Tuweke rekodi sawa. Hayati Magufuli hakuwahi kuzuia wakulima kuuza mazao nje

Tuweke rekodi sawa. Hayati Magufuli hakuwahi kuzuia wakulima kuuza mazao nje

Kuna Sukuma gang uchwara wanataka kusema kuwa JPM alikuwa akizuia wakulima kuuza mazao nje. Wanapotosha mchana kweupe. Sera ya Bashe ndiyo ilikuwa sera ya JPM. Ndiyo sera iliyokuwa inaenda kumkomboa mkulima. Hakuwa na hizi sera za kuiba mali ya wakulima.


Kwani hata kama alizuia au hakuzuia kwani yeye ni nani? Si marehemu tu. Samia ana uhuru wa Kufanya lolote analoona ni saww bila kutegemea huyo marehemu alifanya nini
 
Mbona kwenye hiyo video hapo juu hakuna sehemu aliyoongelea kuhusu kuzuia au kutokuzuia kuuza mazao nje ya nchi kwenye hiyo klip nimemsikia akihamasisha watu walime na kukataza kumpangia mkulima bei ya mazao yake basi

Kwani hata kama alizuia au hakuzuia kwani yeye ni nani? Si marehemu tu. Samia ana uhuru wa Kufanya lolote analoona ni saww bila kutegemea huyo marehemu alifanya nini
 
Alizuia kwa waraka na kalamu mchawi wewe Wakili wa shetani tuwekee speech anayo sema wakauze nje tuione mbona unahoja nzuri harafu unafeli kuitetea. Jf ipo online muda wowote wewe tafuta tuu utuwekee
Labda tuende polepole, labda utaelewa. JPM alikataza wakulima kupangiwa bei ya mazao. Serikali huwa inapanga bei ya mazao ya chakula kwa njia gani? Kuzuia kuuza mazao nje ya chakula ni moja ya njia hiyo?
 
Back
Top Bottom