Kwahiyo hamkutaka kushinda siku ile???Hata Pitso alivyokuja kuwaona mabingwa wa nchi na unbeaten hakuamini team imetwaa ubingwa inacheza mpira mbovu vile aliwaambia hakuna wachezaji wakuwavusha yanga kimataifa pale zaidi ya kufuruhia kuifunga simba ule mpira waliocheza simba kipindi cha kwanza ndo kipimo cha kimataifa waache wajipe matumaini simba mwaka jana ilikuwa mbovu lakini ilikuwa tofauti na utopolo kimataifa.
Kama kipimo chenu ni kuifunga simba basi mna team nzuri wasubirini zolan fc mje mjipigie.Kwahiyo hamkutaka kushinda siku ile???
Kwani Yanga ni adui yenu au mtani wenu..Kumbe mna mentally za uadui dhidi ya Yanga?[emoji23][emoji22]Yaaan ukiangalia comments za Wana utopolo juu ya Simba binafsi nimekuwa nikijiuliza maswali yafatayo
1. Tangu Lin adui yako akushauri vitu vya kujenga?
2. Je timu yao inatandaza soka la kutisha Sana kias kwamba Wana haki ya kushauri kwa jilani wakaacha yao??
3. Kweli yanga wanakikosi Bora mno mwaka huu?? , kinatofauti gani na kikosi Cha msimu huu??
4. Je yanga hizi mechi mbili walizocheza wamefunga goli 8 au kumi Hadi mseme mnatisha?? Au Ile flook ya dabi ndio inawapa kichwa kusahau uharo wenu??
5. Kuna mijinga, na nimshabiki pori inasema et sis tunacheza kwenye uwanja mbovu, je vibonde wa Uganda vipers mlicheza nao mkiwa uwanja wa manungu?
6. Utasikia tuna Aziz k , sawa ni mchezaji mzuri Sana ,, lakin je ni mzuri kias hicho mnavyotuaminisha had Kuna mipupu inadiriki had kumlinganisha na Chama ambaye mwenzake Kila mechi unaona impact yake??
7. Unaponda usajiri wa Simba , je bigirimana , kambole ,lomalisa ndio usajiri Bora??
Sikilizeni nyie
1. Kimataifa mtamtoa zalan fc tu,, Hawa nao kutokana na Hali yao tu na sivinginevyo kwann ansema mnayoyafanya ligi ya ndani hamwez kuyafanya kimataifa hamna njaa kule babu!! Au huwez kwenda kuchumbua uwanja wa watu wakawaacha hiv hiv
2. Had mhandisi anamaliza Muda wake hata makundi tu ya Caf hamgusi, labda majianti yaweke nguvu kwenye Africa super Caf
Kwahiyo kumbe umekiri kwamba Simba haina muunganiko[emoji23]Kama haina muunganiko na inawazidi magoli ya kufunga unadhani ikipata muunganiko itakuwaje?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mwisho wa siku wakanyanyua makwapa[emoji471][emoji23]Ndomana kam mnakumbuka msimu uliopita mlivyokua mnalazimisha mayele awe mfungaji bora mkajikuta mnadondosha points kwani Mayele akikamiwa shughuli imeisha...msimu uliopita Ntibazonkiza alikua anaficha madhaifu ya mayele pindi mambo yakienda kombo pia Feisal alikua form sana sasa msimu huu Feisal karudishwa shimoni kazi mtakua nayo msimu huu
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Sio mwaka huu.. Yanga hawezi kuwa bingwaMwisho wa siku wakanyanyua makwapa[emoji471][emoji23]
Duh, Bingwa atakuwa nani?
Kubali au kataa timu ambayo inaona inaonewa na TFF hijawahi kuwa bingwa, msimu uliopita udhamini wa GSM ulikua kilainishi kwa bodi ya ligi,Simba tukaona tunaonewa CEO akagombana na viongozi wa bodi ya ligi,Simba tukacheza Manungu na maji yamejaa uwanjani, ratiba ilikua mfululizo wakati tumamechi za kimataifa Yanga kuna mda ndani ya mwezi anacheza mechi moja tuu, mwisho wa msimu tukapoteza makombe yetu yote. Uki relax utaelewa ukishupaza shingo hautaelewa maana hata hizi mechi mbili yanga kuanzia ugenini wanahisi wameonewa.Duh, Bingwa atakuwa nani?
Mbona ueleweki hoja yako ni ipi? Rudia ulichokiandika ukisome vizuri ndo ulete majibu inawezekana ata ulichokiandika ukijuiMwamnyeto nae ni mfungaji? Au Morrison lini kafunga hata goli 7 kwenye ligi?
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
We ndio huelewi ,Yanga wanashida ya Ufungaji ukimtoa mayele hii ndio hoja kubwa,Mwamnyeto kufunga kama kunguru kumnyea binadamu kwani hauwezi kuwa na uhakika atakifanya icho msimu mzima kama uhakika utakaokua nao kwa MayeleMbona ueleweki hoja yako ni ipi? Rudia ulichokiandika ukisome vizuri ndo ulete majibu inawezekana ata ulichokiandika ukijui
Kwa hiyo mkuu unataka kuwe na viporo vilivyopigiwa kelele? Believe me this time around hakuna viporo tena.Kubali au kataa timu ambayo inaona inaonewa na TFF hijawahi kuwa bingwa, msimu uliopita udhamini wa GSM ulikua kilainishi kwa bodi ya ligi,Simba tukaona tunaonewa CEO akagombana na viongozi wa bodi ya ligi,Simba tukacheza Manungu na maji yamejaa uwanjani, ratiba ilikua mfululizo wakati tumamechi za kimataifa Yanga kuna mda ndani ya mwezi anacheza mechi moja tuu, mwisho wa msimu tukapoteza makombe yetu yote. Uki relax utaelewa ukishupaza shingo hautaelewa maana hata hizi mechi mbili yanga kuanzia ugenini wanahisi wameonewa.
