Tuweke ushabiki pembeni, Simba sc wanakibarua kizito mbele ya Asec Mimosa

Tuweke ushabiki pembeni, Simba sc wanakibarua kizito mbele ya Asec Mimosa

Jidanganye Hivyo Hivyo.

Asec Mimosas Watakuwa Na Utulivu Sana Itasaidia Kutokuwa Na Makosa Madogo Madogo.

Simba Sc Wataingia Na Pressure Hiyo Itasababisha Makosa Mengi Na Kuathibiwa
Asec mimosa alishafuzu tayali Kwa hiyo hatoipa uzito mechi yake na Simba. Acha kutisha watu
 
Tusizunguke Waambiwe Ukweli Kuwa Wanaenda Kupapaswa Vizuri Tu.
Kwa ushindi wa Ivory Coast Afcon umeamsha ari ya soka kinchi, bora hiyo mechi ingekuwa inachezwa hapa nyumbani.

Haitokuwa mechi rahisi.
 
Naona kelele za Mashabiki wa Simba sc juu ya Kejeli na kusema kuwa "Belouzdad wataichapa Yanga"

Hakuna shabiki anayezungungumzia ugumu alionao Simba sc huko ivory coast, NALIA NGWENA najiuliza je mashabiki wa Simba sc wanaona timu Yao ishachukua point tatu mbele ya Asec??!
Kwa mtu mwenye akili, hakuna uhusiano wa mechi hizo mbili. Ugumu wa mechi kwa Simba itakapoivaa ASEC hauondoi ugumu wa Yanga itakapoivaa Belouizdad, na vice-versa. Ni mechi mbili tofauti kwenye makundi mawili tofauti. Sijajua ni akili ya wapi inayotumika kuhusianisha ugumu wa Simba au Yanga dhidi ya wapinzani wao
 
Mechi ni ngumu sana tu. Kinachoiongezea ugumu mechi hii ni kuwa ASEC Mimosas na WaIvory Coast bado wako kwenye ujinga wa kudhani Morocco iliwafanyia favor kubwa kwenye mashindano ya AFCON 2023, kwa hiyo watacheza jihadi ya kufa mtu ili kuisaidia Wydad ivuke. Ninaamini kuna mashabiki wao watakuja na bendera za Morocco uwanjani ila watazificha hadi watakapoona matokeo yamekuwa rafiki.

Kwa kumalizia, sijajua kama Simba ilikatia rufaa kadi aliyopewa Ayoub Lakred Ile kadi mechi na Wydad ilitakiwa ifutwe.
Wewe ni miongoni mwa Wanasoka àmbao JF inatakiwa kujivunia tofauti na wengine waliojaliwa kuwa na smartphone na hela ya bando. Sababu uliyoweka hapa ni genuine Kwa mwenye jicho la Tatu. Na sababu nyingine ni kwamba Asec atataka kuithijitishia Afrika na Dunia kwamba Kombe la AFCON walilobeba Ivory coast si Kwa kubahatisha bali ni uwezo wao kama nchi. Mechi hiyo ni ngumu Sana Mkuu.
 
Naona kelele za Mashabiki wa Simba sc juu ya Kejeli na kusema kuwa "Belouzdad wataichapa Yanga"

Hakuna shabiki anayezungungumzia ugumu alionao Simba sc huko ivory coast, NALIA NGWENA najiuliza je mashabiki wa Simba sc wanaona timu Yao ishachukua point tatu mbele ya Asec??!

Hii mechi ya Asec ndiyo mechi ambayo itapeleka kilio msimbazi na mashabiki wataanza Tena kuimba wimbo wa "Mangungu aondoke"

Kwa jicho langu la ufundi nilivyowatazama Simba sc dhidi ya Mashujaa, Azam Fc, Tabira united bado Kuna tatizo la kiufundi na mbinu kwa wachezaji.

Mpaka Sasa kocha Simba sc Hajapata First eleven toka alipotoka kwenye kombe la Mapinduzi na mashabiki waliamini Kocha atalitumia kombe la Mapinduzi kuwasoma wachezaji na kutengeneza "chemistry"

Lakini imekua tofauti kabisa kwa kocha wa Simba sc.

Mechi ya Asec ni mfupa ngumu uliomshinda Fisi na Asec Ina Vijana wenye Kasi tofauti na Simba sc yenye wachezaji ambao umri umekwenda.
Halafu sisi Yanga tuna Kimeo chepesi
 
Ukitumia mechi za ligi kuasesi mechi za simba kimataifa utafeli. Kule jamaa huwa wanakuwa wengine kama wakiamua lakini.
 
Kiufupi kesho tumepigwa chache basi goli 3 ,hatuna timu ya kupambana kuifunga Asec kwake hata dro hatupati[emoji706].
 
Jidanganye Hivyo Hivyo.

Asec Mimosas Watakuwa Na Utulivu Sana Itasaidia Kutokuwa Na Makosa Madogo Madogo.

Simba Sc Wataingia Na Pressure Hiyo Itasababisha Makosa Mengi Na Kuathibiwa
Vipi yanga na CRB mzani unasemaje?
 
Hao vijana wenye kasi wanashindwa vipi kuwafunga wazee walio choka??
 
Back
Top Bottom