Tuweni serious

Tuweni serious

tecknologia23

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2023
Posts
259
Reaction score
382
Kweli sijui nyie ila kunawatu wanajali familia zao .sijamaanisha watoto na mke na maanisha baba na mama maana. Huwezi penda mzazi mmoja , .
Kila siku naandika Hivi mama anazaa Kwa uchungu analea Kwa tabu anasomesha Kwa tabu.

Halafu Kuna mijitu Fulani inaoa/inaolewa inaenda kulipiza fadhila kwenye familia zingine .


Maisha ukitaka baraka tunza mama Yako na baba Ako .
Sio Malaya na familia zingine ambazo hazina msaada kwako wengi wamefulia wakarudi Kwa mama zao kunywa uji wa chumvi .

Wadada wanahonga huku mijini na mama zao ndugu zao wanahali mbayaa silaana tu unatafuta Sasa.

Mtu kwenu hata kibanda hamna ila unagari , simu IPHONE 14 unaenda kuleta mizigo china mama Yako yupo kijijini anashinda na mihogo na akibahatisha chai unashukuru anafanya kila kibarua kwa uzee wake ili apate pesa za kuwalishia wadogo zako.

Mfano akafa Sasa unakuja na watu wakishua na mnajionesha na misimu yenu wewe mpaka msiba unaisha , unaamua kuwachukua ndugu halafu unaanza kuwatesa tesa Kisa unajukumu yakulea ndugu za watu .


INTAKE kama upo humu na unafanya hivyoo kweli ona aibu ona Kwa maana hii sio laana tu unajitafutia ni laana kubwa .


Good day . Mf . Hai alikiba anakaa na familia yake hutaki kwendraa , diamond hashuki kipesa Kisa yupo na ndugu zake wewe nani mwenye hela za kudunduliza unasaidia watu wengine unawaacha NDUGU ZAKO kama Hujielewi nenda ukatolewe hiyo Tabia umelogwa.

Wanaume Kwa wanawake . Jiangalieni sana FAMILIA KWANZA MENGINE YANAFUATA WEWE KAMA HATA NDUGU HUWATAKI BASI MAMA YAKO hata ukamsitiri
 
Sio wajibu wa mtoto kumhudumia mzazi. Ni wajibu wa mzazi kumhudumia mtoto.

Iko hivi, kwa mambo yoote mema na mazuri waliyokutendea wazazi wako tangu unazaliwa, hakuna bei utaweza kuwalipa. Malipo yake ni kuwatendea vivyo hivyo wajukuu zao, au hata zaidi.

Kama baba yako alichakalika kutwa kucha kuhakikisha hamkosi kula, hakikisha watoto wako hawakosi kula under any circustance. Kama ulisoma na kila ulichohitaji ulipatiwa kwa wakati, tenda hivo hivo kwa wanao.

Kama mama alijinyima kula ili wewe ushibe tendea hivo wanao, kama ulianza kukengeuka, baba/mama akachukua bakora akakucharaza urudi kwenye reli, fanya hivo kwa wanao wanaojifunza utukutu. Sio kuanza kuleta uzungu akati kizazi kinaharibika.

Pamoja na changamoto za ndoa, ila kama baba/mama yako alimvumilia mwenzie ili wewe ukue ukiwa chini ya malezi ya wazazi wote wawili jitahidi kumaliza tofauti zenu huko ili mlee hao watoto hadi watakapo jitegemea mkiwa pamoja.

Kama hukuwahi kumwona baba yako akimfokea/akipmiga mama yako mbele yenu, usimfokee mkeo ama kumpiga mbele ya watoto. Hata kama uliwahi kushudia hicho kitu, just dont. Yaan my point is Just give your kids the best you got from your parents. Hapo utakuwa unalipa madeni ya yoote mazuri waliyokutendea wale wazee.

Niamini mimi, Furaha na mafanikio ya wajukuu zao ndiyo zawadi kubwa unaweza kuwapa wazazi wako. Sio hivi visenti.
 
I was with you hadi ulivyotoa mifano ya Ali Kiba na Diamond.

So watu wakae na mama zao wazeekee hapo, wazae huku na huko walete watoto mama alee, na mama zao ikiwezekana waendelee kuzaa humo humo wachanganye watoto na wajukuu....

usikute ndo uko kitengo inasubiriwa sahihi yako tu mipango iende....
 
Sio wajibu wa mtoto kumhudumia mzazi. Ni wajibu wa mzazi kumhudumia mtoto.

