Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
lakini tumezidiana mkuu kuna ambao wapo vizuri zaidiTuzo ya heshima ni kwa member wote wa JamiiForums
Kila member ana mchango wake kwa njia yake na ana umuhimu wake,
hatufanani.
Sababu hipi unampa tuzo mkuuTuzobiende kwa kiduku kilo mr Bill Lugano
awa wanamchango sana madini yao yanatusaidia sanaSmart911 kwa kushiriki kila thread.
Chief-Mkwawa kwa unguli wake wa maswala ya Teknolojia
Na Mohamed Said kwa unguli wa historia
Me nisipotajwa hata mara moja, najivua gambaaa[emoji23]Habari wana JF
Je, wewe member mwezangu unampa tuzo member gani ya heshima mwaka huu?
Toa na sababu itapendeza zaidi
Asante Mkuu kwa Kunithaminisha zaidi.Mimi binafsi nampa GENTAMYCINE
Tupo pamoja mkuuAsante Mkuu kwa Kunithaminisha zaidi.
Binafsi ninampendekeza johnthebaptistHabari wana JF
Je, wewe member mwezangu unampa tuzo member gani ya heshima mwaka huu?
Toa na sababu itapendeza zaidi
Shukran na Ubarikiwe pia Mkuu wangu.Tupo pamoja mkuu