Tuzo za TFF - kiungo bora bila Khalid Aucho kuwepo ni kichekesho

Tuzo za TFF - kiungo bora bila Khalid Aucho kuwepo ni kichekesho

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Sijajua vigezo wanavyotumia TFF lakini hata kwa kipofu asiyetazama mpira na kusikiliza kwa Radio anajua kazi kubwa aliyoifanya Khalid Aucho, TFF inathubutuje kutomtaja katika orodha ya viungo bora?

Ushauri kwa TFF isilazimishe kubalance hizi tuzo ili kuweka usawa, Bali watumie uhalisia wa mambo na tuzo ziende kwa watu sahihi bila kujali timu walizotoka na idadi ya wachezaji waliopata tuzo kutoka timu fulani.Mfano, Kama viungo,mabeki,kipa bora wote wanatoka Simba basi wapewe tuzo zao bila kulazimisha kubalance ili timu zingine zipate.Wakifanya hivyo wanaondoa uhalisia na hawasaidii kukuza soka la Tanzania.
 
Siasa ikiondoka kwenye mpira na kuweka taaluma rasmi basi mpira wetu utafika mbali sanaaa
 
Sijajua vigezo wanavyotumia TFF lakini hata kwa kipofu asiyetazama mpira na kusikiliza kwa Radio anajua kazi kubwa aliyoifanya Khalid Aucho, TFF inathubutuje kutomtaja katika orodha ya viungo bora?

Ushauri kwa TFF isilazimishe kubalance hizi tuzo ili kuweka usawa, Bali watumie uhalisia wa mambo na tuzo ziende kwa watu sahihi bila kujali timu walizotoka na idadi ya wachezaji waliopata tuzo kutoka timu fulani.Mfano, Kama viungo,mabeki,kipa bora wote wanatoka Simba basi wapewe tuzo zao bila kulazimisha kubalance ili timu zingine zipate.Wakifanya hivyo wanaondoa uhalisia na hawasaidii kukuza soka la Tanzania.
Hamna kitu pale,wa kawaida sana msimpaishe waliopo wamemshinda kila kitu
 
Back
Top Bottom