Tuzo ya uanaharakati bora aliyopewa Tundu Antipas Lissu Makamu Mwenyekiti CHADEMA imetoa jibu

Chama cha Uharakati uwa hakiogopwi na watawala kufikia hatua ya kuharibu uchaguzi .....
 
Tumeyasikia maoni yako,kwa hiyo mini ushauri wako.
Ni bora kipate usajili wa kuitwa Non Profit Organization na kiwe chini ya Taasisi ya kutetea Haki za Binadamu na kisiwe chini ya Sheria za Tume ya Uchaguzi Cz we tired on events politics. Hakuna Sera ya kitaifa ya Chama kutwa kukurupuka.
 
Ni bora kipate usajili wa kuitwa Non Profit Organization na kiwe chini ya Taasisi ya kutetea Haki za Binadamu na kisiwe chini ya Sheria za Tume ya Uchaguzi Cz we tired on events politics. Hakuna Sera ya kitaifa ya Chama kutwa kukurupuka.
Poleni sana,
Uoga unawafanya muweweseke.
Mmeiba uchaguzi bila ya aibu bado hamna amani.
Mna dola lakini hamjiamini kabisa mmejaa nyimbo za ki shetani.
 
Ni bora kipate usajili wa kuitwa Non Profit Organization na kiwe chini ya Taasisi ya kutetea Haki za Binadamu na kisiwe chini ya Sheria za Tume ya Uchaguzi Cz we tired on events politics. Hakuna Sera ya kitaifa ya Chama kutwa kukurupuka.
Ukiwa mwana CCM akili huwa zinahamia matakoni,? Nimeona hata mtu awe mwerevu vipi akiridi CCM tu akili huamia matakoni! Wewe ni mfano Wake.
 
Tundu Lissu siyo Chadema na Chadema siyo Tundu Lissu na wala chama hakikuandikishwa kwa jina la Tundu Lissu.
 
Nilimsikia Nyerere siku moja akisema "Katika harakati zetu za kudai uhuru wa nchi za kiafrika tuliunganisha nguvu na wenzetu wenye mrengo mmoja na sisi wa kupinga ukandamizaji wa kikoloni. Wenzetu hao ni wa kutoka Zambia chini ya uongozi wa Keneth Kaunda, Afrika kusini kwa ndugu na rafiki yangu Nelson na Msumbiji kwa Samora Machel".

Maswali:
1. Unakubaliana na hayo niliyo ya nukuu? Kama ndiyo, kwa nini?
2. Je, kuna harakati kwenye siasa?
3. Nini maana ya harakati katika siasa?
4. Je, Chama cha siasa kinaweka kuwa na wanaharakati ndani yake na wasio wana harakati?
5. Kazi ya wanaharakati ndani ya siasa ni ipi?
6. Kazi ya wasio wanaharakati ndani ya chama cha siasa ni ipi?
 
Kuna drama, propaganda, usanii, uharakati katika CHADEMA. CHADEMA siyo taasisi imara, ndo maana kila MTU ni mropokaji kwenye chama. Chama gn hakina Sera wala dira! Kwa ujumla wapinzani wa tz ni njaa tupu.
Niambie sera na dira ya CCM
 
Ni bora kipate usajili wa kuitwa Non Profit Organization na kiwe chini ya Taasisi ya kutetea Haki za Binadamu na kisiwe chini ya Sheria za Tume ya Uchaguzi Cz we tired on events politics. Hakuna Sera ya kitaifa ya Chama kutwa kukurupuka.
Mhalalisha haramu ni zaidi ya shetani,sitashangaa kuongea anavyojisikia,ukilipwa kusimamia uovu hakika utahsimamia vyema
 
Kwani wasiwasi wako ni nini? Lala mtoto. Ukikua utajua kilio cha Chadema na wapinzani kina maana gani. Sasa hivi unaruhusiwa kulala na kukoroma kabisa, akili bado changa. Wenye akili zilizokomaa ndio hao wanaona kama nchi hatupo sawa. Ukikua tutakuja kukusimulia kwamba kulikuwa na Azory, Mawazo, Saa Nane, Mwangosi, na wengine wengi.
 
Kuna drama, propaganda, usanii, uharakati katika CHADEMA. CHADEMA siyo taasisi imara, ndo maana kila MTU ni mropokaji kwenye chama. Chama gn hakina Sera wala dira! Kwa ujumla wapinzani wa tz ni njaa tupu.
Usipokuwa mnafiki utaona hats mifumo mingine iliyovurugika vibaya kabisa ila mama una malengo mahsusi utalenga kwenye malengo ili kupata matikeo tarajiwa.
 
Hivi hujui kuwa siasa ni harakati na harakati ni siasa? Usiwe kasuku
 
Hakuna mwanasiasa asiye mwanaharakati. Labda kama hujielewi na hujui unalolisema. Na hakuna mahali popote katika katiba yetu, palipo haramishwa uanaharakati/uanasiasa !!.

Tatizo la shule za kata ni pamoja na ufahamu mdogo
 
Hakuna mwanasiasa asiye mwanaharakati. Labda kama hujielewi na hujui unalolisema. Na hakuna mahali popote katika katiba yetu, palipo haramishwa uanaharakati/uanasiasa !!.

Tatizo la shule za kata ni pamoja na ufahamu mdogo

Wewe ndio utakuwa na elimu ya UPE, umejua kubofya sim ukadhani unajua.
Nahii ndio inafanya ccm iendelee kutawala milele.

NIKUSAIDI baada ya kukuonyesha ulivyo hujui.

CHAMA CHA SIASA NI MUUNGANIKO WA WATU WANAOTAFUTA KUSHIKA DOLA NA SERIKALI. Nahapa ndipo chadema ilipo potelea, waliacha majukumu ya kutafta kushika Dola na serikali wakaanza harakati.

Kama waliamua kuungana na wanaharakati basi wasingewaingiza kwenye chama! Wanaharakati wangeshambulia kivyao, na chadema wakapiga kivyao.

Nandio maana makamu wao kapewa tuzo ya mwanaharakati bora, nasiyo ya mwanasiasa bora.
 
Tajiri wa ujinga na upumbavu wa kiwango cha korosho.
Basi tuseme CCM na mshikamano na chama cha kikoministi cha China ni udikteta wa kikoministi uliokomaa.
 
Mada za wafuasi wa Zanzimana zinachekesha kweli , yaani waanzisha mada wa Lumumba IQ zao ni below zero .
 
Umezungumzia Ccm kuendelea kuongoza, si kwa sababu za sera wala kupendwa na wananchi. Bali ni kwa sababu vyombo vya dola na vya maamuzi ambavyo haviko neutral bali vinavyopokea maelekezo .

U communist wa Ccm wala si jambo la kujivunia. Kwa sababu hakuna taifa lolote ulimwenguni limewahi kutoka mrisi kupitia u communist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…