mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 248
- 539
Ikiwa dunia inapitia kwenye mtikisiko mkubwa wa kiafya na kiuchumi baada ya kukumbwa na janga la corona.
Tumeshuudia biashara, ajira, uwekezaji nk vikiporomoka.
Lakini wanasema penye kila changamoto kuna fursa, tumeona baadhi ya fursa zilizojitokeza kwenye kipindi hiki kama ushonaji wa barakoa, uuzaji wa sanitizer, online schooling na dawa za kufubaza virus za corona.
Je, kuna fursa gani zingine mtu anaweza zitumia kuongeza kipato au chochote kipindi hiki cha corona au hata wakati wa recovery ya ili janga?
Tumeshuudia biashara, ajira, uwekezaji nk vikiporomoka.
Lakini wanasema penye kila changamoto kuna fursa, tumeona baadhi ya fursa zilizojitokeza kwenye kipindi hiki kama ushonaji wa barakoa, uuzaji wa sanitizer, online schooling na dawa za kufubaza virus za corona.
Je, kuna fursa gani zingine mtu anaweza zitumia kuongeza kipato au chochote kipindi hiki cha corona au hata wakati wa recovery ya ili janga?