Tuzuie vifo vitokanavyo na wivu wa mapenzi

Tuzuie vifo vitokanavyo na wivu wa mapenzi

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Kumekuwepo na visa vingi vya watu kujiua kutokana na wivu wa mapenzi.Hili huwa linaniuma sana hasa inapotokea mwanamke amejiua kwa sababu mume amechepuka

Kwanza tujue chanzo nini nini mwanaume kuchepuka kwanza kabisa ijulikana kuwa wanaume ni wadhaifu sana kwa wanawake.Kwa asili mwanaume ana tamaa za karibu sana.mwanaume kuwaka tamaa ni kitendo cha sekunde moja tu ikiwa mwanaume ataona umbo au sehemu yoyote ya mwanamke inayoweza kumtamanisha mfano makalio makubwa,matiti,mapaja.mwanaume anaitaji kuona na siyo kusikia .Hivyo shida ya wanaume ni macho.

Mfalme Daudi aliponzwa na macho yake baada ya kumuona mke wa Uria akiwa anaoga .Ndiyo maana makanisa mengi na misikitini yanasisitiza wanawake kuvaa nguo za kustili miili ili wasioneshe sehemu za miili yao inayoweza kuwasababisha wanaume kuwaka tamaa.Tofauti kabisa na wanawake ,wao tamaa ziko kwenye masikio ,kushikwa au zawadi.ukitaka kumnasa mwanamke mwambie maneno mazuri ya kumsifia ,mshike sehemu fulani za mwili wake au mletee zawadi.

Mwanaume hawezi kukaa zaidi ya wiki mbili bila kufanya mapenzi labda awe na kizuizi mfano sheria na amri za Mungu ,awe na maadili mema au kujilinda. Kwa asili mke mmoja hatosherezi kwa mwanaume labda mwanaume huyo awe na sheria au amri za Mungu zinazomkaza kuacha uzinzi etc hii nikutoka na biologia namna walivyoumbwa.Yani mwanaume ni Dume la mbegu.

Shida nyengine ya wanaume ni kwamba hawana upendo wa dhati unaoweza kumzuia asichepuke.Ndiyo maana Kwenye Biblia,Mungu ametoa amri kuwa .......wapendeni wake zenu." ina maana hapa Mungu aliona kuwa wanaume hawana upendo kwa wake zao.Moyo wa mwanaume una vyumba vingi vya ku accomodate wake wengi.Moyo wa mwamke una chumba kimoja cha kumweka ndani mwanaume mmoja tu.Ukisikia mke au mpenzi wako kafanya mapenzi na mume mwengine kwa maana ya mapenzi ,jua kabisa wewe kashakutoa kwenye chumba cha moyo wake.ndiyo maana Hata Yesu ( Issa bin Mariam ) aliruhusu kumpa taraka mwanamke wa namna hii.

Shida nyengine ni kuwa mwanaume hana uwezo wa kukumbuka kuwa mke wake ni mzuri kukiko wanawake wengine anaokutana nao mitani kwa wakati huo.Yani kinachopita mbele yake kwa wakati huo ndicho anakiona ni bora zaidi.Kwamba anaweza kuvuta sura ya mke wake akiwa mbali naye na hili hii ikamletea kumtamani ,hili haliwezekani kabisaa.Ni mpaka atakaporudi nyumbani akamuona mkewe .Hii ni shida sana kwa wenye ndoa au waliyoko kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Sasa nitoe ushauri ufuatao

1.Kama umehisi mumeo ana michepuko ,hilo lisikupe shida ndiyo asili yawanaume

2.Kama ana michepuko na hajakuoa nakishauri uachane naye mapema kabisa ikiwa hutaweza kuvumilia ndoa ya wake wengi

3.Kama umeolewa ,na mume anapenda michepuko lakini hakupigi ,anakutunza wewe na watoto wako nakushauri uone kuwa ni kawaida ya wanaume kuwa na michepuko maana mke mmoja hatoshi kwa mwanaume asiyekuwa na sheria za Mungu moyoni mwake.Kama uwezi kuvumilia ,acha kuwa na maamzi ya kufanya mabaya mpaka kujiua.

