Tuweke rekodi sawa. Hayati Magufuli hakuwahi kuzuia wakulima kuuza mazao nje

Tuweke rekodi sawa. Hayati Magufuli hakuwahi kuzuia wakulima kuuza mazao nje

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Kuna Sukuma gang uchwara wanataka kusema kuwa JPM alikuwa akizuia wakulima kuuza mazao nje. Wanapotosha mchana kweupe. Sera ya Bashe ndiyo ilikuwa sera ya JPM. Ndiyo sera iliyokuwa inaenda kumkomboa mkulima. Hakuwa na hizi sera za kuiba mali ya wakulima.

 
Acha kuokoteza okoteza vispeech vya Hayati JPM ,CHUMA, bila kuruhusu matope yako kichwan kufikiria ni alizungumza mwaka gan hayo, Kwa Watu gan.

Wewe Bashe, ni mpuuzi tuu, ulomdanganya SSS, Sasa SSS kaona isiwe tabu, Karudi mule mule Kwa JPM.

Na Bado.

Tunakusubiria kwenye BBT, mbona Utaona Nchi Chungu.
 
CHADEMA mkome. You must cease and desist.
Acheni kuendeleza ajenda yenu ya kuwaangamiza kabila la WASUKUMA

Ieleweke, hakuna Genge wala gang lelote lile Tanzania linaloitwa "Sukuma gang" Kuna Kabila la WASUKUMA.

CHADEMA and its affiliate, must stop the secessionist and genocidal agenda aginst the WASUKUMA tribe!

Stop!

Mustakabhali wa nchi uwe ndio hivyo tu, na sio wa kuufanya uwe wa ubaguzi baguzi ndio muweze kufikisha jumbe zenu.

Again, stop your online terrorism stance.
 
Mmemshambulia sana mtu asiye hai bila mafanikio chaajabu mnampaka hata mambo ambayo hakuyafanya wachawi nyie
 
Mbona kwenye hiyo video hapo juu hakuna sehemu aliyoongelea kuhusu kuzuia au kutokuzuia kuuza mazao nje ya nchi kwenye hiyo klip nimemsikia akihamasisha watu walime na kukataza kumpangia mkulima bei ya mazao yake basi
 
Mchawi mkubwa wewe wapi amesema wauze mazao nje nimesikiliza video yote sijaona
 
Kuna Sukuma gang uchwara wanataka kusema kuwa JPM alikuwa akizuia wakulima kuuza mazao nje. Wanapotosha mchana kweupe. Sera ya Bashe ndiyo ilikuwa sera ya JPM. Ndiyo sera iliyokuwa inaenda kumkomboa mkulima. Hakuwa na hizi sera za kuiba mali ya wakulima.


Una takwim za NFRA?
 
Acha kuokoteza okoteza vispeech vya Hayati JPM ,CHUMA, bila kuruhusu matope yako kichwan kufikiria ni alizungumza mwaka gan hayo, Kwa Watu gan.




Wewe Bashe, ni mpuuzi tuu, ulomdanganya SSS, Sasa SSS kaona isiwe tabu, Karudi mule mule Kwa JPM.

Na Bado.


Tunakusubiria kwenye BBT, mbona Utaona Nchi Chungu.
Unaspeech ambayo Magufuli anazuia kuuzwa kwa vyakula nje? Mama kaboresha tu hii sera, anataka tunapouza mazoa nje tuingize dola. Na hapa ndipo tunaenda kupiga hatua kama nchi.
 
Wanajitahidi sana kupambana na magufuli. Bila mafanikio
Mbona kwenye hiyo video hapo juu hakuna sehemu aliyoongelea kuhusu kuzuia au kutokuzuia kuuza mazao nje ya nchi kwenye hiyo klip nimemsikia akihamasisha watu walime na kukataza kumpangia mkulima bei ya mazao yake basi
Unaspeech ambayo Magufuli anazuia kuuzwa kwa vyakula nje? Mama kaboresha tu hii sera, anataka tunapouza mazoa nje tuingize dola. Na hapa ndipo tunaenda kupiga hatua kama nchi.
Tuwekee speech magu ameruhusu kutoa vyakula nje sie za bashe tutakuwekea za kutosha tuu
 
Mbona kwenye hiyo video hapo juu hakuna sehemu aliyoongelea kuhusu kuzuia au kutokuzuia kuuza mazao nje ya nchi kwenye hiyo klip nimemsikia akihamasisha watu walime na kukataza kumpangia mkulima bei ya mazao yake basi
Kakataza kumpangia mkulima bei. Unafikiri mkulima anapangiwaje bei? Kwa akili yako unafikiri serikali inawafuata na kuwaambia mchele muuze 1,000 kwa kilo!!?
 
Wanajitahidi sana kupambana na magufuli. Bila mafanikio
Tuwekee speech magu ameruhusu kutoa vyakula nje sie za bashe tutakuwekea za kutosha tuu
Kwa hiyo speech hapo juu Magufuli karuhusu wakulima wauze popote? Unaspeech anayokataza wananchi kuuza mazao nje ya nchi?
 
Kuna Sukuma gang uchwara wanataka kusema kuwa JPM alikuwa akizuia wakulima kuuza mazao nje. Wanapotosha mchana kweupe. Sera ya Bashe ndiyo ilikuwa sera ya JPM. Ndiyo sera iliyokuwa inaenda kumkomboa mkulima. Hakuwa na hizi sera za kuiba mali ya wakulima.


We jamaa msengerema kweli. Mahindi yalifungiwa miaka mitatu tukajauza kama chakula cha mifugo yakiwa yameoza. Usitukumbushe maumivu aisee
 
We jamaa msengerema kweli. Mahindi yalifungiwa miaka mitatu tukajauza kama chakula cha mifugo yakiwa yameoza. Usitukumbushe maumivu aisee
Sababu wakenya walikataa kununua mahindi kwetu, wakidai yana sumu kuvu na sababu nyingine za kibiashara. Haikuwa sababu JPM alizuia kuuza nje.
 
Kakataza kumpangia mkulima bei. Unafikiri mkulima anapangiwaje bei? Kwa akili yako unafikiri serikali inawafuata na kuwaambia mchele muuze 1,000 kwa kilo!!?
Wewe jamaa ni chizi nini? Post yako inahusiana na kuuza mazao nje na sio kupangiana bei .
Au umesahau ulichoandika
 
Alizuia kwa waraka na kalamu mchawi wewe Wakili wa shetani tuwekee speech anayo sema wakauze nje tuione mbona unahoja nzuri harafu unafeli kuitetea. Jf ipo online muda wowote wewe tafuta tuu utuwekee
Kwa hiyo speech hapo juu Magufuli karuhusu wakulima wauze popote? Unaspeech anayokataza wananchi kuuza mazao nje ya nchi?
 
Back
Top Bottom