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Shida ya ufungaji wapi, Saido kamaliza na goli 7+, Feisal 5+, Djuma, Moloko n.k nao wamefunga.We ndio huelewi ,Yanga wanashida ya Ufungaji ukimtoa mayele hii ndio hoja kubwa,Mwamnyeto kufunga kama kunguru kumnyea binadamu kwani hauwezi kuwa na uhakika atakifanya icho msimu mzima kama uhakika utakaokua nao kwa Mayele
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Mbeya sikuhizi hamna ugumu viwanja vimefungiwa kuna vitu hamfatilii viwanja vya mwaka huu bodi ya ligi wameweka standars vile vya ovyo vimefungiwaKwa hiyo mkuu unataka kuwe na viporo vilivyopigiwa kelele? Believe me this time around hakuna viporo tena.
Yanga ameanzia away na nyie mmeanzia home, unajua kwa nn?
Mna timu bovu kwenye matuta ya viazi mtapoteana sana na kuoanic na washabiki kuwatukana huku mpinzani wenu akitusua.
Anyway round 4 mnaenda mbeya, tutaona.
Tunazungumzia msimu huu ambapo Saidoo hayupo,Feisal amerudishwa shimon ili Azizi ki acheze namba 10 hii ni changamoto Simba tumeleta phiri magoli 14 msimu uliopita Zambia,Okrah magoli 14 kwenye ligi Ghana Kumbuka hawa wote washafunga kwwnye NBC ukiangalia kwa ukaribu Simba msimu itafunga magoli mengi sana itazidi hata ile ya 2020/2021....Shida ya ufungaji wapi, Saido kamaliza na goli 7+, Feisal 5+, Djuma, Moloko n.k nao wamefunga.
Tuje kwenu, kibu 8+, kagere 6+, sakho 6, striker bocco 1, mugalu 0
Kumbe jamaa alikuwepo.......ukweli mchungu huuHata Pitso alivyokuja kuwaona mabingwa wa nchi na unbeaten hakuamini team imetwaa ubingwa inacheza mpira mbovu vile aliwaambia hakuna wachezaji wakuwavusha yanga kimataifa pale zaidi ya kufuruhia kuifunga simba ule mpira waliocheza simba kipindi cha kwanza ndo kipimo cha kimataifa waache wajipe matumaini simba mwaka jana ilikuwa mbovu lakini ilikuwa tofauti na utopolo kimataifa.
Wale wachunga kondoo wa US Dong walivyotoa tena kwa Mkapa walikuwa na timu gani ya kueleweka?Yaaan ukiangalia comments za Wana utopolo juu ya Simba binafsi nimekuwa nikijiuliza maswali yafatayo
1. Tangu Lin adui yako akushauri vitu vya kujenga?
2. Je timu yao inatandaza soka la kutisha Sana kias kwamba Wana haki ya kushauri kwa jilani wakaacha yao??
3. Kweli yanga wanakikosi Bora mno mwaka huu?? , kinatofauti gani na kikosi Cha msimu huu??
4. Je yanga hizi mechi mbili walizocheza wamefunga goli 8 au kumi Hadi mseme mnatisha?? Au Ile flook ya dabi ndio inawapa kichwa kusahau uharo wenu??
5. Kuna mijinga, na nimshabiki pori inasema et sis tunacheza kwenye uwanja mbovu, je vibonde wa Uganda vipers mlicheza nao mkiwa uwanja wa manungu?
6. Utasikia tuna Aziz k , sawa ni mchezaji mzuri Sana ,, lakin je ni mzuri kias hicho mnavyotuaminisha had Kuna mipupu inadiriki had kumlinganisha na Chama ambaye mwenzake Kila mechi unaona impact yake??
7. Unaponda usajiri wa Simba , je bigirimana , kambole ,lomalisa ndio usajiri Bora??
Sikilizeni nyie
1. Kimataifa mtamtoa zalan fc tu,, Hawa nao kutokana na Hali yao tu na sivinginevyo kwann ansema mnayoyafanya ligi ya ndani hamwez kuyafanya kimataifa hamna njaa kule babu!! Au huwez kwenda kuchumbua uwanja wa watu wakawaacha hiv hiv
2. Had mhandisi anamaliza Muda wake hata makundi tu ya Caf hamgusi, labda majianti yaweke nguvu kwenye Africa super Caf
Vilaza mko wengi Sana. Ndiyo maana mnaitwa Utopolo, mazuzu.Nikiikumbuka ile simba ya akina Miqussone,Morisson,Chama,Kagere..nikilinganisha na hii simba mpya ya akina okwa,phiri na mzungu....naona bado watani pengine hawajamaliza usajiri,sijui kwa kikosi hiki kimataifa hawa wenzetu wanaendaje,mechi ya pili kwenye ligi wameonyesha kustruggle sana kupata point 6...
Tuwaulize wana simba au nyie mnaionaje timu yenu?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app