Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
mtukuru, komoni, kangara, wanzuki, chimpumu, mnazi, mbege, gongoHapa ni baadhi
1. Mbege
2. Dengerua
3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).
4. Komoni
5. Myakaya....
Endelea
[emoji1][emoji1][emoji1]mkuu ayo majina.Sekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa
Kwa leo zinatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mnyaturu nakuonaMaghahi, mausu, miha, miusu, mamiha, pombe ya lade, pombe ya nyanya, pombe ya miwa
Hapana hiyo haipo[emoji1][emoji1][emoji1]mkuu ayo majina.
bado kidogo ungesema ipo inayoitwa chomoa nijambe[emoji38]
daahKisungura
Pombe ya Dokta wa Forest MagholofaniHapa ni baadhi
1. Mbege
2. Dengerua
3. Pingu (Pombe hii mama muuza hakupi hadi ahakikishe kwanza umevaa suruali au pajama ndefu hadi chini kwenye vifundo vya miguu. Hapa mteja lazima ufungwe kamba upande wa chini wa suruali ili kila kitu kiende sawa).
4. Komoni
5. Myakaya....
Endelea
... KWAKWELI! πππKisungura