Unajiua kwa sababu ya mwanaume kuchepuka au kukuacha? hapana usifanye hivyo.Daima jua kuwa wanaume ni wadhaifu sana kwa wanawake.Hawana Imani ya kumzidi mfalme Daudi aliyezini na mke wa Uria.

Mwanaume Linda moyo wako,linda macho yako ,mche mola wako ,mpende mke wako .jali familia yako!!!
 
Mbona mada yako imeegemea upande mmoja tu wa kuwafunza wanawake jinsi ya Kujinusuru na Vifo vitokanavyo na wivu wa kimapenzi. Ili hali sisi Wanaume ndo Tunaongoza kwakufanya matukio mengi ya mauaji kisa wivu huo huo wa Mapenzi?
 
Kama huwezi kujenga daraja,,basi jifunze kuogelea
 
Kumekuwepo na visa vingi vya watu kujiua kutokana na wivu wa mapenzi.Hili huwa linaniuma sana hasa inapotokea mwanamke amejiua kwa sababu mume amechepuka

kwanza tujue chanzo nini nini mwanaume kuchepuka
kwanza kabisa ijulikana kuwa wanaume ni wadhaifu sana kwa wanawake.Kwa asili mwanaume ana tamaa za karibu sana.mwanaume kuwaka tamaa ni kitendo cha sekunde moja tu ikiwa mwanaume ataona umbo au sehemu yoyote ya mwanamke inayoweza kumtamanisha mfano makalio makubwa,matiti,mapaja.mwanaume anaitaji kuona na siyo kusikia .Hivyo shida ya wanaume ni macho.Mfalme Daudi aliponzwa na macho yake baada ya kumuona mke wa Uria akiwa anaoga .Ndiyo maana makanisa mengi na misikitini yanasisitiza wanawake kuvaa nguo za kustili miili ili wasioneshe sehemu za miili yao inayoweza kuwasababisha wanaume kuwaka tamaa.Tofauti kabisa na wanawake ,wao tamaa ziko kwenye masikio ,kushikwa au zawadi.ukitaka kumnasa mwanamke mwambie maneno mazuri ya kumsifia ,mshike sehemu fulani za mwili wake au mletee zawadi.

mwanaume hawezi kukaa zaidi ya wiki mbili bila kufanya mapenzi labda awe na kizuizi mfano sheria na amri za Mungu ,awe na maadili mema au kujilinda.Kwa asili mke mmoja hatosherezi kwa mwanaume labda mwanaume huyo awe na sheria au amri za Mungu zinazomkaza kuacha uzinzi etc hii nikutoka na biologia namna walivyoumbwa.Yani mwanaume ni Dume la mbegu.

Shida nyengine ya wanaume ni kwamba hawana upendo wa dhati unaoweza kumzuia asichepuke.Ndiyo maana Kwenye Biblia,Mungu ametoa amri kuwa .......wapendeni wake zenu." ina maana hapa Mungu aliona kuwa wanaume hawana upendo kwa wake zao.Moyo wa mwanaume una vyumba vingi vya ku accomodate wake wengi.Moyo wa mwamke una chumba kimoja cha kumweka ndani mwanaume mmoja tu.Ukisikia mke au mpenzi wako kafanya mapenzi na mume mwengine kwa maana ya mapenzi ,jua kabisa wewe kashakutoa kwenye chumba cha moyo wake.ndiyo maana Hata Yesu ( Issa bin Mariam ) aliruhusu kumpa taraka mwanamke wa namna hii.

shida nyengine ni kuwa mwanaume hana uwezo wa kukumbuka kuwa mke wake ni mzuri kukiko wanawake wengine anaokutana nao mitani kwa wakati huo.Yani kinachopita mbele yake kwa wakati huo ndicho anakiona ni bora zaidi.Kwamba anaweza kuvuta sura ya mke wake akiwa mbali naye na hili hii ikamletea kumtamani ,hili haliwezekani kabisaa.Ni mpaka atakaporudi nyumbani akamuona mkewe .Hii ni shida sana kwa wenye ndoa au waliyoko kwenye mahusiano ya kimapenzi.

