Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
togwa ni pombe?Wanzuki
Myakaya
Komoni
Sawani
Ulanzi
Togwa
Ikilala ndani ya siku tatu, inakuwa pombe completelytogwa ni pombe?
Umeniwahi mkuuNdimasi, mgoligoli, wanzuki, ugwagwa
Kijiji rulenge, wilaya ya Ngara, mkoa wa Kagera.ahahaha
Umeniwahi mkuu
ila wewe utakua wa b'mlo
hatari sana. natamani mungujalia nifike uku mahali siku moja. kuna nini vizuri uko?Kijiji rulenge, wilaya ya Ngara, mkoa wa Kagera.
Pisi kali tuu mzee za kinyarwanda🤣hatari sana. natamani mungujalia nifike uku mahali siku moja. kuna nini vizuri uko?
ao wapo bongo? au adi uvuke mpaka wa kuingia [emoji1206]Pisi kali tuu mzee za kinyarwanda[emoji1787]
DadiiSekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa
Kwa leo zinatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hii picha inanitesa kila nikikutana nayoKuna Rubisi , kalinya, mnanasi, kayoga🤠🤠🤠!
Hatari sanaaa
Wengi wameoa wanyarwanda so pisi nyingi unakuta baba mTz mama mnyarwanda so hiyo mixer nadhani umenielewa.ao wapo bongo? au adi uvuke mpaka wa kuingia [emoji1206]
[emoji38][emoji38][emoji38]Dadii
duh[emoji39]uku sasa ndo kwa kutembelea sio unaskia mtu anasema anaenda vakeshen mikumiWengi wameoa wanyarwanda so pisi nyingi unakuta baba mTz mama mnyarwanda so hiyo mixer nadhani umenielewa.
Hii pombe nayo?Mobimba.
ChimpumuSekenke
Chakubanga
Rusha raha
Banana
Nikomoe
Wanzuki
Nakunya leo
Ulanzi
Ndungu
Trump mtata
Mchokonoe
Zediii
Shusha mikono
Nalenga
Namanyere
Chipapa
Kanyezi
Selengoma
Msinshindwe
Ulumi
Kalepula
Legezamwendo
Chibuku
Comoriye
Gongo
Nshukaa
Kwa leo zinatosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app