OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Bei za virushi hazijaongezeka, zimepaaa, thus ukipima percentage change ni zaidi ya 200%. Je kutakuwa na matokeo gani kiuchumi
1. Ikumbukwe kuwa 'services' imekuwa ikiongezeka kila uchao na huku 'production' ikiwa katika hali fulani tofauti. Kikubwa ni kuwa kulikuwa na huduma na hata wanaouza bidhaa walijazana mtandaoni kutafuta wateja au kuwahudumia wateja. Kupaa huku kwa bei hasa za MBs kutafanya gharama ya kutangaza bidhaa au huduma kuwa kubwa. Na ikumbukwe masuala ya kubandika matangazo kwenye mistimu na minara ni very old version na kwa baadhi ya huduma na bidhaa haziwezi kutegemea kukua kwa sampuli hiyo ya matangazo
Hence, wateja inabidi wachangie huduma ya bando hivyo kunaweza kuwa na slight increase ya huduma zinazopitia internet. Mathalani huduma za internet cafe zitapanda kama kwa saa ilikuwa 1000, sijui kwa sasa kwa saa itakuwa sh ngapi. kwa wale waombaji wa kazi kupitia internet cafe huko ajira portal wameathiriwa moja kwa moja
Kwa kuwa bado sina study ya kuonesha makundi ambayo yameguswa, nataja tu hayo yanayonijia kichwani
2. Kama watu watajiweka sawa na bei hizi, lazima kuwa na kugawana gharama hizo, ambapo bei za vitu vingine pia zitaathiriwa, ambayo kimsingi baada ya muda(Unknown) kutakuwa na increase of general price levels, ambayo then inaweza kuwa na madhara zaidi kwenye thamani ya fedha
FAIDA INAYOONEKANA
Faida kubwa ni kwa makampuni ya mawasiliano na serikali kwa ujumla(Kama watu watarespond vizuri)
Kiulinzi serikali itakuwa sawa kwa kuwa ni rahisi kufauatilia sms(hazina encryption) ukifananisha na whatsapp messages nk. Aidha ni rahisi kufanya filtration kwa sms kuliko aina nyingine za kuwasiliana
Andiko hili halina kitu serious, tusubiri miezi kadhaa ipite then tu-examine impact yake tukijaaliwa
Signed OEDIPUS
1. Ikumbukwe kuwa 'services' imekuwa ikiongezeka kila uchao na huku 'production' ikiwa katika hali fulani tofauti. Kikubwa ni kuwa kulikuwa na huduma na hata wanaouza bidhaa walijazana mtandaoni kutafuta wateja au kuwahudumia wateja. Kupaa huku kwa bei hasa za MBs kutafanya gharama ya kutangaza bidhaa au huduma kuwa kubwa. Na ikumbukwe masuala ya kubandika matangazo kwenye mistimu na minara ni very old version na kwa baadhi ya huduma na bidhaa haziwezi kutegemea kukua kwa sampuli hiyo ya matangazo
Hence, wateja inabidi wachangie huduma ya bando hivyo kunaweza kuwa na slight increase ya huduma zinazopitia internet. Mathalani huduma za internet cafe zitapanda kama kwa saa ilikuwa 1000, sijui kwa sasa kwa saa itakuwa sh ngapi. kwa wale waombaji wa kazi kupitia internet cafe huko ajira portal wameathiriwa moja kwa moja
Kwa kuwa bado sina study ya kuonesha makundi ambayo yameguswa, nataja tu hayo yanayonijia kichwani
2. Kama watu watajiweka sawa na bei hizi, lazima kuwa na kugawana gharama hizo, ambapo bei za vitu vingine pia zitaathiriwa, ambayo kimsingi baada ya muda(Unknown) kutakuwa na increase of general price levels, ambayo then inaweza kuwa na madhara zaidi kwenye thamani ya fedha
FAIDA INAYOONEKANA
Faida kubwa ni kwa makampuni ya mawasiliano na serikali kwa ujumla(Kama watu watarespond vizuri)
Kiulinzi serikali itakuwa sawa kwa kuwa ni rahisi kufauatilia sms(hazina encryption) ukifananisha na whatsapp messages nk. Aidha ni rahisi kufanya filtration kwa sms kuliko aina nyingine za kuwasiliana
Andiko hili halina kitu serious, tusubiri miezi kadhaa ipite then tu-examine impact yake tukijaaliwa
Signed OEDIPUS