sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #21
Basi tu roho mbaya na wivu.Kwahiyo mimi namchukia Diamond? Kwa lipi hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tu roho mbaya na wivu.Kwahiyo mimi namchukia Diamond? Kwa lipi hasa?
Msanii bora wa kiume wamtoe makabila wamweke dogo Jay Melody , kwenye msanii bora wa hip hop wamtoe Kala wamweke Stamina.
Hayupo dogo.Naona makelele ila sijaangalia list.. Msanii bora wa kiume hawajamuweka jay melody 😳😳😳
Pia wimbo wa Naogopa wa marioo na konde haupo kwenye wimbo bora wa mwaka 😂Hayupo dogo.
Huwezi ridhisha kila mtu ila ukisimamia quality unawafunga watu midomo. Sidhani kama kuna tuzo za hivyo kama hizi zetu.huwezi kumridhisha kila mtu, na huwezi kumpa award kila mwanamuziki/prodyuza
kila musician analalamika hayupo kwenye tuzo
mwana FA mwenyewe alijitoa TMA(zamani Kili MA) miaka ya 2009 na wengineo, na hapo ni kitambo
Kwa sababu Diamond hayupo. Vipi umefurahi??Uhovyo wa tuzo unakuja wapi??
Andika kitu cha kueleweka sio mihemko tu, leta hoja kwanini unasema tuzo ni za hovyo.
Nikajua unatoa ufafanuzi kwenye comments badala yake unaleta kejeli na matusi tu.
Ona akili ya huyu jamaa sasa, si ufafanue kinaga ubaga.Kwa sababu Diamond hayupo. Vipi umefurahi??
Sijazion list ya nyimbo bora za mwaka,nimeziona category 2.Pia wimbo wa Naogopa wa marioo na konde haupo kwenye wimbo bora wa mwaka 😂
Kuna namna
Pumbavu zakoBasi tu roho mbaya na wivu.
Yawezekana hajataka kushiriki.. ndo maana hakujaza fomuuMsanii bora wa kiume wamtoe makabila wamweke dogo Jay Melody , kwenye msanii bora wa hip hop wamtoe Kala wamweke Stamina.
Jay Melody mbona kwenye Category ya nyimbo bora nyimbo yake ipo? Hapo unasemaje ww?Kama
Yawezekana hajataka kushiriki.. ndo maana hakujaza fomuu
Sijazion list ya nyimbo bora za mwaka,nimeziona category 2.
Unajua nini kijana jitahidi kuwa na uwasilishwaji mzuri wa mada zako hapa sio kila mtu anajua kuna Tuzo zinaenda kufanyika Cha kwanza ulitakiwa ufanye ni kuleta hizo categories za nominees za hizo Tuzo kisha onesha wapi unaona hizi Tuzo zinamapungufu au mahala wapi waandaji wameyumba hivyo inakuwa rahisi kueleweka kuliko namna ulivyowasilisha ndio maana sometime unapokea criticisms. Mimi binafsi wamenishangaza wimbo Bora wa mwaka wa Rayvanny wameuweka Mwamba wakati kiuwalisia ilitakiwa iwe "nitongoze" ndio ulikuwa hitsong ya Rayvanny au mnasemaje Eyce na joseph1989 ? Pia jaymelody awe kwenye category ya mwanamziki Bora ametoa hit mbili Kali Sana "Nakupenda" na wingine nimeusahau jina alistahili uwepo kwenye hiyo categoryWengine walitegemea baada ya kupata waziri anaetokea kwenye muziki basi kuna mambo walau tutaanza kupiga hatua.
Kinyume chake tunazidi kudidimia, Mwana FA kashindwa kusimamia tuzo. Ni vurugu hazieleweki.
Ni heri muwape agency wazisimamie wapeni hata benchmark. FA na timu yako mnatia aibu.
Wewe kiande usinipangie niandike vipi, nitafanya vile nataka. Andika wewe unavyoona sawa.Unajua nini kijana jitahidi kuwa na uwasilishwaji mzuri wa mada zako hapa sio kila mtu anajua kuna Tuzo zinaenda kufanyika Cha kwanza ulitakiwa ufanye ni kuleta hizo categories za nominees za hizo Tuzo kisha onesha wapi unaona hizi Tuzo zinamapungufu au mahala wapi waandaji wameyumba hivyo inakuwa rahisi kueleweka kuliko namna ulivyowasilisha ndio maana sometime unapokea criticisms. Mimi binafsi wamenishangaza wimbo Bora wa mwaka wa Rayvanny wameuweka Mwamba wakati kiuwalisia ilitakiwa iwe "nitongoze" ndio ulikuwa hitsong ya Rayvanny au mnasemaje Eyce na joseph1989 ? Pia jaymelody awe kwenye category ya mwanamziki Bora ametoa hit mbili Kali Sana "Nakupenda" na wingine nimeusahau jina alistahili uwepo kwenye hiyo category
Duuu stamina tenaMsanii bora wa kiume wamtoe makabila wamweke dogo Jay Melody , kwenye msanii bora wa hip hop wamtoe Kala wamweke Stamina.