brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Kituo cha Sound city Africa kimetoa nomination za tuzo zao kwa wasanii waliofanya vizuri barani Africa mwaka 2018 huku wasanii nguli Wizkid, Davido, Diamond,Tiwa Savage wakiongoza kwa nominations
Kwa Tanzania wasanii Diamond , Navykenzo, harmonize,Vanessa mdee ,Maua Sama na Mboso wakichomoza na kung'aa
Diamond, Navykenzo na Harmonize wakiongoza kwa nominations nyingi zaidi
Diamond amepata nominations 6
Best male
Best POP
Best collaboration( jibebe)
Song of the year (African beauty)
Digital artist of year
Artist of the year
Navykenzo amepata nominations 5
Song of the year (katika)
Listerners choice (katika)
Best group
Best collaboration (katika)
Producer of the year( narreael)
Harmonize amepata nominations 3
Best male
Song of the year ( kwang'waru)
Listerners choice ( kwang'waru)
Vanessa Mdee amepata
Digital artist of year
Maua Sama amepata
Best female
Mbosso amepata
New artist of the year
Kwa Tanzania wasanii Diamond , Navykenzo, harmonize,Vanessa mdee ,Maua Sama na Mboso wakichomoza na kung'aa
Diamond, Navykenzo na Harmonize wakiongoza kwa nominations nyingi zaidi
Diamond amepata nominations 6
Best male
Best POP
Best collaboration( jibebe)
Song of the year (African beauty)
Digital artist of year
Artist of the year
Navykenzo amepata nominations 5
Song of the year (katika)
Listerners choice (katika)
Best group
Best collaboration (katika)
Producer of the year( narreael)
Harmonize amepata nominations 3
Best male
Song of the year ( kwang'waru)
Listerners choice ( kwang'waru)
Vanessa Mdee amepata
Digital artist of year
Maua Sama amepata
Best female
Mbosso amepata
New artist of the year