Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #21
Hii nzuri mkuuNjoo kwangu utakula utakacho kikuta...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nzuri mkuuNjoo kwangu utakula utakacho kikuta...
Familia nyingi sana vina vyombo vya wageniSidhani kama Kuna vyombo vya wageni Ila mazoea yetu ndo yanapelekea vyombo kutunzwa na kutumika inapobidi
Unakuta watoto au baba akishika glass anadondosha Tena ni ile frequently unafikiri wamama wanapenda kuona vyombo vyao vinaharibika ?
Nyumbn tuna vikombe, sahani za udongo zina 25yrs na zinatumika Ila sio mara kwa mara japo baada ya kuanza kukua ndo tukawa tunatumia
kukarimu wageni sijapinga ninacho kikataa hapa ni ile hali ya watoto au wanafamilia kutengwa wageni wanakuwa kivyao vyao wanakula na kusaza huku ninyi wana familia mnagombania miguu ya kuku. Hii hapanaFamilia lisilojua kukirimu wageni ni familia la hovyo hovyo! Hii ni tangu enzi za mabavu iko hivyo! Kuiga uzungu ndiko kunawaharibu!