sasa nitoe ushauri ufuatao

1.kama umehisi mumeo ana michepuko ,hilo lisikupe shida.ndiyo asili yawanaume

2.kama ana michepuko na hajakuoa nakishauri uachane naye mapema kabisa ikiwa hutaweza kuvumilia ndoa ya wake wengi

3.kama umeolewa ,na mume anapenda michepuko lakini hakupigi ,anakutunza wewe na watoto wako nakushauri uone kuwa ni kawaida ya wanaume kuwa na michepuko maana mke mmoja hatoshi kwa mwanaume asiyekuwa na sheria za Mungu moyoni mwake.Kama uwezi kuvumilia ,acha kuwa na maamzi ya kufanya mabaya mpaka kujiua.

unajiua kwa sababu ya mwanaume kuchepuka au kukuacha? hapana usifanye hivyo.Daima jua kuwa wanaume ni wadhaifu sana kwa wanawake.Hawana Imani ya kumzidi mfalme Daudi aliyezini na mke wa Uria.

mwanaume Linda moyo wako,linda macho yako ,mche mola wako ,mpende mke wako .jali familia yako!!!
ONGEZEA NYAMA, MADA BADO HAIJAKAMILIKA
 
Tuachane na wale wahuni wanaokuwa katika mahusiano kabla ya ndoa.. hawa tuwaeke pembeni.. wale waliokuwepo kwenye ndoa.. kama umeamua kuoa au kuolewa ina maana umekuwa kifra,kimwili na kila kitu kwa hivyo cha kufanya ni kutulia na waume zenu kwa wanawake na wanaume kutulia na na wake zenu.. kinachochowawasha washa nini? Hamtulii kwa waume au wake zenu.. hawa wahuni tuachane nao ambao hawajaoa wala kuolewa maana hao ndio tatzo kubwa
 
MWANAMKE MPUMBAVU HUPIGA KELELE.

Kabla hatujatafuta mchawi wa mahusiano yetu, tunapaswa kujichunguza sisi wenyewe kwanza tupo sawa au tuna shida mahali ila hatujui kama hilo ndilo linatufanya tushindwe kuwa na amani kwenye mahusiano yetu.

Ukiwa kama binti, unaweza usiwe na tabia zingine mbovu unazojua wewe kama vile zinaa ila ukawa na kitu hichi, "kelele/makelele" unashangaa kila baada ya muda fulani mahusiano yako ya urafiki/uchumba yakikaa huwa yanavunjika.

Unaweza ukapata bahati ya kuambiwa shida yako na aliyekuacha, baada ya kukuonya mara nyingi huko nyuma, ama unaweza kuachwa kimya kimya bila kuambiwa shida yako ni nini.

Ukiwa kama mke, unaweza kuharibu ndoa yako kwa sababu hii, "kelele/makelele" kwa mume wako. Hasa ukiwa umeolewa na mwanaume ambaye hajasimama vizuri kwenye imani, na ambaye hajaokoka.

Ni rahisi sana mwanaume kuchoshwa na mke mwenye makelele/kelele, na kutoka nje ya ndoa yake. Sio njia ya kumaliza tatizo ila kwa mwanaume ambaye hajaokoka kwake haiwezi kuwa tabu kufanya hivyo.

Tunaweza kulalamika sana kuhusu waume zetu wanaochelewa sana kurudi nyumbani ila ukweli ni kwamba, kelele zetu ndio zinawafanya waume zetu waone ni heri kuchelewa nyumbani, kuliko kuwahi nyumbani ukakutana na kelele zisizo na mwisho.

Japo kuchelewa nyumbani hakuwezi kuondoa tatizo, wanaume wengi huona njia hiyo inawasaidia wao kuepuka kelele za wake zao. Sasa huko nje huwezi kujua huyu mwanaume anashindia wapi.

Ndio maana wanawake wengi huanza kuhisi vibaya waume zao, kwa kuwaambia wana wanawake wengine nje. Si unajua kusingiziwa kila siku kitu ambacho hukifanyagi huwa inauma na mtu mwingine inaweza kumwathiri. Na kuamua kufanya kweli, hasa kwa yule asiye na hofu ya Mungu ndani yake.

