Tuzo Za Shirikisho La Mpira Wa Miguu Tanzania (TFF ) 2022/2023

Upo Sawa mkuu nashukuru Kwa mawazo
 
Sasa unawezaje kumuweka Warid Mzize kuwa mfungaji vora wakati amezidiwa magoli na Simchimba?
Bado ana nafasi ya kuendelea kufunga sababu time yake IPO bado katika mashindano hivyo tutegemee atachukua
 
Safu ya ulinzi WA yanga Kwa SASA ya wazawa job,mwamnyeto,bacca na kibwana ukiendelea hivi yanga itakuwa imara Sana kwenye upande wa ulinzi.
 
Hapo Kwa kiungo Bora na beki Bora ni mahaba yamekuzidi
 
Kwani kigezo cha kua mchezaji Bora ni kufunga magoli mengi au ubora wa moja Kwa moja wa mchezaji husika Katika msimu...
Kwa point yako hiyo ni ngumu Sana Kwa beki au kipa kua mchezaji Bora wa Msimu...
 
Naunga mkono hoja kasoro kwenye kiungo bora, binafsi nampendekeza Saidoo, namba zake hazidanganyi maana ana assist 12 na goals 10 hakuna kiungo yeyote mwenye hizo namba, tena amezitengeneza akianzia geita
 
Naunga mkono hoja kasoro kwenye kiungo bora, binafsi nampendekeza Saidoo, namba zake hazidanganyi maana ana assist 12 na goals 10 hakuna kiungo yeyote mwenye hizo namba, tena amezitengeneza akianzia geita
Mtazamo mzuri kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…