sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
mambo yalienda ?Sio uchawi kuna wazee hapo bila kuota moto mambo hayaendi
Mbona unaangaika sana?Wanawanga mchana alafu wanasema tuwaombee, Mi ni simba dam dam ila kwa hili mjirekebishe
View attachment 2200140
Nimefuatilia nimebaini walivaa hivyo wakati wa kupasha kabla ya mechi.Wanawanga mchana alafu wanasema tuwaombee, Mi ni simba dam dam ila kwa hili mjirekebishe
View attachment 2200140