Kelele zisizoisha ndani ya ndoa zinaweza kuharibu kabisa ndoa ile, wawili hawa wanaweza kuonekana kwa nje wapo pamoja ila ukweli humo ndani hawapo pamoja.

Hebu tuangalie maandiko matakatifu yanasemaje kuhusu hili, huenda umepata ukakasi wa hili fundisho kutokana na kichwa cha somo hapo juu.

Rejea: Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.MIT. 9:13 SUV.

Mwanamke yeyote anayepiga sana kelele ni mpumbavu, na ni Mjinga, yaani ana sifa zote mbili, ya upumbavu na ya ujinga. Tena andiko likaongeza mkazo zaidi, HAJUI KITU.

Kwa lugha nyingine mwanamke wa namna hii, huwa mjuaji sana, kila kitu yeye anajua, yupo juu kwa kila kitu, kujishusha kwake ni hakuna. Mume wake hakuna anachoweza kuzungumza akaeleweka, yeye ni anachojua sana ni kelele.

Wanawake wa namna hii, huwa wanakimbilia wapewe haki SAWA, yaani 50 kwa 50, si unakumbuka ni kwa sababu HAWAJUI KITU! Ni andiko limesema hivyo, wanaojua kitu hawezi kupigizana hizo kelele.

Rejea: Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.1 KOR. 11:3 SUV.

Kichwa cha mwanamke ni mwanaume, na sio kichwa cha mwanaume ni mwanamke... huu sio ukabila. Maana kuna watu hawachelewi kusema huo ni ukabila/utamaduni wa watu fulani, hili ni andiko ndani ya Biblia.

Wanawake mtaponya ndoa zenu wenyewe, acheni kelele ndani ya nyumba zenu, ndoa inajengwa kwa hekima ya kiMungu iliyo ndani yako. Si kwa kelele zako ndani ya nyumba.

Rejea: Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. MIT.14:1 SUV.

Wasiosikia, endeleeni kuzibomoa ndoa zenu wenyewe huku mkilalamikia wanaume, utasema wewe hujui tu ninayoyapata, kwani wakati unaolewa naye hukujua hayo. Si hadi kuna watu walikuja kukunasua ukaona wanakufuatilia maisha yako! Basi tulia, acha kelele.

Tena tabia yake mbaya ulikuwa unaiona kwake ukasema Mungu atambadilisha akiwa ndani ya ndoa, kwa hiyo Mungu ameshindwa hiyo kazi? Jibu ni kwamba, ujuaji wako, upumbavu wako, Ujinga wako, na kutokujua kwako ndio kulikuingiza kwenye mahusiano yasiyo yako. Acha kelele.

Turejee kwa Mungu.
Samson Ernest.
+255759808081.
 
Kauli chafu ndio chanzo cha vifo vya wanawake wengi kwenye ndoa.
 
Nimeona waziri wa Polisi Bwana Masauni amesema kati ya mambo yanayomnyima usingizi kwa sasa ni mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi pamoja na Polisi wachache wanaoharibu image ya jeshi la Polisi.

Dawa ya kuepuka mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi ni kutoa elimu ya mahusiano na kuwaeleza watu kuachana ni sawa tu pale inapobidi na maisha yataendelea salama.
 
Kumekuwepo na visa vingi vya watu kujiua kutokana na wivu wa mapenzi.Hili huwa linaniuma sana hasa inapotokea mwanamke amejiua kwa sababu mume amechepuka

Kwanza tujue chanzo nini nini mwanaume kuchepuka kwanza kabisa ijulikana kuwa wanaume ni wadhaifu sana kwa wanawake.Kwa asili mwanaume ana tamaa za karibu sana.mwanaume kuwaka tamaa ni kitendo cha sekunde moja tu ikiwa mwanaume ataona umbo au sehemu yoyote ya mwanamke inayoweza kumtamanisha mfano makalio makubwa,matiti,mapaja.mwanaume anaitaji kuona na siyo kusikia .Hivyo shida ya wanaume ni macho.

