NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
Soma hapo mbona Simba sc ilicheza fainali kabla michuano haijabadilishwa jina na mkafukua mafaili na Medali za visoda mkaleta.Lini kafika Uto robo potiii hajawahi yan ndo alif
MAZEMBE IMEANZA KURUDI SIYO ILE ILIYOFUNGWA NA YANGA NJE NDANI SHIRIKISHO MZEE SAHIVI WAPO MOTOWote wanafungika tu! Kama Mamelodi sundowns mwenyewe na mipunga yake alitolewa jasho na TP Mazembe kule Congo kwa nini asifungwe? Timu zote zilizopo robo ni maji marefu!
umeangalia mechi ambazo wamecheza wakiwa washafuzu basi ukaamua wajudge kbs , wabongo bana kaangalie Huyo mnayama alivyotafuta sare hapa nyumban ambako hata wydad , al ahyl , kaizer chief , horoya , etc walishindwa pata hata sareMkuu tuongee ukweli, hakuna mtu mwepesi ktk hii hatua kama Simba na Asec.
Yeyote atakayepangwa dhidi ya Simba au Asec, nje ya Mamelod na Al Ahly, ni wazi kwamba amepewa mteremko kwenda Nusu.
Wale Asec wakirudi kucheza tena na timu za Tanzania hatua ya robo, hawezi kuchukua ushindi kwa Mkapa wala kule kwao, hasa hasa iwe dhidi ya Yanga.
kwamba aliyefuzu mechi mbili mkonon ndo mnamuita kibonde , hv watz nan aliwaroga ? timu ipi ilifuzu na mechi 2 mkono kwa msimu huu ?Na ndiyo maana nilisema kuwa kidogo Asec tunaweza kukomaa nae lakini hao wengine tunajipa matumaini tu.
hatua ya mtoano si hatua ya makundi , huku ni uzoefu na ubora wa timu na ubora wa mchezaj mmoja mmoja , subir uwaone wakubwa watavyoanza piga kabumbuMe nawapa nafasi Petro Atletico de Luanda kubeba hili kombe kwa sababu wapo conpact sana na wanacheza kwa nidhamu
akinunua hapaswi kusema ukwel ? nan mpumbav kati ya Mo anaeongea ukwel na ww mgonjwa wa psychology hutak sikia ukwel !Mpira wetu unahitaji serious uwekezaji sio hao wapumbavu akina Mo??????
Mo ni chupli sana
Juzi qmeropoka kuwa ameinunua simba.
Kwa wawekezaji kama hao timu zetu mwisho wake ni Robo tu.
Ndo nilipo mdharau hapo mie tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Petro Atletico de Luanda ni giant wa soka la vilabu Afrika. Wamekuwa wakiingia robo fainali mpaka just fainali CAF champions League. Sasa unaposema ni new comer means hujui mpira.
EgoPetro Atletico de Luanda ni giant wa soka la vilabu Afrika. Wamekuwa wakiingia robo fainali mpaka just fainali CAF champions League. Sasa unaposema ni new comer means hujui mpira.
Yaani hata mamelodi akijichanganya kwa yanga anaweza kula mkono vile vile,cha msingi uingie tu kwenye mfumoUNAFIKILI PETRO DE LUANDA NI JWANENG GALAXY
Waje tu hao mamelodi tutawapa kichapo kikali sana yaani,hawataamini,nacheka ila naogopa lknYoung Africans Vs Asec Mimosas
Simba Sc Vs Mamelod [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani draw ni lini..?
Samahani tunaomba source, hawa ni CAF wenyewe.Tarehe 13 mwezi huuuu
Hawataki ukweli Kuwa Mo Dewj kusema kanunua timuakinunua hapaswi kusema ukwel ? nan mpumbav kati ya Mo anaeongea ukwel na ww mgonjwa wa psychology hutak sikia ukwel !
Kwa timu yako UNGA UNGA unadhani utamfunga Mamelody umtoe kwenye Reli?!Mpira hauko hivyo,simba na yanga wakipambana kama walivyopambana mchi zao za mwisho wanafuzu kwenda nusu,hakuna timu isiyofungwa duniani.
SOMA VIZURI NILICHOKIANDIKANdo nilipo mdharau hapo mie tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
TAREHE 13/3 MKUUSamahani tunaomba source, hawa ni CAF wenyewe.
TotalEnergies CAF Champions League Quarter-Final Teams confirmed (Published: Sunday, 03 March 2024)
CAF will announce the date for the draw of the quarter-finals in the coming days.
TotalEnergies CAF Champions League Quarter-Final Teams confirmed
Tunisia’s Esperance Sportive de Tunis laboured hard to secure a Quarter-Final berth in the TotalEnergies CAF Champions League Quarter-finals on Saturday night to complete the list of the top eight teams in Africa that will compete for the Trophy.www.cafonline.com
We malaya, ulisema mambo ya ball umeacha??OP KIDOGO.
CHAMA AMEFANANISHWA NA WACHEZAJI WAFUATAO.
1. HARUNA NYONZIMA.
2. SAIDO NTIBAZONKIZA.
3. FEISAL SALUM.
4. AZIZI KI STEPHEN.
5 .PAKOME ZIZUU.
ALIPUMNZIKA TU.We malaya, ulisema mambo ya ball umeacha??
Hapa unaandika nini
Ameinunua kutoka kwa nani na kwa kiasi gani?Mpira wetu unahitaji serious uwekezaji sio hao wapumbavu akina Mo??????
Mo ni chupli sana
Juzi qmeropoka kuwa ameinunua simba.
Kwa wawekezaji kama hao timu zetu mwisho wake ni Robo tu.