Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Kufuatia zile kelele eti oh Makolo na wao wanamedali za CAF, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikaamua kuzama chimbo na kushangaa nicho kiona.
Nikaamua kuja nacho kwenu wadau munisaidie hivi ni kweli makolo walivaa medali ama ni mapati ya sido?
Nikaamua kuja nacho kwenu wadau munisaidie hivi ni kweli makolo walivaa medali ama ni mapati ya sido?