Suleiman Mfua
Member
- Feb 27, 2014
- 62
- 64
Alisikika kijana mmoja akisema kwa sauti ya juu......!!! Nanukuu:-
"Mkinywa maji ya mto mmoja si busara kuyatibua maji kwa miguu kwani wote mtakunywa Maji machafu! Yanini kutibua maji bila sababu!?!"
Mwisho wa Kunukuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
"Mkinywa maji ya mto mmoja si busara kuyatibua maji kwa miguu kwani wote mtakunywa Maji machafu! Yanini kutibua maji bila sababu!?!"
Mwisho wa Kunukuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app