Tuzo za AFRIMMA ni utopolo mkubwa siku hizi

Tuzo za AFRIMMA ni utopolo mkubwa siku hizi

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Hizi tuzo mwanzo zilikuwa na ushawishi sana kipindi hicho.

Kiasi kwamba ukichukua tuzo ya AFRIMMA ni heshima kubwa lakini kwa sasa baada ya wanaija kuona watu wamezipuuzia wakaanza kuvuta attention kwa kuwa nominate wasanii wetu utopolo wa East Africa.

Ili kurudisha hamasa ya kama mwanzo maana zilikuwa zimepotezewa mfano mzuri ni zuchu kuchukua tuzo ya msanii bora chipukizi mbele ya oxlade.

Inawezekana vipi?

Kama vipi huu Uzi uchongesheni na fremu kabisa.
 
Nilidhani ni mimi tu, kumbe hata wewe umegundua kuwa K-Vant ni hatari tupu.
 
Eti na Ali Kiba hajashinda tuzo ya mwanamziki bora, utafikiri hawajausikia Dodo na midiyoka. Hizo ndio zilikuwa nyimbo bora za kufungia mwaka.
 
nilitegemea kuona na kwa msanii bora e.africa ungepinga pia ila ndo hivyo umekosa sababu
 
nilitegemea kuona na kwa msanii bora e.africa ungepinga pia ila ndo hivyo umekosa sababu
Sasa East hapa kuna kumshinda nandy? Kwanza walikuwa wamejaza watu hovyo tu..

Ila kwa Africa nzima ni inatia mashaka
 
Best performer,...?
Best video.,..?
Ila wapiga kura ndo waamuzi wa yote na kwa miaka yote🚶🚶🚶
 
Hizi tuzo mwanzo zilikuwa na ushawishi sana kipindi hicho.

Kiasi kwamba ukichukua tuzo ya AFRIMMA ni heshima kubwa lakini kwa sasa baada ya wanaija kuona watu wamezipuuzia wakaanza kuvuta attention kwa kuwa nominate wasanii wetu utopolo wa East Africa.

Ili kurudisha hamasa ya kama mwanzo maana zilikuwa zimepotezewa mfano mzuri ni zuchu kuchukua tuzo ya msanii bora chipukizi mbele ya oxlade.

Inawezekana vipi?

Kama vipi huu Uzi uchongesheni na fremu kabisa.
Duuh
 
Back
Top Bottom