Tuzungumze kifamilia:- Kwanini wageni uwape kipaumbele kuliko familia yako?

Tuzungumze kifamilia:- Kwanini wageni uwape kipaumbele kuliko familia yako?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Hii sio Kwa matajiri au maskini. Karibia ipo sehemu zote vijijini na mjini.

Unakuta Kuna vyombo eti wametunziwa wageni!!

Mbaya zaidi wageni hao wakija watakula vizuri kuliko wenyeji.

Kama itachinjwa kuku basi kuku ataishia Kwa wageni na. Ninyi wenyeji mtaambuia miguu na shingo!!

Shida kubwa nipale wageni wataenda kula na mtu mmoja mwenyeji na mliobaki si Hana mkaishia kula dagaa kuku akiwa na wageni.

Hata ikitokea umechinja mbuzi ni sawa lkn rosti za maini nk zitapelekwa kwa wageni!!

Wewe dada uliyeolewa unashindwa kumpa kipaumbele kumtengea kwenye vyombo vyipya vizuri wewe unawatunzia wageni?

Nani wa muhimu kati ya wageni na Mme wako ama familia yako?

Mimi kwangu Niko tofauti kidogo wee njoo tu tutakula wote kwenye meza Moja ushibe au usishibe ukaniseme huko utajua mwenyewe.

Hii ya kuwafanya Watoto wajisikie kama wametengwa kwenye msosi kisa mgeni hapana Kwakweli.

Mdau hii kwako imekaaje?
 
Mim ukarimu ninaoufanya ni kwenye chakula na si kwamba sipiki mpaka wagen la hasha ila wagen wakija kidogo unaonyesha utofaut kidogo wanaita funika kombe mwanaharam apite
Kwenye vyombo kwakwel sina Cha wagen Wala mwenyeji natumia mda wote na wakat wowote maana nimenunua Kwa matumizi yangu ndan kwangu sio Kwa ajil ya watu
 
Mim ukarimu ninaoufanya ni kwenye chakula na si kwamba sipiki mpaka wagen la hasha ila wagen wakija kidogo unaonyesha utofaut kidogo wanaita funika kombe mwanaharam apite
Kwenye vyombo kwakwel sina Cha wagen Wala mwenyeji natumia mda wote na wakat wowote maana nimenunua Kwa matumizi yangu ndan kwangu sio Kwa ajil ya watu
kwenye kulala?
 
Kwenye vyombo,kwangu tunatumia vyote kasoro sufuria,kuna hizo sufuria nazipenda na huwa hagusi mtu zaidi yangu na mgeni atakaye jitolea kuandaa chakula!!!🤗🤗🤗🤗
 
Sidhani kama Kuna vyombo vya wageni Ila mazoea yetu ndo yanapelekea vyombo kutunzwa na kutumika inapobidi

Unakuta watoto au baba akishika glass anadondosha Tena ni ile frequently unafikiri wamama wanapenda kuona vyombo vyao vinaharibika ?

Nyumbn tuna vikombe, sahani za udongo zina 25yrs na zinatumika Ila sio mara kwa mara japo baada ya kuanza kukua ndo tukawa tunatumia
 
Hii sio Kwa matajiri au maskini. Karibia ipo sehemu zote vijijini na mjini.

Unakuta Kuna vyombo eti wametunziwa wageni!!

Mbaya zaidi wageni hao wakija watakula vizuri kuliko wenyeji.

Kama itachinjwa kuku basi kuku ataishia Kwa wageni na. Ninyi wenyeji mtaambuia miguu na shingo!!

Shida kubwa nipale wageni wataenda kula na mtu mmoja mwenyeji na mliobaki si Hana mkaishia kula dagaa kuku akiwa na wageni.

Hata ikitokea umechinja mbuzi ni sawa lkn lost za maini nk zitapelekwa Kwa wageni!!


Wewe dada uliyeolewa unashindwa kumpa kipaumbele kumtengea kwenye vyombo vyipya vizuri wewe unawatunzia wageni?


Nani wa muhimu kati ya wageni na Mme wako ama familia yako?


Mimi kwangu Niko tofauti kidogo wee njoo tu tutakula wote kwenye meza Moja ushibe au usishibe ukaniseme huko utajua mwenyewe.

Hii ya kuwafanya Watoto wajisikie kama wametengwa kwenye msosi kisa mgeni hapana Kwakweli.



Mdau hii kwako imekaaje?
Familia lisilojua kukirimu wageni ni familia la hovyo hovyo! Hii ni tangu enzi za mabavu iko hivyo! Kuiga uzungu ndiko kunawaharibu!
 
Ila pia mimi mambo ya kuweka vyombo eti hivi vya wageni haipo hiyo natumia vyote, wageni wenyewe wako wapi na jua lote hili kila mtu anapambana na hali yake
Wageni hamna Tena maana bibi zetu na babu wa miaka ya 20 hadi 40 wame/wanakufa na ndio walikuwa mabingwa wa kuunganisha familia.
Wazazi wengi wa miaka ya 60 kuja huku hawawezi. Na Hawa wa miaka ya 2000 ndio vituko kabisa watakuwa.
Screenshot_20250303-164346.png
 
Hii sio Kwa matajiri au maskini. Karibia ipo sehemu zote vijijini na mjini.

Unakuta Kuna vyombo eti wametunziwa wageni!!

Mbaya zaidi wageni hao wakija watakula vizuri kuliko wenyeji.

Kama itachinjwa kuku basi kuku ataishia Kwa wageni na. Ninyi wenyeji mtaambuia miguu na shingo!!

Shida kubwa nipale wageni wataenda kula na mtu mmoja mwenyeji na mliobaki si Hana mkaishia kula dagaa kuku akiwa na wageni.

Hata ikitokea umechinja mbuzi ni sawa lkn rosti za maini nk zitapelekwa kwa wageni!!

Wewe dada uliyeolewa unashindwa kumpa kipaumbele kumtengea kwenye vyombo vyipya vizuri wewe unawatunzia wageni?

Nani wa muhimu kati ya wageni na Mme wako ama familia yako?

Mimi kwangu Niko tofauti kidogo wee njoo tu tutakula wote kwenye meza Moja ushibe au usishibe ukaniseme huko utajua mwenyewe.

Hii ya kuwafanya Watoto wajisikie kama wametengwa kwenye msosi kisa mgeni hapana Kwakweli.

Mdau hii kwako imekaaje?
Kwa nini msanii anajiona kuwa msanii sababu ya mashabiki.
Uwezi kuwa msanii bila bashabiki.

Mgeni ni shabiki anapokutembelea ujihisi unathamani.
We mbona kila siku unalalamika ndugu zako,jamaa na marafiki zako hawa kusalimii wala kukupigia simu. Ndio maana ya ugeni
 
Mim ukarimu ninaoufanya ni kwenye chakula na si kwamba sipiki mpaka wagen la hasha ila wagen wakija kidogo unaonyesha utofaut kidogo wanaita funika kombe mwanaharam apite
Kwenye vyombo kwakwel sina Cha wagen Wala mwenyeji natumia mda wote na wakat wowote maana nimenunua Kwa matumizi yangu ndan kwangu sio Kwa ajil ya watu
Uko sawa utofauti lazima uwepo lakini hii ya kuwatenga wanafamilia na kuwapa vipapati na miguu au shingo huku wageni vinono sio sawa
 
Back
Top Bottom