Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
Hahahaha! Muhenga anadai hashindani na mtu,koz mziki biashara,lkn hatuioni hiyo biashara zaid ya kupigwa gape kubwa na yule wa madale kwa kila kitu.Wewe Dada wa wapi .......Inshu kutengeneza mpunga mwingi kuzidi wengine,sio kuwepo muda mrefu,maana muda waliopo hao WAHENGA na muda alionao DIAMOND keshawaacha kwa mbali sana tena sana si kimuziki wala si kwa kipato.
Nyimbo anazotoa sasa hivi sizielwi! Japokuwa amedumu kitambo.Huwezi mfananisha jay dee na nao wasanii uchwara
Inshu sio kuwa kwenye game, Bali kudumu kwenye game
spend less, save more
Hahahaha! Kuwania tuzo 10 ni ushindi tosha,hata kama atakosa zote.Unaweza kuwania tuzo 10 usipate hata moja la muhimu kushikamana pamoja ili wote wapate hizo tuzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huyo muhenga anaesemwa kafanana na hiyo avatar yako?Muhenga[emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sent from my W8 using Tapatalk
Muhenga hana jipya! Afanye kazi ya ziada sana.aache kuvimba kichwa na kujiona much know kuliko wasanii wengine wa africaHahaha Muhenga
Alikiba ndo muhenga siku hizi! Mziki ulishamshinda kitambo.kabakia kuwa muhenga tu wa mzikiMUHENGA! who is he? Hapa bongo msanii namba1 ni Dangote au Simbaàaaaaaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app