hivi yaani anafungua nchi.

Wengi tusingeweza kuamini kama angeonesha consistence katika sera yake ya mambo ya nje...yaani kufungua fursa kwa watanzania kuelekea mchangamano wa kidunia.

Inawezekana wasaidizi waliopewa kazi hii awali hawakuielewa vyema na walishindwa kuja na namna bora ya kuitekeleza.

Lakini nimefurahishwa na Government machinneries zilivyoweza kuboresha ,kumsoma na hatimaye kumuelewa katika sera hii aliyoingia nayo.

1,-Eneo la kwanza

Inaonekana analysts wa Kitanzania waliona mbali juu ya muelekeo wa Geo politics na Global politics mapema sana. Kuyumba kwa mahusiano ya west na Wengineo,Kuyumba kwa uchumi,kubadilika kwa mahitaji ya nishati,biashara n.k

2,-Mshirika wetu wa awali na pengine mwenye vinasaba na watanzania yaani mwarabu...kwa muda mrefu tulimweka pembeni japo inaonekana ameelekea kuimarika kiuchumi chini ya mbinu mpya za kiutandawazi.

3-Muelekeo usioridhisha na usiotabirika sana wa nchi za EAC dhidi ya fursa za udugu na Wana-SADC

4-Muendelezo wa kujenga haiba ya kitajiri na weledi ulioasisiwa na Mwl.Nyerere ,ukajengewa mifumo na Mkapa na ukaanza kutekelezwa na JPM.

5-Matumizi ya mwanadiplomasia mkongwe Jakaya Mrisho Kikwete na nguvu yake katika Africa-International relations(N.B JK alipikwa kidiplomasia toka enzi za AICC na akapikika zaidi akiwa foreign office.He is just the master in international neyworking.!!

Kwa ufupi ninaona kazi muhimu mbele yetu ni kumpa na kumpa tena ili twende kwao 2025.

Kilichobakia ni kumentor vijana bora ambao kwa sasa wamevamia ughaibuni sio kwa kuzamia bali kwa kwenda kufanya biashara with daring mind and a lot of confidence.

GAP:Tunahitaji kuandaa bidhaa za kidiplomasia tutakazozipeleka nje ya nchi....
Mfano:Swahili Culture,Singeli music,Packaged processed products,electronics based on available minerals n.k


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nani aliifunga hadi yeye amekuja kuifungua?
 
Pole sana..

Ukweli unajulikana , Magufuli die hard itachukua muda sana mkubali uharibifu aliofanya.

Jibu lilikuwa ni jepesi ungejibu Magufuli.
Kwa analysis yangu ...ukiondoa kipindi cha Mwl. Nyerere utajikuta umeangukia zama hizi za Samia....Kidiplomasia.
 
Pole sana..

Ukweli unajulikana , Magufuli die hard itachukua muda sana mkubali uharibifu aliofanya.

Jibu lilikuwa ni jepesi ungejibu Magufuli.
Kwa analysis yangu ...ukiondoa kipindi cha Mwl. Nyerere utajikuta umeangukia zama hizi za Samia....Kidiplomasia
 
Wakati anaingia madarakani ilionekana kama anakirupuka hivi yaani anafungua nchi.

Wengi tusingeweza kuamini kama angeonesha consistence katika sera yake ya mambo ya nje...yaani kufungua fursa kwa watanzania kuelekea mchangamano wa kidunia.

Inawezekana wasaidizi waliopewa kazi hii awali hawakuielewa vyema na walishindwa kuja na namna bora ya kuitekeleza.

Lakini nimefurahishwa na Government machinneries zilivyoweza kuboresha ,kumsoma na hatimaye kumuelewa katika sera hii aliyoingia nayo.

1,-Eneo la kwanza

Inaonekana analysts wa Kitanzania waliona mbali juu ya muelekeo wa Geo politics na Global politics mapema sana. Kuyumba kwa mahusiano ya west na Wengineo,Kuyumba kwa uchumi,kubadilika kwa mahitaji ya nishati,biashara n.k

2,-Mshirika wetu wa awali na pengine mwenye vinasaba na watanzania yaani mwarabu...kwa muda mrefu tulimweka pembeni japo inaonekana ameelekea kuimarika kiuchumi chini ya mbinu mpya za kiutandawazi.

3-Muelekeo usioridhisha na usiotabirika sana wa nchi za EAC dhidi ya fursa za udugu na Wana-SADC

4-Muendelezo wa kujenga haiba ya kitajiri na weledi ulioasisiwa na Mwl.Nyerere ,ukajengewa mifumo na Mkapa na ukaanza kutekelezwa na JPM.

5-Matumizi ya mwanadiplomasia mkongwe Jakaya Mrisho Kikwete na nguvu yake katika Africa-International relations(N.B JK alipikwa kidiplomasia toka enzi za AICC na akapikika zaidi akiwa foreign office.He is just the master in international neyworking.!!

Kwa ufupi ninaona kazi muhimu mbele yetu ni kumpa na kumpa tena ili twende kwao 2025.

Kilichobakia ni kumentor vijana bora ambao kwa sasa wamevamia ughaibuni sio kwa kuzamia bali kwa kwenda kufanya biashara with daring mind and a lot of confidence.

GAP:Tunahitaji kuandaa bidhaa za kidiplomasia tutakazozipeleka nje ya nchi....
Mfano:Swahili Culture,Singeli music,Packaged processed products,electronics based on available minerals n.k


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

View: https://x.com/azamtvtz/status/1900833001535095036?t=47BBDL8Po8GwsDt0s_JoNA&s=19
 
Back
Top Bottom