Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuWanam'bagua ubaguzi wa rangi....we huoni alivo mweusi..😀😀😀
hahahaha.....Wanam'bagua ubaguzi wa rangi....we huoni alivo mweusi..😀😀😀
Umeshawahi pita kwenye ukurasa wake wa Instagram huwa anavikauli vya ajabu, ukipita utarudi hapa kufuta ulichoandikani kwa sbabu aliamua kubadilika na kuifanya kazi yake "" kiustaarabu na kujiheshimu .."" hajataka kuifanya Sana'a kama Uwanja wa kudanga na kujipatia mabwana...kama ambavyo wanavyo fanya hao uliowataja".... angekuwa nae anagombea mabwana insta na kukaa uchi uchi "" basi angekuwa n fan base yakutosha tu ...na watu wangekuwa wanamsaport ..
"" BONGO"" ILI UWEZE"" KUWA STAR""" UNATAKIWA UWE NA AKILI ZA"" WAGONJWA """WA MILEMBE ..UJICHETUE CHETUE ...SEEMS WABONGO NI WATU WANAOPENDA KUFUATULIA MAMBO YA KIJINGA JINGA ".".. kwa sbabu wabongo wengi akili zao zinawaza ujinga tu ""..
Ashakua zilipendwa huyuuu!!Umeshawahi pita kwenye ukurasa wake wa Instagram huwa anavikauli vya ajabu, ukipita utarudi hapa kufuta ulichoandika
Ila ni kiropoko mno, kwenye kurasa wake wa insta anaropokaga sana hana nidhamu, na watanzania wameamua kumpotezea
Huyu mama watatu kaamua kutulia sasa hivi maana umri unaenda miaka 39 si haba kwa kweli watoto 3 then single..!bora alee watoto afanye yake kimya kimya tu!ni kwa sbabu aliamua kubadilika na kuifanya kazi yake "" kiustaarabu na kujiheshimu .."" hajataka kuifanya Sana'a kama Uwanja wa kudanga na kujipatia mabwana...kama ambavyo wanavyo fanya hao uliowataja".... angekuwa nae anagombea mabwana insta na kukaa uchi uchi "" basi angekuwa n fan base yakutosha tu ...na watu wangekuwa wanamsaport ..
"" BONGO"" ILI UWEZE"" KUWA STAR""" UNATAKIWA UWE NA AKILI ZA"" WAGONJWA """WA MILEMBE ..UJICHETUE CHETUE ...SEEMS WABONGO NI WATU WANAOPENDA KUFUATULIA MAMBO YA KIJINGA JINGA ".".. kwa sbabu wabongo wengi akili zao zinawaza ujinga tu ""..
huyu Dada ni underrated sana....ila ndiyo kati ya maligend wachache sana waliokuwa talented sana kwenye sanaa ya uigizaji Africa...kwa bongo kwa waigizaji wa kike hakuna wa kuukamata huo moto mpaka sasa.Wakuu,
Hii ni mara ya pili msanii huyu wa kitambo kwenye Bongo movie anapata tuzo huko nje ya nchi.
Ila hakuna mbwembwe za kupokelewa kama Lulu..
Inamaana hata Wizara ya habari hawaoni kazi anazofanya huyu msanii?
Au tuzo zake ni uchwara?
Wanaojua juu ya tuzo anazogombania huko nje ya nchi huyu Monalisa mtujuze.
Haha hahah....menopause "" inabisha hodi " "hapo akijifanya mwehu tu "" waoaji nao wanasusa ""..Huyu mama watatu kaamua kutulia sasa hivi maana umri unaenda miaka 39 si haba kwa kweli watoto 3 then single..!bora alee watoto afanye yake kimya kimya tu!
Maana akisema ajichetua ameumia![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!
seriously""!? .....Bahati nzuri /mbaya "" sinaga acc ya Insta ....Umeshawahi pita kwenye ukurasa wake wa Instagram huwa anavikauli vya ajabu, ukipita utarudi hapa kufuta ulichoandika
Haha hahah....menopause "" inabisha hodi " "hapo akijifanya mwehu tu "" waoaji nao wanasusa ""..
naaam nakumbuka ...enzi ya Tyson ...ulichosema ni sahihi " but ina depend na " kile ambacho mtu anakiota katika maisha "" ndoa sio mantiki ya maisha ...lakini katika Jamii "" Yetu " kuna watu bado wanajiona sio timilifu " pindi wanapalokuwa wamekosa ndoa.." na katika hao miongoni mwao " anaweza kuwepo "" huyo monalisa .."...Daah aisee haya mawazo ya kizaman mkuu. Maisha bila ndoa inawezekana. Monalisa alishaolewa tena ndoa kubwa ilitikisa enzi zile so gundu la ndoa keshatoa