Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Ccm ni tatizo aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Domo anafanya rap?Tuzo za mchongo Domo anakosekanaje
Tuzo kaandaliwa kala JeremiahWasanii waliochaguliwa kuwania Tuzo ya Mwanamuziki Bora wa Hiphop wa Mwaka kwa upande wa Wasanii wa Kiume katika Tuzo za Muziki za Tanzania TMA2022 ni
Kala Jeremiah
Billnass
Countrywizzy
Fid Q
Joh Makin
Hakika wana Hip Hop tumedhalilishwa sana, tunazidi kudhalilishwa. Sikubaliani na uwepo wa baadhi ya Nominees. Hivi kweli wamekosekana rappers wa nguvu kiasi cha kuweka Kala Jeremia, Billnas na Countrywizzy?! Au kuna mtu ameandaliwa tuzo?