Hata kundi la Yanga ni fambaAnadhani ni zile timu famba famba zilizokuwa kwenye kundi lao, siku zote timu yenye ulinzi imara itakupa makombe na timu yenye washambuliaji imara watakufanya ushinde mechi, Petro atretico wako vizuri sana kwenye backline yao wakikupigia kimoja ndio bye bye imeisha iyo!
Hao hawakutani na Simba na Yanga kwenye draw,kukutana labda nusuTeam hatari hapo ni Mamelod tu
Hao Ahly ukicheza kimbunu ukajilipua unawapiga tu
Team nyingine hatari Ni Esperance de Tunis hao ni hatari mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikili ni JUMATANO ya wiki ya kesho mkuu.Kwani draw ni lini..?
HAWA JAMAA WAPO VIZURI MKUU.Me nawapa nafasi Petro Atletico de Luanda kubeba hili kombe kwa sababu wapo conpact sana na wanacheza kwa nidhamu
UNAWAJUA DE LUANDA MKUU.kifupi simba au yanga team za kuzifunga hizi clubs hapo ni mbili tu mamelod na al alhaly
WANOKOTEZA WACHEZAJI.Mpira wetu unahitaji serious uwekezaji sio hao wapumbavu akina Mo??????
Mo ni chupli sana
Juzi qmeropoka kuwa ameinunua simba.
Kwa wawekezaji kama hao timu zetu mwisho wake ni Robo tu.
Bora hata esperence kuliko Al ahly mkuu.Team hatari hapo ni Mamelod tu
Hao Ahly ukicheza kimbunu ukajilipua unawapiga tu
Team nyingine hatari Ni Esperance de Tunis hao ni hatari mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshamba mkubwa hiyo avatar kma ni yako unafaa kuishi kuzimu post zako ni kati ya post mbaya nakutana nazo jf aiseeeNimepita kwenye vijiwe nongwa vya mtaani nakusikiliza mashabiki wa kariakoo (sunche na kapeto) wanavyopiga hesabu za kutoboa robo mpaka fainali Tena hesabu nyepesi kabisa utadhani robo Kuna Namungo, Azam au Mashujaa.
Twende kwenye matazamio ya kiuchambuzi tuchambue timu zitakazokutana na mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Hizi ndiyo zinazoweza kukutana nazo baada ya draw ya Robo kufunguliwa.
Simba
1. Al Ahly
2. Mamelody Sundowns
3. Petro Atletico de Luanda
Yanga
1. Asec Mimosas
2. Mamelody Sundown
3. Petro Atletico de Luanda
Al ahly na Mamelody Hawa wanafahamika uwezo wao tuwaweke pembeni kwanza.
Tumuongelee Petro de Luanda na Asec Mimosa Hawa nao new comer baada ya wydad na Raja Casablanca kukaa NJEE.
*Petro de Luanda hii timu ilitinga Robo kwa kishindo kikubwa na ndiyo timu ambayo haijafungwa/haijaruhusu bao katika mechi 6 Petro de Luanda ametoka na clean sheets 6.
Tunapowaongelea Hawa Petro de Luanda ni timu iliyo Moto kabisa katika msimu huu kwa hiyo Hawa mapacha wa kariakoo (sunche na kapeto)
Mashabiki wasibeze na kuzani wanaenda kukutana na mteremko (kitonga)
*Asec Mimosa niliwatazama Asec Mimosa kocha wao anacheza kimkakati hii timu ndiyo inaweza kuwa neema endapo wataheshimiwa na Kama Yanga watakutana nao lolote linaweza kutokea maana hata Asec siyo wanyonge kabisa.
Imeandikwa na NALIA NGWENA
Tuendelee kuziombea timu zetu zipige hatua na taifa letu liheshimike katika nyanja za michezo.
Mshamba weweUNATAKA KUSEMA YANGA HII HATUA YA ROBO HAWAJAFIKA TOKA WAANZE ??
HAO PERO DE LUANDA USIIONGELEE KAMA WALIVYOKUA HAPO MWANZO MZEE SAFARI HII NI BALAA WAMEJIPANGA.
Mshamba weweUNAPOONGELEA KUFIKA FAINALI HATA SIMBA SC NAO WALISHAWAHI KUCHEZA FAINALI DHIDI YA ABJANI YA HUKO IVORY COAST KAMA WENYEWE WANAVYODAI.
POLE SANAMshamba mkubwa hiyo avatar kma ni yako unafaa kuishi kuzimu post zako ni kati ya post mbaya nakutana nazo jf aiseee
Ni lini mawazo hayo yakawavusha robo kwenda fainaliUtopolo Wote wanawaza kama Wewe...
Wana Lunyasi wanawaza tofauti..
.
AMKA KUTOKA USINGIZINI MKUUNdiyo
KAMA UNA HASIRA NA MIMI NJOO PM NIKUPE NAMBA TUTAFUTANE UNIPE MKUU.Mshamba wewe
Ile wamepost CAF wenyewe achana na hizo za mashabiki wa YangaAMKA KUTOKA USINGIZINI MKUUView attachment 2923460
Lini kafika Uto robo potiii hajawahi yan ndo alifUNATAKA KUSEMA YANGA HII HATUA YA ROBO HAWAJAFIKA TOKA WAANZE ??
HAO PERO DE LUANDA USIIONGELEE KAMA WALIVYOKUA HAPO MWANZO MZEE SAFARI HII NI BALAA WAMEJIPANGA.
REJEA HISTORIA HUKO NYUMA MBONA IKO WAZI MZEE.Ile wamepost CAF wenyewe achana na hizo za mashabiki wa Yanga
Wote wanafungika tu! Kama Mamelodi sundowns mwenyewe na mipunga yake alitolewa jasho na TP Mazembe kule Congo kwa nini asifungwe? Timu zote zilizopo robo ni maji marefu!Na ndiyo maana nilisema kuwa kidogo Asec tunaweza kukomaa nae lakini hao wengine tunajipa matumaini tu.