Tuwekeze kwa wajasiriamali wadogo wanaojituma

Tuwekeze kwa wajasiriamali wadogo wanaojituma

Wewe sio benki. Kumbuka hilo.
Nadhani 'concept' utakuwa umeipata

Faida; hizi gharama utaziepuka:-
  • Kodi ya pango
  • Kulipa mshahara
  • Leseni
  • kodi ndogo ndogo kama ushuru n.k
Kinachofanyika; labda yeye soko lake linahitaji 100units, ila uwezo wake ni 20units; kwa hiyo eqn x atampatia hizo 80units zilizobaki huku wakigawana faida.
 
Nadhani 'concept' utakuwa umeipata

Faida; hizi gharama utaziepuka:-
  • Kodi ya pango
  • Kulipa mshahara
  • Leseni
  • kodi ndogo ndogo kama ushuru n.k
Kinachofanyika; labda yeye soko lake linahitaji 100units, ila uwezo wake ni 20units; kwa hiyo eqn x atampatia hizo 80units zilizobaki huku wakigawana faida.
Faida kuu utakayopata kwenye hili wazo lako ni KUPOTEZA HIVYO VIJISENTI VYAKO.
 
Back
Top Bottom