Iko hivi, kwa mambo yoote mema na mazuri waliyokutendea wazazi wako tangu unazaliwa, hakuna bei utaweza kuwalipa. Malipo yake ni kuwatendea vivyo hivyo wajukuu zao, au hata zaidi.

Kama baba yako alichakalika kutwa kucha kuhakikisha hamkosi kula, hakikisha watoto wako hawakosi kula under any circustance. Kama ulisoma na kila ulichohitaji ulipatiwa kwa wakati, tenda hivo hivo kwa wanao.

Kama mama alijinyima kula ili wewe ushibe tendea hivo wanao, kama ulianza kukengeuka, baba/mama akachukua bakora akakucharaza urudi kwenye reli, fanya hivo kwa wanao wanaojifunza utukutu. Sio kuanza kuleta uzungu akati kizazi kinaharibika.

Pamoja na changamoto za ndoa, ila kama baba/mama yako alimvumilia mwenzie ili wewe ukue ukiwa chini ya malezi ya wazazi wote wawili jitahidi kumaliza tofauti zenu huko ili mlee hao watoto hadi watakapo jitegemea mkiwa pamoja.

Kama hukuwahi kumwona baba yako akimfokea/akipmiga mama yako mbele yenu, usimfokee mkeo ama kumpiga mbele ya watoto. Hata kama uliwahi kushudia hicho kitu, just dont. Yaan my point is Just give your kids the best you got from your parents. Hapo utakuwa unalipa madeni ya yoote mazuri waliyokutendea wale wazee.

Niamini mimi, Furaha na mafanikio ya wajukuu zao ndiyo zawadi kubwa unaweza kuwapa wazazi wako. Sio hivi visenti.
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe. Very wise
 
Sio wajibu wa mtoto kumhudumia mzazi. Ni wajibu wa mzazi kumhudumia mtoto.

Iko hivi, kwa mambo yoote mema na mazuri waliyokutendea wazazi wako tangu unazaliwa, hakuna bei utaweza kuwalipa. Malipo yake ni kuwatendea vivyo hivyo wajukuu zao, au hata zaidi.

Kama baba yako alichakalika kutwa kucha kuhakikisha hamkosi kula, hakikisha watoto wako hawakosi kula under any circustance. Kama ulisoma na kila ulichohitaji ulipatiwa kwa wakati, tenda hivo hivo kwa wanao.

Kama mama alijinyima kula ili wewe ushibe tendea hivo wanao, kama ulianza kukengeuka, baba/mama akachukua bakora akakucharaza urudi kwenye reli, fanya hivo kwa wanao wanaojifunza utukutu. Sio kuanza kuleta uzungu akati kizazi kinaharibika.

Pamoja na changamoto za ndoa, ila kama baba/mama yako alimvumilia mwenzie ili wewe ukue ukiwa chini ya malezi ya wazazi wote wawili jitahidi kumaliza tofauti zenu huko ili mlee hao watoto hadi watakapo jitegemea mkiwa pamoja.

Kama hukuwahi kumwona baba yako akimfokea/akipmiga mama yako mbele yenu, usimfokee mkeo ama kumpiga mbele ya watoto. Hata kama uliwahi kushudia hicho kitu, just dont. Yaan my point is Just give your kids the best you got from your parents. Hapo utakuwa unalipa madeni ya yoote mazuri waliyokutendea wale wazee.

Niamini mimi, Furaha na mafanikio ya wajukuu zao ndiyo zawadi kubwa unaweza kuwapa wazazi wako. Sio hivi visenti.
Wewee unashida sana
 
Kwahiyo bado wewe ni mdogo mama Yako akiumwa na unauwezo huromsaidia sindio eti??
Kwetu ni furaha tele..oh my love. Sio makasiriko...aah aah. Naomba upeleke makasiriko msikitin ama kanisani. Sometimes sprite ya baridi inasaidia kushusha jazba. Goodnight sweety...
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa bingwa sana wa kuhonga wanawake na kutoa ofa za vinywaji kwa washkaji zake.

Alipopata msiba wa mama yake, hakuamini jinsi alivyosimangwa na wenzake. Sasa yupo kwao anakula msoto na hakuna anayemjali na kumkumbuka.
 
Mzazi sio Mungu babu, anaacha tu na yeye akileta wenge 😀😀
 
I was with you hadi ulivyotoa mifano ya Ali Kiba na Diamond.

