Tuzo za TMA chini ya Mwana FA zimezidi kuwa za hovyo

Tuzo za TMA chini ya Mwana FA zimezidi kuwa za hovyo

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Wengine walitegemea baada ya kupata waziri anaetokea kwenye muziki basi kuna mambo walau tutaanza kupiga hatua.

Kinyume chake tunazidi kudidimia, Mwana FA kashindwa kusimamia tuzo. Ni vurugu hazieleweki.

Ni heri muwape agency wazisimamie wapeni hata benchmark. FA na timu yako mnatia aibu.
 
Wengine walitegemea baada ya kupata waziri anaetokea kwenye muziki basi kuna mambo walau tutaanza kupiga hatua.

Kinyume chake tunazidi kudidimia, Mwana FA kashindwa kusimamia tuzo. Ni vurugu hazieleweki.

Ni heri muwape agency wazisimamie wapeni hata benchmark. FA na timu yako mnatia aibu.
Kisa bosi wako hayupo kwa list au?
 
Back
Top Bottom