Tuzo za ligi kuu kutolewa siku ya ngao ya jamii

Tuzo za ligi kuu kutolewa siku ya ngao ya jamii

Headcorner

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
205
Reaction score
292
Shirikisho la soka nchini TFF limetangaza kuwa tuzo za TFF zitakuwa zinatolewa kwenye ngao ya janii


IMG-20240529-WA0030.jpg
 
Tuzo za Ligi kuu

TFF wametoa taarifa kwamba tuzo za Ligi kuu za msimu huu zitatolewa kwenye mchezo wa ngap ya jamii wa msimu ujao
Ninachokifiria mm ni itakuaje Kwa baadhi ya wachezaji wanapaswa kupokea tuzo hizo na wakawa hawapo Tena katika Ligi yetu?
Kwann tusijufunze Kwa Uingereza ambao wanatoa tuzo karibu zote siku chache kabla/baada ya mechi za mwisho? Kwan sisi inashindikana Nini?
Au ndo mpaka kamati ikae iamue ku-normalize tuzo 🙂😂
1716978168688.jpg
 
Tuzo za Ligi kuu

TFF wametoa taarifa kwamba tuzo za Ligi kuu za msimu huu zitatolewa kwenye mchezo wa ngap ya jamii wa msimu ujao
Ninachokifiria mm ni itakuaje Kwa baadhi ya wachezaji wanapaswa kupokea tuzo hizo na wakawa hawapo Tena katika Ligi yetu?
Kwann tusijufunze Kwa Uingereza ambao wanatoa tuzo karibu zote siku chache kabla/baada ya mechi za mwisho? Kwan sisi inashindikana Nini?
Au ndo mpaka kamati ikae iamue ku-normalize tuzo 🙂😂
View attachment 3002656
Nadhani wameshindwa kuamsha ubongo vizuri kwakuwa wachezaji wataondoka kwenda nje ama makwao wanapoteza maana halisi ya mchezaji bora .Swali fikirishi je TFF wanajua lengo la zawadi ya mchezaji bora wa mwezi ama msimu?
 
Hili linashangaza sana na ni uhuni wa makusudi kabisaa, maana TFF wameamua kuvunja hata kanuni yao wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho. Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa hawa jamaa wameamua tu kuivunja ili kuvuruga mambo kwa kuwa kuna wachezaji watakuwa wamepewa Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Coastal Union kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Haipendezi, haipendezi kabisaaa.
 
Hii halikubaliki, yani mchezaji Leo kawa kipa Bora wa Azam msimu ujao kahamia mtibwa sugar watasema kipa Bora ni Kutoka mtibwa au Azam?
 
Tuzo za Ligi kuu

TFF wametoa taarifa kwamba tuzo za Ligi kuu za msimu huu zitatolewa kwenye mchezo wa ngap ya jamii wa msimu ujao
Ninachokifiria mm ni itakuaje Kwa baadhi ya wachezaji wanapaswa kupokea tuzo hizo na wakawa hawapo Tena katika Ligi yetu?
Kwann tusijufunze Kwa Uingereza ambao wanatoa tuzo karibu zote siku chache kabla/baada ya mechi za mwisho? Kwan sisi inashindikana Nini?
Au ndo mpaka kamati ikae iamue ku-normalize tuzo 🙂😂
View attachment 3002656
Wajinga kweli TFF, hivi huwa wanaofikiria nini vilaza.
 
Leo naungana na wale ambao husema TFF ni watu wa hovyo. Msimu umeisha baada ya kazi tuzo mchezaji anataka apeleke kwa familia au avune alichopanda, halafu anapewa mwanzo wa msimu. Halafu kuna uhamisho wa wachezaji kibao tuu, sasa sijui watakuwa wanatambulishwa wanatokea timu zipi. Wazo la hovyoooo
 
Hili linashangaza sana na ni uhuni wa makusudi kabisaa, maana TFF wameamua kuvunja hata kanuni yao wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho. Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa hawa jamaa wameamua tu kuivunja ili kuvuruga mambo kwa kuwa kuna wachezaji watakuwa wamepewa Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Coastal Union kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Haipendezi, haipendezi kabisaaa.

Naendelea kusisitiza tff ni genge la wahuni waliojificha kwenye uongozi wa soka Tanzania Bara!

Screenshot_20240529_154722_Adobe Acrobat.jpg
 
Hili linashangaza sana na ni uhuni wa makusudi kabisaa, maana TFF wameamua kuvunja hata kanuni yao wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho. Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa hawa jamaa wameamua tu kuivunja ili kuvuruga mambo kwa kuwa kuna wachezaji watakuwa wamepewa Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Coastal Union kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Haipendezi, haipendezi kabisaaa.
Umesoma walichokiandika.?
 
Sasa mbona wanavunja Sheria walizo jiwekea wenyewe? Sasa ikitokea mchezaji anaepaswa kushinda tuzo ameuzwa kwenda ligi ya nchi nyingine na kipindi hicho akawa kwenye mashindano itakuaje? Watasema atakuepo muwakilishi wake lakini inaondoa msisimko wa tuzo kabisa
 
Umesoma walichokiandika.?
Nimesoma na nimeelewa vizuri sana ndiyo maana naona maajabu kwa kuwa hata kama walitaka kubadilisha wangebadilisha kanuni kabla hata ligi haijaanza ili watu waelewe wao wamesubiri hadi ligi iishe ndio wabadilishe ghafla. Shaka yangu kuna siku zitafanyika tuzo huku wahusika wengi wakiwa hawapo kupokea, hivyo sherehe haitanoga.
 
Kabisaaaaa
Sasa mbona wanavunja Sheria walizo jiwekea wenyewe? Sasa ikitokea mchezaji anaepaswa kushinda tuzo ameuzwa kwenda ligi ya nchi nyingine na kipindi hicho akawa kwenye mashindano itakuaje? Watasema atakuepo muwakilishi wake lakini inaondoa msisimko wa tuzo kabisa
 
Back
Top Bottom