Mfalme Daudi aliponzwa na macho yake baada ya kumuona mke wa Uria akiwa anaoga .Ndiyo maana makanisa mengi na misikitini yanasisitiza wanawake kuvaa nguo za kustili miili ili wasioneshe sehemu za miili yao inayoweza kuwasababisha wanaume kuwaka tamaa.Tofauti kabisa na wanawake ,wao tamaa ziko kwenye masikio ,kushikwa au zawadi.ukitaka kumnasa mwanamke mwambie maneno mazuri ya kumsifia ,mshike sehemu fulani za mwili wake au mletee zawadi.

Mwanaume hawezi kukaa zaidi ya wiki mbili bila kufanya mapenzi labda awe na kizuizi mfano sheria na amri za Mungu ,awe na maadili mema au kujilinda. Kwa asili mke mmoja hatosherezi kwa mwanaume labda mwanaume huyo awe na sheria au amri za Mungu zinazomkaza kuacha uzinzi etc hii nikutoka na biologia namna walivyoumbwa.Yani mwanaume ni Dume la mbegu.

Shida nyengine ya wanaume ni kwamba hawana upendo wa dhati unaoweza kumzuia asichepuke.Ndiyo maana Kwenye Biblia,Mungu ametoa amri kuwa .......wapendeni wake zenu." ina maana hapa Mungu aliona kuwa wanaume hawana upendo kwa wake zao.Moyo wa mwanaume una vyumba vingi vya ku accomodate wake wengi.Moyo wa mwamke una chumba kimoja cha kumweka ndani mwanaume mmoja tu.Ukisikia mke au mpenzi wako kafanya mapenzi na mume mwengine kwa maana ya mapenzi ,jua kabisa wewe kashakutoa kwenye chumba cha moyo wake.ndiyo maana Hata Yesu ( Issa bin Mariam ) aliruhusu kumpa taraka mwanamke wa namna hii.

Shida nyengine ni kuwa mwanaume hana uwezo wa kukumbuka kuwa mke wake ni mzuri kukiko wanawake wengine anaokutana nao mitani kwa wakati huo.Yani kinachopita mbele yake kwa wakati huo ndicho anakiona ni bora zaidi.Kwamba anaweza kuvuta sura ya mke wake akiwa mbali naye na hili hii ikamletea kumtamani ,hili haliwezekani kabisaa.Ni mpaka atakaporudi nyumbani akamuona mkewe .Hii ni shida sana kwa wenye ndoa au waliyoko kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Sasa nitoe ushauri ufuatao

1.Kama umehisi mumeo ana michepuko ,hilo lisikupe shida ndiyo asili yawanaume

2.Kama ana michepuko na hajakuoa nakishauri uachane naye mapema kabisa ikiwa hutaweza kuvumilia ndoa ya wake wengi

3.Kama umeolewa ,na mume anapenda michepuko lakini hakupigi ,anakutunza wewe na watoto wako nakushauri uone kuwa ni kawaida ya wanaume kuwa na michepuko maana mke mmoja hatoshi kwa mwanaume asiyekuwa na sheria za Mungu moyoni mwake.Kama uwezi kuvumilia ,acha kuwa na maamzi ya kufanya mabaya mpaka kujiua.

Unajiua kwa sababu ya mwanaume kuchepuka au kukuacha? hapana usifanye hivyo.Daima jua kuwa wanaume ni wadhaifu sana kwa wanawake.Hawana Imani ya kumzidi mfalme Daudi aliyezini na mke wa Uria.

Mwanaume Linda moyo wako,linda macho yako ,mche mola wako ,mpende mke wako .jali familia yako!!!
Wewe unafanya hivi , amini nakwambia uzinzi na uasherati ni kitu kizito kinachotesa roho zetu kuanzia wachungaji na mashee mpaka wanao baleee sijui tufanyaje
 
Ili kuepuka hivi vifo wanaume mjifunze kujikaza, mioyo ya wanawake wa siku hizi ina vyumba vingi vya kutosha kukuweka wewe na mume mwenzio....almuhimu ikipelekwa nje haiachwi huko huko...ikirudi we ipelekee Moto.🔥
Cha peke yako kaburi tu, vilobaki duniani kushare ni lazima, utake usitake....na wakikugongea wa kwako na wewe tafuta mnyonge umgongee🤣....
 
Back
Top Bottom