VX V8 ni maarufu sana Tanzania kwasababu zinatumiwa sana na viongozi, na wanaonunua wengi wananunua kwasababu wanaogopa maintanance ya other SUV kama RR au Nissan Patrol NM.
Interms of performance, power, comfotability RR ni the beast.
VX V8 ni maarufu sana Tanzania kwasababu zinatumiwa sana na viongozi, na wanaonunua wengi wananunua kwasababu wanaogopa maintanance ya other SUV kama RR au Nissan Patrol NM.
Interms of performance, power, comfotability RR ni the beast.
Sawa kabisa kijanaa upo sawa maintanance ya RR na ya Nissana ni ghali compare to Vx! Ila nissana sio kabisa wameshindwa kutupa kile tunachotaka kwenye speed huweiz compare vx na Nissan wala range na Nisaan! Utakubaliana na mm kwamba nissana haiko comfortable sana ktk driving tofauti na RR na Vx