Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Ushauri wako ni muhimu.Nitarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri wako ni muhimu.Nitarudi
Wewe sio benki. Kumbuka hilo.Swali lako ni sawa na kusema, kwa nini benki wasifungue biashara na kufanya kwa kutumia hizo hela za wateja.
Lengo kubwa la kutumia njia hii ni kukwepa baadhi ya changamoto (risk).
Nadhani 'concept' utakuwa umeipataWewe sio benki. Kumbuka hilo.
Faida kuu utakayopata kwenye hili wazo lako ni KUPOTEZA HIVYO VIJISENTI VYAKO.Nadhani 'concept' utakuwa umeipata
Faida; hizi gharama utaziepuka:-
Kinachofanyika; labda yeye soko lake linahitaji 100units, ila uwezo wake ni 20units; kwa hiyo eqn x atampatia hizo 80units zilizobaki huku wakigawana faida.
- Kodi ya pango
- Kulipa mshahara
- Leseni
- kodi ndogo ndogo kama ushuru n.k
Mjasiriamali siku zote ni ''risk taker'' hii ndio inayowatofautisha na waajiriwa.Faida kuu utakayopata kwenye hili wazo lako ni KUPOTEZA HIVYO VIJISENTI VYAKO.
Jipe moyoMjasiriamali siku zote ni ''risk taker'' hii ndio inayowatofautisha na waajiriwa.
Mkuu kwann arusha kwanza ?Mjasiriamali siku zote ni ''risk taker'' hii ndio inayowatofautisha na waajiriwa.
Kwa sababu ni mwanzo na wazo linatakiwa kupimwa kiuhalisia; eneo tajwa limependekezwa kwa sababu ya ukaribu wa uangalizi na usimamizi; kama litafanikiwa, litatekelezwa na maeneo mengine pia.Mkuu kwann arusha kwanza ?
Na sisi wa mikoanai tunahitaji fursa hizi
Asali mkuu. Tuweke ubia tukusanye debe 200. Msimu ndio huu.Unajishughulisha na nini mkuu?
Hakika ikafanikiwe ili na sisi wamikoani tunufaikeKwa sababu ni mwanzo na wazo linatakiwa kupimwa kiuhalisia; eneo tajwa limependekezwa kwa sababu ya ukaribu wa uangalizi na usimamizi; kama litafanikiwa, litatekelezwa na maeneo mengine pia.
Unauza wale samaki wenye chumvi nyingi kama mkuu wa RC vatican au??Namie mjasiriamali kaka
Mkoa gani?Asali mkuu. Tuweke ubia tukusanye debe 200. Msimu ndio huu.
KataviMkoa gani?
Kama project ikitiki na huko tutasogeaKatavi
[emoji23]Kama project ikitiki na huko tutasogea
Maisha ni ubunifuWatu wanatafuta business ideas kimtindo.
Soko lake lipoje?Asali mkuu. Tuweke ubia tukusanye debe 200. Msimu ndio huu.