Tuziache taasisi za serikali ziajiri zenyewe kama zamani

Tuziache taasisi za serikali ziajiri zenyewe kama zamani

Ili kuokoa muda na gharama za kuajiri.

Tuziache taasisi za serikali ziajiri zenyewe kama zamani.

Utaratibu wa kuitumia sekretarieti ya ajira kushughurikia ajira za taasisi zote zilizopo Tanzania ni kupoteza muda wa kuajiri na kuita watu kwenye usaili.

Kuajiri kunachukua muda mrefu sana.
Tena ni ujinga, Mkapa alifanya taasisi kuwa na heshima sasa alipokuja mwendazake kaharibu
 
Japo upendeleo ni mkubwa,ila ukirudisha huo mfumo,hali itakua mbaya zaidi.
 
Ili kuokoa muda na gharama za kuajiri, tuziache taasisi za serikali ziajiri zenyewe kama zamani.

Utaratibu wa kuitumia Sekretarieti ya Ajira kushughulikia ajira za taasisi zote zilizopo Tanzania ni kupoteza muda wa kuajiri na kuita watu kwenye usaili.

Kuajiri kunachukua muda mrefu sana.
ZINA UPENDELEO WA KIKABILA UNDUGU UDINI na Ngono
 
Back
Top Bottom