Sisi tulikufa kiume, nyie mmekufa kike.TUELEWANE MWISHO WA KUFA KIUME NI NUSU FAINALI UKIFIKA FAINALI HAIJALISHI UTACHUKUA AU UTAKOSA UTAKUWA SHUJAAA TUU MAANA UMEVUKA MENGI HADI KUFIKA FINAL nawasilisha
Sisi ni mashujaa kwanza hadi kwenye rank za CAF tushawapita isitoshe msimu huu hamjapata chochotee cha ukumbushoSisi tulikufa kiume, nyie mmekufa kike.
Tena wameumia kweli kweli. Hakuna mwaka wameishi kwa tabu kama mwaka huu.Aliyedhalilisha wenzie ni yule aliyeroga uwanjan tena laivu kideoni. Maneno yatawatoka mengi ila ukweli ni kwamba imewauma sana hatua kubwa waliyoipiga Yanga
Kazoea ana mwiko nyuma tangu 1935 na bado unamtesaMleta mada nenda ulale upigwe kamoja.
Demu mwenye hakujui au hujawasikia jana CAF......demu katolewa bikra miaka ya 90 wewe umemla Leo unajiona bingwaaa?
so sad
hivi kumbe English ni tatizo kubwa kiasi hiki so Ile kauli ulishindwa kuelewa? inasikitisha sanaDemu mwenye hakujui au hujawasikia jana CAF......
Timu ya kwanza kutoka Tanzania kufika fainali ya CAF kwa mujibu wanao andaa haya mashindano CAF ni Yanga.
Hilo bati lenu sijui walitengeneza wale watengeneza majiko na ndoo za chuma wa Kinondoni Manyanya.
Wakiwa daima mbele ukiwa Angalia kwa nyuma wana mwiko
Mbona ilikuwa directly hivi unakumbuka mlivyo ingia robo kwenye account ya Twitter CAF waliandika kitu gani.hivi kumbe English ni tatizo kubwa kiasi hiki so Ile kauli ulishindwa kuelewa? inasikitisha sana
Kufa ni kufa tu wamerudi na hiriziii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] USMA wamewavurugaa kabisa akili utopolooo, mda wote wanaanzisha nyuzi za kujipa ahueni Lol
Hebu let's hizo Rank za CAF, unadhani wanapitwa hovyoo.Sisi ni mashujaa kwanza hadi kwenye rank za CAF tushawapita isitoshe msimu huu hamjapata chochotee cha ukumbusho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kufa ni kufa tu wamerudi na hiriziii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na yule Alievamia gari la wageni kuiba, pamoja kupulizia sumu kwenye vyumba vya kulala wageniAliyedhalilisha wenzie ni yule aliyeroga uwanjan tena laivu kideoni. Maneno yatawatoka mengi ila ukweli ni kwamba imewauma sana hatua kubwa waliyoipiga Yanga
Na yule Alievamia gari la wageni kuiba, pamoja kupulizia sumu kwenye vyumba vya kulala wageni