Tuweke ushabiki pembeni: Hatua ya Robo Fainali ni ngumu kuliko tunavyopiga hesabu za vidole na kujifariji

Tuweke ushabiki pembeni: Hatua ya Robo Fainali ni ngumu kuliko tunavyopiga hesabu za vidole na kujifariji

OP KIDOGO.

CHAMA AMEFANANISHWA NA WACHEZAJI WAFUATAO.

1. HARUNA NYONZIMA.
2. SAIDO NTIBAZONKIZA.
3. FEISAL SALUM.
4. AZIZI KI STEPHEN.
5 .PAKOME ZIZUU.
Ni nani anawafananisha?

Kuna watu tambo za MASHABIKI huwa zinawaingia ndani mpaka kwenye DNA zenu
 
Mkuu tuongee ukweli, hakuna mtu mwepesi ktk hii hatua kama Simba na Asec.

Yeyote atakayepangwa dhidi ya Simba au Asec, nje ya Mamelod na Al Ahly, ni wazi kwamba amepewa mteremko kwenda Nusu.

Wale Asec wakirudi kucheza tena na timu za Tanzania hatua ya robo, hawezi kuchukua ushindi kwa Mkapa wala kule kwao, hasa hasa iwe dhidi ya Yanga.
ASEC Memosas mnawachukulia simple sana mnasahau wameongoza kundi
 
Wote wanafungika tu! Kama Mamelodi sundowns mwenyewe na mipunga yake alitolewa jasho na TP Mazembe kule Congo kwa nini asifungwe? Timu zote zilizopo robo ni maji marefu!
Kama unadhani Mazembe ni wepesi peleka timu yako uone
 
Back
Top Bottom