Tuzikatae Serikali zisizo na ufumbuzi ongezeko la bei za mafuta

Tuzikatae Serikali zisizo na ufumbuzi ongezeko la bei za mafuta

IMG-20220505-WA0395.jpg
 
Kupanda kwa bei ya dhahabu, tanzanite na vyote made in Tanzania hakujawahi kuakisiwa popote positively katika nchi hii.

Kote upigaji ndiyo ulio kipaumbele.

Serikali kupitia LATRA ilitangaza bei mpya za nauli kwa kuzingatia diesel @ 2,800/- wakiyataka mabasi kutokutumia nauli hizo kabla ya 14 May.

Hadi 14 May wenye mabasi waendelee kuvuna hasara japo wao serikali hata huwa hawa subiri hata yale ya siku 27 tu ya store kutumika.

Kwamba wao serikali ndiyo waseme wanasimamia maslahi ya mlaji? Huu si ni usanii tu?

Tulipo sasa bei za mafuta zimepanda tena kwa karibu 600/- @ Lita.

Hili si la vyama tena.

Wananchi - twafa!

Achia mbali rushwa za polisi ambazo ni rasmi majiani, ushuru usio tija, gharama za ving'amuzi, faini za kubambikiziana nk, sisi walaji wa mwisho tunasalimikia wapi?

-----------
Source: Bei mpya ya petroli, dizeli hii hapa!
Tuhamasishane tuingie mtaani jamani hatutatoka kwenye hali hii!
 
Tuhamasishane tuingie mtaani jamani hatutatoka kwenye hali hii!
Kwa hakika bila kusimama imara tusishangae kuambiwa lita moja imefika 10,000/-.

Uamuzi wa kusuka au kunyoa ni wetu.
 
Nim muda wa kuingia mtaani sasa bila shuruti! ikifikia litre moja inanunuliwa kwa elfu 10 tutatia akili! Hao Urusi na Ukraine ugomvi hauishi leo wala kesho
 
Zawadini huko Zenji hizi ndiyo bei zenu na vigezo na masharti haya kuzingatiwa?

Yawezekana Zanzibar hawahitaji Katiba Mpya sasa

Ni dhahiri kuwa Zenji kumenoga!
Hizi ni bei za Aprili. Nilisema bei hizi wakati ule.
expand...Lita ya petroli kwa sasa ni zaidi ya shilingi 2640.

Ni vizuri kuangalia bei za mwezi Mei. Hata hivyo bei zinaweza zikawa ndogo kidogo huku kwani serikali imeondoa baadhi ya makato ambayo Bara wanaita TOZO.

Jee hili linaondoa madai ya katiba mpya? Na katiba ipi? Huku kwetu tuna katiba mbili ambazo zinaenda kwa pamoja, yaani ya Tanzania na ile ya Zanzibar.

Kwa mantiki hiyo sio vibaya kusema Zanzibar kumenoga ila sio sahihi kusema Wazanzibari hawataki katiba mpya.

Inapokuja suala la misimamo juu ya katiba mpya, Wazanzibari ni wa kupigiwa mfano. Hivi ni Mbara gani anaweza/ameweza/aliweza kusamehe nafasi nyeti kwa msimamo wa kisiasa na kupigania haki ya Tanzania. Huku Zanzibar iko mifano mingi.

Wacha Kaizari aitwe Kaizari. Huku kwetu tunasema "mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni"
 
Hizi ni bei za Aprili. Nilisema bei hizi wakati ule.
expand...Lita ya petroli kwa sasa ni zaidi ya shilingi 2640.

Ni vizuri kuangalia bei za mwezi Mei. Hata hivyo bei zinaweza zikawa ndogo kidogo huku kwani serikali imeondoa baadhi ya makato ambayo Bara wanaita TOZO.

Jee hili linaondoa madai ya katiba mpya? Na katiba ipi? Huku kwetu tuna katiba mbili ambazo zinaenda kwa pamoja, yaani ya Tanzania na ile ya Zanzibar.

Kwa mantiki hiyo sio vibaya kusema Zanzibar kumenoga ila sio sahihi kusema Wazanzibari hawataki katiba mpya.

Inapokuja suala la misimamo juu ya katiba mpya, Wazanzibari ni wa kupigiwa mfano. Hivi ni Mbara gani anaweza/ameweza/aliweza kusamehe nafasi nyeti kwa msimamo wa kisiasa na kupigania haki ya Tanzania. Huku Zanzibar iko mifano mingi.

Wacha Kaizari aitwe Kaizari. Huku kwetu tunasema "mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni"

Tulipo sasa ni kwenye kuwakataa wahuni. Kwenu bei ni zaidi ya 2640/- kwa Lita.

Kwani bei kamili ni ngapi hata?

Kwenu baadhi ya tozo zimeondolewa. Kwetu Samia kasema haondoi moja.

Kwetu leo diesel juu kwa 600/- kwa jangulo moja. Wanapima maji. Si ajabu kusikia 10,000/- kwa lita.

Tunayo haja ya kuongelea mfumuko wa bei utakaofuata?

Tuungane kuwakataa wahuni.
 
Back
Top Bottom