So watu wakae na mama zao wazeekee hapo, wazae huku na huko walete watoto mama alee, na mama zao ikiwezekana waendelee kuzaa humo humo wachanganye watoto na wajukuu....

usikute ndo uko kitengo inasubiriwa sahihi yako tu mipango iende....
Msisitizo:
wao wameamua kuishi nao na ndio waislam walivyoo. Kijana wajue sana wazazi wako siku zako zipate kuwa nyingi hapa duniani.
Malaya, sio wakaaji ni maisha mafupi tu utakayofurahia nao. Mke au Mume hao hawanaga guarantee So only your mom anaguarantee maishani mwako na ndugu zako japo sio wote . Good Day
 
Msisitizo:
wao wameamua kuishi nao na ndio waislam walivyoo. Kijana wajue sana wazazi wako siku zako zipate kuwa nyingi hapa duniani.
Malaya, sio wakaaji ni maisha mafupi tu utakayofurahia nao. Mke au Mume hao hawanaga guarantee So only your mom anaguarantee maishani mwako na ndugu zako japo sio wote . Good Day
Wewe kwanini u associate na malaya? Huoni tatizo linaanzia kwako

Mke hana guarantee so mama yako ndo partner wako?

Hao malaya utakuwa unaleta humo ndani mama yako anapoishi,
au utakuwa una deal nao mitaani/ nyumba za wageni,
au utakuwa mtawa,
au ni hanithi?

Kutunza wazazi ni kitu kingine na maisha yako ni kitu kingine.


Mifano uliyotoa ni ya watu wa hovyo!
 
I have a son and he better not be thinking we partnered for life,
I can't wait awe adult NIWE FREE!!

Nimemzaa mzima kabisa so I expect him to have a woman in his life when he matures..

And I don't expect to be sharing a kitchen with another woman, I'll unfortunately have to be the boss and that's not fair 😜

Every woman with her kitchen!
 
Wewe kwanini u associate na malaya? Huoni tatizo linaanzia kwako

Mke hana guarantee so mama yako ndo partner wako?

Hao malaya utakuwa unaleta humo ndani mama yako anapoishi,
au utakuwa una deal nao mitaani/ nyumba za wageni,
au utakuwa mtawa,
au ni hanithi?

Kutunza wazazi ni kitu kingine na maisha yako ni kitu kingine.


Mifano uliyotoa ni ya watu wa hovyo!
Wengine hawajui hilo mke Wala mama yake yeye anahonga tu Malaya sikia hivi hujaambiwa uw kama diamond Wala alikiba umeambiwa chukua mazuri Yao mabaya Yao yaache
 
Wengine hawajui hilo mke Wala mama yake yeye anahonga tu Malaya sikia hivi hujaambiwa uw kama diamond Wala alikiba umeambiwa chukua mazuri Yao mabaya Yao yaache
" Mf . Hai alikiba anakaa na familia yake hutaki kwendraa "

Mazuri gani sasa
 
Sio wajibu wa mtoto kumhudumia mzazi. Ni wajibu wa mzazi kumhudumia mtoto.

Iko hivi, kwa mambo yoote mema na mazuri waliyokutendea wazazi wako tangu unazaliwa, hakuna bei utaweza kuwalipa. Malipo yake ni kuwatendea vivyo hivyo wajukuu zao, au hata zaidi.

Kama baba yako alichakalika kutwa kucha kuhakikisha hamkosi kula, hakikisha watoto wako hawakosi kula under any circustance. Kama ulisoma na kila ulichohitaji ulipatiwa kwa wakati, tenda hivo hivo kwa wanao.

Kama mama alijinyima kula ili wewe ushibe tendea hivo wanao, kama ulianza kukengeuka, baba/mama akachukua bakora akakucharaza urudi kwenye reli, fanya hivo kwa wanao wanaojifunza utukutu. Sio kuanza kuleta uzungu akati kizazi kinaharibika.

Pamoja na changamoto za ndoa, ila kama baba/mama yako alimvumilia mwenzie ili wewe ukue ukiwa chini ya malezi ya wazazi wote wawili jitahidi kumaliza tofauti zenu huko ili mlee hao watoto hadi watakapo jitegemea mkiwa pamoja.

Kama hukuwahi kumwona baba yako akimfokea/akipmiga mama yako mbele yenu, usimfokee mkeo ama kumpiga mbele ya watoto. Hata kama uliwahi kushudia hicho kitu, just dont. Yaan my point is Just give your kids the best you got from your parents. Hapo utakuwa unalipa madeni ya yoote mazuri waliyokutendea wale wazee.

Niamini mimi, Furaha na mafanikio ya wajukuu zao ndiyo zawadi kubwa unaweza kuwapa wazazi wako. Sio hivi visenti.
This is stupid. Wafanye wazazi wako waishi vizuri siku walizobakiza hapa duniani
 
Back
Top Bottom