Toria
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 1,177
- 699
Hata mimi nimeshangaa sana kama wewe
Kinachokushangaza ni kipi mkuu?
Tatizo la hizi redio mnazozipigia debe zimebweteka hawajiongezi hataaa wakati everyday and then redio mpya zinaibuka na wanaxplore tricks za kila aina za kuburudisha besides burudani ya mwaka wa 70 sio burudani ya mwaka 2014