Tuweke ushabiki pembeni, ni "Mind game" ipi inahusisha kuwanga na moto ndani ya pitch?

Tuweke ushabiki pembeni, ni "Mind game" ipi inahusisha kuwanga na moto ndani ya pitch?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Wanawanga mchana alafu wanasema tuwaombee, Mi ni simba dam dam ila kwa hili mjirekebishe

1650895198942.png
 
Ndiyo hawa hawa walioingia na Paka msimu uliopita, walipocheza na FC Platinum ya Zimbabwe! Wameshazoea bila shaka.
 
Nchi haina dini na Inaamini imani zote.. kama Simba hatuna dini tunasali kwa imani zote...

Hutaki achana na Simba wa mwituni..
 
Wanawanga mchana alafu wanasema tuwaombee, Mi ni simba dam dam ila kwa hili mjirekebishe

View attachment 2200140
Nimefuatilia nimebaini walivaa hivyo wakati wa kupasha kabla ya mechi.
Sometimes hiyo inaweza tu ikawa mikwala tu kama ya Michael Maingwa na Nzige Mtondoo mimi [emoji1241]⁩ nawaelewa vzr hawa jamaa.[emoji626]
 
Simba wanaweza kujikuta Wana pigwa rungu na CAF Kwa mambo ya kipuuzi.
 
Hiyo ni mimd game tu hakuna kiashiria chochote cha ushirikina
 
Back
Top Bottom