Mukuu123
JF-Expert Member
- May 7, 2019
- 319
- 1,223
Unajua team bora ndio hutoa kikosi bora. Team ya Simba haijashinda kikombe chochote hata kikombe cha kahawa msimu huu halafu eti ndio team iliyoingiza wachezaji wengi kwenye kikosi bora, hii kabisa haingii akilini hata kidogo.
Ni tuzo zilizokosa credibility kabisa, unawezaje kutomuweka mtu kama Aucho pale kwenye kile kikosi ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana pale Yanga? Kama siyo kujuana ni nini?
Hzi tuzo kuna mtu mmoja alikaa home kwake, akatoa maelekezo, maana zinakosa uhalisia.
Ni tuzo zilizokosa credibility kabisa, unawezaje kutomuweka mtu kama Aucho pale kwenye kile kikosi ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana pale Yanga? Kama siyo kujuana ni nini?
Hzi tuzo kuna mtu mmoja alikaa home kwake, akatoa maelekezo, maana zinakosa uhalisia.