holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Wanajamvi,
Sijajua hawa Bodi ya Ligi huwa wanatumia kigezo gani kumpata mchezaji bora wa msimu yaani MVP,
Ninachojua ni kuwa mchezaji akiwa na magoli mengi,au asist nyingi basi mchezaji huyo ana nafasi kubwa ya kuwa mchezaji bora wa msimu,au yule anayeimbwa sana na hawa wachambuzi hasa wa Azam,Clous fm, na vyombo vingine maarufu.
Wakuu, hivyo vigezo hapo juu havitoshi kumfanya mchezaji awe mchezaji bora wa msimu
Ila tuwashukuru bodi ya ligi msimu huu kwa kuleta tuzo mchezaji bora wa mchezo yaani "man of the match"
Tuzo hii ya mchezaji bora wa mchezo inaweza kusaidia kuainisha ni mchezaji gani anafaa kuwa mchezaji bora wa msimu yaani MVP, kwa kuangalia mchezaji yupi anazo tuzo ngapi za man of the match katika msimu,hivyo mwenye tuzo nyingi za MAN OF THE MATCH ndiye mshindi wa MVP wa msimu.
Wakuu, nyie mnasemaje?
Sijajua hawa Bodi ya Ligi huwa wanatumia kigezo gani kumpata mchezaji bora wa msimu yaani MVP,
Ninachojua ni kuwa mchezaji akiwa na magoli mengi,au asist nyingi basi mchezaji huyo ana nafasi kubwa ya kuwa mchezaji bora wa msimu,au yule anayeimbwa sana na hawa wachambuzi hasa wa Azam,Clous fm, na vyombo vingine maarufu.
Wakuu, hivyo vigezo hapo juu havitoshi kumfanya mchezaji awe mchezaji bora wa msimu
Ila tuwashukuru bodi ya ligi msimu huu kwa kuleta tuzo mchezaji bora wa mchezo yaani "man of the match"
Tuzo hii ya mchezaji bora wa mchezo inaweza kusaidia kuainisha ni mchezaji gani anafaa kuwa mchezaji bora wa msimu yaani MVP, kwa kuangalia mchezaji yupi anazo tuzo ngapi za man of the match katika msimu,hivyo mwenye tuzo nyingi za MAN OF THE MATCH ndiye mshindi wa MVP wa msimu.
Wakuu, nyie mnasemaje?