Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Habari wakuu,
Nina wazo la 'win/win situation' inawezekana wewe ni mjasiriamali uko kwenye kundi hili:-
Nina wazo la 'win/win situation' inawezekana wewe ni mjasiriamali uko kwenye kundi hili:-
- Muuza genge
- Muuza mishikaki/ nyama mapande
- Muuza matunda
- Mama ntilie
- Mtembeza karanga, soda, biskuti n.k
- Chinga wa nguo
- Muuza nyanya, vitunguu n.k sokoni
- Muuza vyombo kwa kutembeza
- Unachoma mahindi
- Unauza mihogo
- Unauza samaki walio kaangwa
- Muuza barafu kwa kutembeza n.k
Soko la uhakika unalo, ila unashindwa kukuza biashara yako kutokana na changamoto ya mtaji kuwa mdogo; tunaweza tukajadiliana namna ya kutimiza ndoto yako.
Kitakachofanyika tutaingia ubia, tutawekeza nguvu ili wewe ufanikishe lengo lako, nasi pia tusonge mbele.
Muhimu: Biashara uwe tayari ulishaianza
Kwa sasa tuanze na Arusha
Kitakachofanyika tutaingia ubia, tutawekeza nguvu ili wewe ufanikishe lengo lako, nasi pia tusonge mbele.
Muhimu: Biashara uwe tayari ulishaianza
Kwa sasa tuanze na Arusha