Upo Sawa mkuu nashukuru Kwa mawazoBeki Bora nadhani bado Inonga anastahili coz kaibeba Sana Simba pamoja na Simba kusua sua msimu huu lakini still jamaa kaipambania Sana timu... Tazama ukuta wa Kati pale Simba hebu vuta picha Inonga hayupo nini kingemkumba mnyama?
Lakini Kwa Dickson Job pia alikua na msimu mzuri Ila hapa Kati ni kama alikuja kupotezwa na ubora wa Ibra Bacca kiasi kwamba Hadi Nasreddine Nabi akambadilisha nafasi sahivi ni full beki wa kulia so mi namkata maksi...
Pengine tupo pamoja
Bado ana nafasi ya kuendelea kufunga sababu time yake IPO bado katika mashindano hivyo tutegemee atachukuaSasa unawezaje kumuweka Warid Mzize kuwa mfungaji vora wakati amezidiwa magoli na Simchimba?
Safu ya ulinzi WA yanga Kwa SASA ya wazawa job,mwamnyeto,bacca na kibwana ukiendelea hivi yanga itakuwa imara Sana kwenye upande wa ulinzi.Beki Bora nadhani bado Inonga anastahili coz kaibeba Sana Simba pamoja na Simba kusua sua msimu huu lakini still jamaa kaipambania Sana timu... Tazama ukuta wa Kati pale Simba hebu vuta picha Inonga hayupo nini kingemkumba mnyama?
Lakini Kwa Dickson Job pia alikua na msimu mzuri Ila hapa Kati ni kama alikuja kupotezwa na ubora wa Ibra Bacca kiasi kwamba Hadi Nasreddine Nabi akambadilisha nafasi sahivi ni full beki wa kulia so mi namkata maksi...
Pengine tupo pamoja
Hapo Kwa kiungo Bora na beki Bora ni mahaba yamekuzidiMchezaji bora - F.K Mayele
Kipa bora - Djigie Diarra
Beki bora - Ibrahim Bacca/Djuma Shaban/Bakari Nondo Mwamnyeto
Kiungo bora - Stephane Aziz Ki/Khalid Aucho
Kocha bora - Le Proffeseri bin Nabi
Chipukizi - Clement Mzize
Mfungaji bora - FK Mayele
Goli bora - Bernad Morrison dhidi ya Kagera Sugar/Aziz Ki dhidi ya Kagera Sugar
Mchango wako umejaa maumivu hatari[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kigezo cha kua mchezaji Bora ni kufunga magoli mengi au ubora wa moja Kwa moja wa mchezaji husika Katika msimu...Bangi uliyovuta ni mbichi ungeiacha ikauke kwanza......
Huyu mayele unayempigia chapuo anafaa kuwa mfungaji bora kwasababu ana magoli mengi ila kazidiwa takwimu za jumla na Saido Ntibazonkiza hivyo kwenye kipengele cha uchezaji bora atuache kidogo,uchezaji bora sio kutingisha manyonyo tu
Naunga mkono hoja kasoro kwenye kiungo bora, binafsi nampendekeza Saidoo, namba zake hazidanganyi maana ana assist 12 na goals 10 hakuna kiungo yeyote mwenye hizo namba, tena amezitengeneza akianzia geitaKOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM...
Kipa Bora
Djigue Diarra - Yanga(anadeserve mdaka mishale wa jangwani)
Mfungaji Bora
Clement Mzize Yanga(dogo Yuko vizuri na bila Shaka msimu ujao atakuwa Moto zaidi endapo akiacha utoto uwanjani)
TUZO ZA LIGI KUU NBC
Mchezaji Bora
1:Fistoni Mayele - Yanga(amekuwa na muendelezo wa performance nzuri kutoka msimu ulioisha Hadi HIVI SASA)
2:Bruno Gomez - Singida BS(amekuja msimu huu lakini kafanya mambo makubwa pale singida )
3:Saido Ntibazokiza - Geita/Simba(Mimi ni yanga Ila saido amekuwa ni mchezaji mzuri Sana tangia alivyokuwa yanga,alivyoenda Geita na sasa Simba alipo)
4&5😀iarra na mzamiru sidhani kama wamefanya maajabu Sana hata ya kumzidi chama yakuwafanya wapewe hadhi yote hii japo wamepambana Kwa nafasi yao.
Kipa Bora
Djigui diarra-iko wazi inajulikana
Beki Bora
Job Dickson
Kiungo Bora
Chama-anadeserve kuichukua hii tuzo
Bruno-ikiwa chama wataona hawafai basi wampe huyu mbrazil
Aziz ki-bado Sana maana hata robo ya kiwango chake hajakionesha hivyo tumngojee msimu ujao.
Kocha bora-Professeur Nabi anadeserve
Meneja Bora wa uwanja
Nadhani Yule wa Highland estate anafaa na ilibidi apewe uwanja WA mkapa.
Chipukizi
Mzize
NAPOKEA CRITICISM
Mtazamo mzuri kiongoziNaunga mkono hoja kasoro kwenye kiungo bora, binafsi nampendekeza Saidoo, namba zake hazidanganyi maana ana assist 12 na goals 10 hakuna kiungo yeyote mwenye hizo namba, tena amezitengeneza akianzia geita