Tuwekee hapa majina ya miti inayofaa kuoteshwa mazingira ya nyumbani

Tuwekee hapa majina ya miti inayofaa kuoteshwa mazingira ya nyumbani

Mkaratus inazunguka eneo la nyumba km WIGO hii ukienda Mbeya & Shinyanga vijijini wanafanya sana
 
Mpapai panda shambani kwako porini sio nyumbani.Mizizi yake inanawizi kuliko kigogo chake.Kigogo ni kimoja lakini mizizi ni mingi sana na inatambaa kwenda mbali chini ya nyumba.Mizizi ina nguvu ya kutambaa na kusukuma mpaka mawe makubwa ya makaro.
Siku ukiukata ndio balaa zaidi.Kama hukuung'oa haraka na ukawacha uoze basi maji maji yake ni kama acid yanachimba shimo ambalo wewe mwenyewe ukitumbukia unazama wote.
Achana na mpapai kama mti wa bustani,Ufanye ni mti wa matunda ya kibiashara upande porini tu.
[emoji44]Hee. kumbe mpapai wa ovyo ivo? sikujua walah
Ndokwanza nayasikia hapa.
Asante sana mkuu kwa izi nondo. nna hakika zitasaidia wengine wengi waliokuwa hawajui kama mimi
 
Mkuu,
Hapo wengi watajikita kutaja ambayo ikiwa karibu na nyumba inaleta nyufa...lakini watasahau uharibifu wa
  • Mazalia ya wadudu/ Mbu/Nyuki.
  • Chanzo cha miizio/ allergic reaction.
  • Husababisha ukungu kwenye ukuta.
  • n.k
Ndiyo mana nkasema lazima uwe na key points takribani unazozilenga....
Ila ukisema hakuna madhara kabisa, itakuwa ni uongo.
asante kiongozi
 
[emoji44]Hee. kumbe mpapai wa ovyo ivo? sikujua walah
Ndokwanza nayasikia hapa.
Asante sana mkuu kwa izi nondo. nna hakika zitasaidia wengine wengi waliokuwa hawajui kama mimi
Duu kumbe Mpapai ni shida, ninavyopenda Papai nilipanda Miche miwli kwenye kishamba changu bahati mbaya Mchwa waliishambulia ikafa, nilisikitika sana lakini kama hali yenyewe ndiyo hiyo bora ilivyokufa.
 
[emoji44]Hee. kumbe mpapai wa ovyo ivo? sikujua walah
Ndokwanza nayasikia hapa.
Asante sana mkuu kwa izi nondo. nna hakika zitasaidia wengine wengi waliokuwa hawajui kama mimi

mpapai una tabia nyingine ya kutokuzaa kabisa ata uumwagilie au kuuwekea mbolea vipi.. inaitwa mipapai dume.. dalili yake ni utaona ikitoa maua mengi.

pia mpapai ukipata maji mengi hasa kipindi cha mvua na kama eneo lako ni linatuamisha sna maji ni rahisi kuoza na kuanguka wenyewe.
 
Duu kumbe Mpapai ni shida, ninavyopenda Papai nilipanda Miche miwli kwenye kishamba changu bahati mbaya Mchwa waliishambulia ikafa, nilisikitika sana lakini kama hali yenyewe ndiyo hiyo bora ilivyokufa.
haya mambo wengi hatuyajui na hata wauza miche wengi tu hawajui nao. wachache wanaojua hawawezi kukwambia kwa kuogopa kupoteza biashara
 
Napenda nyumba yenye miti mingiii....
Ila sio miashok hii miti sijawahi kuipenda sijui kwanini
 
emoji44.png
Hee. kumbe mpapai wa ovyo ivo? sikujua walah
Ndokwanza nayasikia hapa.
Asante sana mkuu kwa izi nondo. nna hakika zitasaidia wengine wengi waliokuwa hawajui kama mimi
Yani ni wa hovyo balaa mzizi wake unatambaa umbali mrefu n amkubwa kweli,kuuchimba uutoe wote ni kazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom