Tuzo ya heshima ya mwaka huu kwa Member wa JF

Iende kwa Pro-ccm maana wana courage ya ajabu aiseee, kutetea ujinga wa wazi kabisa? Kile ni kipaji nakwambia
 
Katika maisha ni vizur mtu kujikubali kwanza na kujihamin mwenyewe then uwakubali wenzio

Hivyo basi, tuzo ziniendee mm mwenyewe Felix, kwa mchango wangu wowote niliyowah kuchangia,kumshauri,n.k

Pili tuzo ziwaendee members wa JF wote kwa ushiriki wao. Hatuwez kufanana Mungu ametuumba hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…